Hao watu ni sahihi 2015 watu wengi sana walichukua hivyo vitambulisho kwa ajili ya kusaijilia lineChadema na ACT mtapigwa bao la mkono idadi ya wapiga kura ni uongo mtupu sio mil 29 ,halafu watu ambao hawajahakiki vitambulisho vyao vya kura na hata kama hawajabadili makazi wengi wameondolewa kwenye database ya wapiga kura na waliondolewa ni wale wenye mlengo wa upinzani kama una mlengo wa CCM na haujahakiki unaachwa kwenye database.
Kwa hiyo mwaka huu wameingzeka milion 7.22m+.
Nani tena alikuwa anamasisha watu wasiende kuhakiki? Maana Chadema walikuwa wanawapa taarifa wananchi kwamba wakahakiki taarifa zao,sasa sijui wewe unatoa taarifa za wapi hizo?Si mlikuwa nnahamasishana humu msiende kuhakiki taarifa zenu?
Hapana mkuu 2015 hawakufika hao ,walikuwa around 21m...sasa hao 8m wametoka wapi?Hao watu ni sahihi 2015 watu wengi sana walichukua hivyo vitambulisho kwa ajili ya kusaijilia line
To be very frank with you, ulitaka NEC iseme idadi ya wapiga kura ni wangapi ILI UKUBALIANO NAO!?Sema tu ili tujue idadi yako.Makadirio ya Idadi ya watu Tanzania 2020 ni Milioni 59.7.
Idadi hii imegawanyika kama ifuatavyo:
1. Walioko chini ya miaka 15 ni zaidi ya 44.8%
2. Katikati ya miaka 15 hadi 64 ni 52%
3. Walozidi miaka 64 ni 3%
Miaka inayoruhusiwa kupiga kura ni zaidi ya miaka 18 ambayo tukiangalia katika huo mgawanyo inaleta picha kuwa nusu au karibu na nusu ya Watanzania wako chini ya miaka 18.
Hivyo kwa mujibu wa Sheria za Uchaguzi tayari tuna idadi ambayo inakaribi milioni 29[(44.8%(chini ya miaka 15)+ a waliokuwa na miaka 15-17)] ikiwa hawaruhusiwi kupiga kura.
Point yangu:
Idadi ya ambao wamejiandikisha ni milioni 29(kama nimekosea nirekebishwe) Idadi hii inaenda sambamba au kukaribiana na idadi ya watanzania halali wanao ruhusiwa kupiga kura(bila kujiandikisha).
Kwa elimu ya watanzania na majukumu yao naeza kusema, waliojitokeza kwenye kujiandikisha kwenye daftari la kupiga kura haikuwa kubwa kutokana na sababu kama zifuatazo
1. Kununuliwa kwa wapinzani(hivyo watu wengi kupuuzia hata swala la kuja kupiga kura)
2. Kupatikana kitambulisho ambacho kina nguvu kuliko cha kura (Kitambulisho cha Taifa kimeonekana kina nguvu sana katika maswala mengi hivyo watu wengi walokuwa wakijiandikisha kwa ajili ya kupata kitambulisho cha kura kwajili ya kazi zao, kupuuzia baada ya kupata mbadala.)
3. Mchezo mchafu wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka jana(2019) huu ulipunguza kasi sana na morali kwa watu wengi.
Kwa hayo machache: Je, tunakubali kuwa idadi tulopewa ya walojiandikisha ni sawa?
Kama sio sawa basi kutakuwepo watu hewa ambao kazi yake wahusika wanaijua ni ipi.
Na kama ni kweli, basi niwapongeze sana NEC kuhamasisha watu kujiandikisha Kwenye Daftari la uchaguzi.
Kwa hiyo mwaka huu wameingzeka milion 7.
Sioni sababu ya kusema ni fake
Semistocles Kaijage amaeamua kwa makusudi kucheza na akili za watanzania, ila ajiandae kwa yatakayomkuta.Makadirio ya Idadi ya watu Tanzania 2020 ni Milioni 59.7.
Idadi hii imegawanyika kama ifuatavyo:
1. Walioko chini ya miaka 15 ni zaidi ya 44.8%
2. Katikati ya miaka 15 hadi 64 ni 52%
3. Walozidi miaka 64 ni 3%
Miaka inayoruhusiwa kupiga kura ni zaidi ya miaka 18 ambayo tukiangalia katika huo mgawanyo inaleta picha kuwa nusu au karibu na nusu ya Watanzania wako chini ya miaka 18.
Hivyo kwa mujibu wa Sheria za Uchaguzi tayari tuna idadi ambayo inakaribi milioni 29[(44.8%(chini ya miaka 15)+ a waliokuwa na miaka 15-17)] ikiwa hawaruhusiwi kupiga kura.
Point yangu:
Idadi ya ambao wamejiandikisha ni milioni 29(kama nimekosea nirekebishwe) Idadi hii inaenda sambamba au kukaribiana na idadi ya watanzania halali wanao ruhusiwa kupiga kura(bila kujiandikisha).
Kwa elimu ya watanzania na majukumu yao naeza kusema, waliojitokeza kwenye kujiandikisha kwenye daftari la kupiga kura haikuwa kubwa kutokana na sababu kama zifuatazo
1. Kununuliwa kwa wapinzani(hivyo watu wengi kupuuzia hata swala la kuja kupiga kura)
2. Kupatikana kitambulisho ambacho kina nguvu kuliko cha kura (Kitambulisho cha Taifa kimeonekana kina nguvu sana katika maswala mengi hivyo watu wengi walokuwa wakijiandikisha kwa ajili ya kupata kitambulisho cha kura kwajili ya kazi zao, kupuuzia baada ya kupata mbadala.)
