Ingekuwa ni hivyo hao makomandoo walioachishwa kazi wasingeachwa wazagae mitaani mithili ya kuku wa kienyeji.
 
Mabaunsa hawana technics za upambanaji, wale wamejaza miili Gym na kukuza vi chest ila hawana mbinu za mapigano

Na tena Gym za sasa hivi kukuza mwili wala hauhitaji kufanya mazoezi sana, yapo madawa na mavyakula ambayo ukipewa tu baada ya wiki tu unatoka umekatika mwili mzima

Lakini komandoo ana skills za kupambana na adui, huko jeshini wanafunzwa vitu vingi ambavyo vinampa faida ya kuwa bora maradufu kuliko hao mabaunsa
 
Ndio maana tunamhurumia sana Urio
 
Tatizo lako unafikiri Makomando wote ni wa kwenye cinema, akina Rambo.
 
Swali la msingi kwangu, je baada ya watekelezaji wa mipango yq ugaidi kukamatwa bila ya kumkamata mfadhili...je walikua na uhakika Kama mfadhili atashindwa na mipango.
Mkuu ruten anathibitisha kwamba Akina Adamoo siyo wahalifu na wala hawajawahi kufanya uhalifu na ndio maana a nasema yeye mwenyewe kuwa wakati anawatafta kina Adamoo aliwaambiwa kuwa wanakwenda kumlinda mbowe,

Sasa hii Habari ya kulipuwa vituo na kukata miti bado yeye ruten anakiri kuwa kama angewaambiwa wanakwenda kufanya uhalifu wangekataa
Kwa maana bado Wana viapo vyao

Hii maana yake nini kwamba hata yeye anakiri kuwa Hawa washitakiwa niwatu waadirifu isipokuwa yeye kaamuwa kuwaangiza kwenye matatizo kwa kutumia hisia zaketu.
 
Atarekebisha, atasema simu ilikua na salio jingine au alisongesha[emoji23][emoji23]
 
Naona unawapa mbinu za kumkamata Mbowe huko mbeleni....😂😂😂😂

..hiyo mbinu walikuwa nayo isipokuwa nashangaa hawakuitumia.

..njia sahihi ilikuwa ni DCI kumkabidhi Lt.Urio makachero ambao angemlengesha Mbowe nao.

..makachero wangeenda naye mdogo-mdogo mpaka wamkamate Mbowe red handed na hiyo ndiyo njia salama zaidi.

..washtakiwa wasingepokea simu ya Lt.Urio, ambaye alikuwa mwalimu wao, leo hii wasingekuwa wameingia ktk matatizo haya.
 
..Luteni Urio amekosea kuwalengesha vijana wa watu wakaacha ajira zao na kuwatumbukiza ktk " mipango " ya Mbowe.

..Mbowe alitakiwa achomekewe undercover police ambao wangeenda naye taratibu mpaka wamkamate kukiwa na ushahidi usio na mashaka.
Kweli kabs hawa makomandoo wamechezewa sinema na Luten urio bila kujijua,hv ikatokea wakashinda kesho huyo urio ataachwa salama kweli na hao wanafunzi wake ?
 
Hii njia yako inewezesha kongamano la Katiba kufanikiwa pale Mwanza... Samia asingekuwa na Krismas nzuri.
..makachero wangeenda naye mdogo-mdogo mpaka wamkamate Mbowe red handed na hiyo ndiyo njia salama zaidi.
 
Wakati wote Lt Urio alitaka kulazimisha ushahidi wake uwe wa kigaidi. Pale anaposema Freeman alituma pesa ili vijana wakafanye uhalifu. Wakili wake anamkataza tusiende huko🤣🤣

Sehemu nyingine anasema walitumiwa Nauli wakafanye Kazi ya Ulinzi
 
Aibu tupu kupambana kumfunga mtu ambaye ni innocent kisa tu unaweza kuwa juu ya mihimili mingine ya dola,ndio maana visasi haviishi Afrika.
Ni kazi ngumu sana. Kama vipi wamfunge tu kwa namna wanavyoona lakini hapo hakuna kesi ni utopolo.

Kamanda Urio ndio alikuwa tegemeo kutoa ushahidi Konki yeye kama Mnyetishaji kwa Polisi.

Lakink ushahidi wake umeegemea kwenye Stories tu kama hadithi.
 
Urio ndiye atajibu maswali kesho ijumaa.
 
Muulize Lissu. Kwa Tanzania ya Magufuli mwanasiasa mjinga tu asingeweka suala la ulinzi mbele kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…