3. Mchezo mchafu wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka jana(2019) huu ulipunguza kasi sana na morali kwa watu wengi.
Kwa hayo machache: Je, tunakubali kuwa idadi tulopewa ya walojiandikisha ni sawa?
Kama sio sawa basi kutakuwepo watu hewa ambao kazi yake wahusika wanaijua ni ipi.
Na kama ni kweli, basi niwapongeze sana NEC kuhamasisha watu kujiandikisha Kwenye Daftari la uchaguzi.
Malawi walijaribu lakini baada ya muda mchache MCP imerudi madarakani na nilikua nacheka Sana nikisikia baadhi ya wanasiasa (mostly wa upinzani) Kwa kuwapongeza wamalawi na vyombo vya ulinzi na mahakama vya Malawi Kwa kukomaa mpaka chama kilichotawala tangia enzi za Banda kurudi madarakani...Kwa lugha nyingine system ya Malawi iliyoundwa na Malawi Congress Party Chini ya Hasting Kamuzu Banda ( CCM ya Malawi) ndiyo imecheza part kubwa kuirudisha MCP kwenye Dola.Wala haihitaji Akili kubwa sana kujua kuwa Kukishinda chama kilichokaa Madarakani kwa zaidi ya Miaka 40 hasa Barani Afrika ni Mtihani mzito mno.
Cha ajabu zaidi half of the population ni watoto ina maana hii nchi watu wazima wote wamejiandikisha ???Data ni kuwa hiyo idadi ya tume ya uchaguzi ni ya kupika. Watanzania tunakaribia 60m, inawezekana vipi watu 29m+ kujiandikisha kupiga kura? Yaani kila watu wawili mmoja kajiandikisha kura, jambo hilo sio kweli kabisa. Kama maneno marahisi watu wote wenye miaka 18 na kuendelea wamejiandikisha kupiga kura. Kama NEC ina idadi fake ya wapiga kura, hata matokeo itatangaza fake.
Makadirio ya Idadi ya watu Tanzania 2020 ni Milioni 59.7.
Idadi hii imegawanyika kama ifuatavyo:
1. Walioko chini ya miaka 15 ni zaidi ya 44.8%
2. Katikati ya miaka 15 hadi 64 ni 52%
3. Walozidi miaka 64 ni 3%
Miaka inayoruhusiwa kupiga kura ni zaidi ya miaka 18 ambayo tukiangalia katika huo mgawanyo inaleta picha kuwa nusu au karibu na nusu ya Watanzania wako chini ya miaka 18.
Hivyo kwa mujibu wa Sheria za Uchaguzi tayari tuna idadi ambayo inakaribi milioni 29[(44.8%(chini ya miaka 15)+ a waliokuwa na miaka 15-17)] ikiwa hawaruhusiwi kupiga kura.
Point yangu:
Idadi ya ambao wamejiandikisha ni milioni 29(kama nimekosea nirekebishwe) Idadi hii inaenda sambamba au kukaribiana na idadi ya watanzania halali wanao ruhusiwa kupiga kura(bila kujiandikisha).
Kwa elimu ya watanzania na majukumu yao naeza kusema, waliojitokeza kwenye kujiandikisha kwenye daftari la kupiga kura haikuwa kubwa kutokana na sababu kama zifuatazo
1. Kununuliwa kwa wapinzani(hivyo watu wengi kupuuzia hata swala la kuja kupiga kura)
2. Kupatikana kitambulisho ambacho kina nguvu kuliko cha kura (Kitambulisho cha Taifa kimeonekana kina nguvu sana katika maswala mengi hivyo watu wengi walokuwa wakijiandikisha kwa ajili ya kupata kitambulisho cha kura kwajili ya kazi zao, kupuuzia baada ya kupata mbadala.)
3. Mchezo mchafu wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka jana(2019) huu ulipunguza kasi sana na morali kwa watu wengi.
Kwa hayo machache: Je, tunakubali kuwa idadi tulopewa ya walojiandikisha ni sawa?
Kama sio sawa basi kutakuwepo watu hewa ambao kazi yake wahusika wanaijua ni ipi.
Na kama ni kweli, basi niwapongeze sana NEC kuhamasisha watu kujiandikisha Kwenye Daftari la uchaguzi.
Yule mzee huwa simsomi kabisa yupo yupo tu kama gunia la mchanga.Semistocles Kaijage amaeamua kwa makusudi kucheza na akili za watanzania, ila ajiandae kwa yatakayomkuta.
Kaijage atakuwa aliupata u jaji kwa kujuana sio kwa vigezo vya ujaji.Yule mzee huwa simsomi kabisa yupo yupo tu kama gunia la mchanga.
Sijawahi kuona Judge muongo muongo kama Kaijage.
Yule mzee alinisikitisha sana wakati wa uchaguzi wa ukonga.Kaijage atakuwa aliupata u jaji kwa kujuana sio kwa vigezo vya ujaji.
Hao watu ni sahihi 2015 watu wengi sana walichukua hivyo vitambulisho kwa ajili ya kusaijilia line
Cha ajabu zaidi half of the population ni watoto ina maana hii nchi watu wazima wote wamejiandikisha ???
Sitaki kulisadiki hili hata kidogo.