Uchaguzi 2020 Nina mashaka na idadi ya wapiga kura 2020

Uchaguzi 2020 Nina mashaka na idadi ya wapiga kura 2020

Chadema na ACT mtapigwa bao la mkono idadi ya wapiga kura ni uongo mtupu sio mil 29 ,halafu watu ambao hawajahakiki vitambulisho vyao vya kura na hata kama hawajabadili makazi wengi wameondolewa kwenye database ya wapiga kura na waliondolewa ni wale wenye mlengo wa upinzani kama una mlengo wa CCM na haujahakiki unaachwa kwenye database.
Hao watu ni sahihi 2015 watu wengi sana walichukua hivyo vitambulisho kwa ajili ya kusaijilia line
 
Si mlikuwa nnahamasishana humu msiende kuhakiki taarifa zenu?
Nani tena alikuwa anamasisha watu wasiende kuhakiki? Maana Chadema walikuwa wanawapa taarifa wananchi kwamba wakahakiki taarifa zao,sasa sijui wewe unatoa taarifa za wapi hizo?
 
Makadirio ya Idadi ya watu Tanzania 2020 ni Milioni 59.7.

Idadi hii imegawanyika kama ifuatavyo:

1. Walioko chini ya miaka 15 ni zaidi ya 44.8%
2. Katikati ya miaka 15 hadi 64 ni 52%
3. Walozidi miaka 64 ni 3%

Miaka inayoruhusiwa kupiga kura ni zaidi ya miaka 18 ambayo tukiangalia katika huo mgawanyo inaleta picha kuwa nusu au karibu na nusu ya Watanzania wako chini ya miaka 18.

Hivyo kwa mujibu wa Sheria za Uchaguzi tayari tuna idadi ambayo inakaribi milioni 29[(44.8%(chini ya miaka 15)+ a waliokuwa na miaka 15-17)] ikiwa hawaruhusiwi kupiga kura.

Point yangu:

Idadi ya ambao wamejiandikisha ni milioni 29(kama nimekosea nirekebishwe) Idadi hii inaenda sambamba au kukaribiana na idadi ya watanzania halali wanao ruhusiwa kupiga kura(bila kujiandikisha).

Kwa elimu ya watanzania na majukumu yao naeza kusema, waliojitokeza kwenye kujiandikisha kwenye daftari la kupiga kura haikuwa kubwa kutokana na sababu kama zifuatazo

1. Kununuliwa kwa wapinzani(hivyo watu wengi kupuuzia hata swala la kuja kupiga kura)

2. Kupatikana kitambulisho ambacho kina nguvu kuliko cha kura (Kitambulisho cha Taifa kimeonekana kina nguvu sana katika maswala mengi hivyo watu wengi walokuwa wakijiandikisha kwa ajili ya kupata kitambulisho cha kura kwajili ya kazi zao, kupuuzia baada ya kupata mbadala.)

3. Mchezo mchafu wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka jana(2019) huu ulipunguza kasi sana na morali kwa watu wengi.

Kwa hayo machache: Je, tunakubali kuwa idadi tulopewa ya walojiandikisha ni sawa?

Kama sio sawa basi kutakuwepo watu hewa ambao kazi yake wahusika wanaijua ni ipi.

Na kama ni kweli, basi niwapongeze sana NEC kuhamasisha watu kujiandikisha Kwenye Daftari la uchaguzi.
To be very frank with you, ulitaka NEC iseme idadi ya wapiga kura ni wangapi ILI UKUBALIANO NAO!?Sema tu ili tujue idadi yako.
 
Kwa hiyo mwaka huu wameingzeka milion 7.

Sioni sababu ya kusema ni fake

Hivi unajua maana ya watu milioni saba? Sasa tuache hilo ongezeko lao. Kama tuko 59m+, ina maana 29m+ ni nusu ya watanzania wote, inawezekana vipi wenye umri mkubwa wakawa sawa sawa na walio chini? Hii haihitaji elimu ya degree kujua kuwa hii idadi ya wapiga kura ni ya kupika. Wangalau idadi ya wapiga kura ya 2015, ambayo ilikuwa 22m+, wakati huo idadi yetu ikiwa 54-55m+.m, ukitoa hapo utaona inabaki kama 30m walio chini ya 18+yrs. Lakini sasa makundi yote ya 18+ na 18- yanalingana!
 
Makadirio ya Idadi ya watu Tanzania 2020 ni Milioni 59.7.

Idadi hii imegawanyika kama ifuatavyo:

1. Walioko chini ya miaka 15 ni zaidi ya 44.8%
2. Katikati ya miaka 15 hadi 64 ni 52%
3. Walozidi miaka 64 ni 3%

Miaka inayoruhusiwa kupiga kura ni zaidi ya miaka 18 ambayo tukiangalia katika huo mgawanyo inaleta picha kuwa nusu au karibu na nusu ya Watanzania wako chini ya miaka 18.

Hivyo kwa mujibu wa Sheria za Uchaguzi tayari tuna idadi ambayo inakaribi milioni 29[(44.8%(chini ya miaka 15)+ a waliokuwa na miaka 15-17)] ikiwa hawaruhusiwi kupiga kura.

Point yangu:

Idadi ya ambao wamejiandikisha ni milioni 29(kama nimekosea nirekebishwe) Idadi hii inaenda sambamba au kukaribiana na idadi ya watanzania halali wanao ruhusiwa kupiga kura(bila kujiandikisha).

Kwa elimu ya watanzania na majukumu yao naeza kusema, waliojitokeza kwenye kujiandikisha kwenye daftari la kupiga kura haikuwa kubwa kutokana na sababu kama zifuatazo

1. Kununuliwa kwa wapinzani(hivyo watu wengi kupuuzia hata swala la kuja kupiga kura)

2. Kupatikana kitambulisho ambacho kina nguvu kuliko cha kura (Kitambulisho cha Taifa kimeonekana kina nguvu sana katika maswala mengi hivyo watu wengi walokuwa wakijiandikisha kwa ajili ya kupata kitambulisho cha kura kwajili ya kazi zao, kupuuzia baada ya kupata mbadala.)

3. Mchezo mchafu wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka jana(2019) huu ulipunguza kasi sana na morali kwa watu wengi.

Kwa hayo machache: Je, tunakubali kuwa idadi tulopewa ya walojiandikisha ni sawa?

Kama sio sawa basi kutakuwepo watu hewa ambao kazi yake wahusika wanaijua ni ipi.

Na kama ni kweli, basi niwapongeze sana NEC kuhamasisha watu kujiandikisha Kwenye Daftari la uchaguzi.
Semistocles Kaijage amaeamua kwa makusudi kucheza na akili za watanzania, ila ajiandae kwa yatakayomkuta.
 
Wala haihitaji Akili kubwa sana kujua kuwa Kukishinda chama kilichokaa Madarakani kwa zaidi ya Miaka 40 hasa Barani Afrika ni Mtihani mzito mno.
Malawi walijaribu lakini baada ya muda mchache MCP imerudi madarakani na nilikua nacheka Sana nikisikia baadhi ya wanasiasa (mostly wa upinzani) Kwa kuwapongeza wamalawi na vyombo vya ulinzi na mahakama vya Malawi Kwa kukomaa mpaka chama kilichotawala tangia enzi za Banda kurudi madarakani...Kwa lugha nyingine system ya Malawi iliyoundwa na Malawi Congress Party Chini ya Hasting Kamuzu Banda ( CCM ya Malawi) ndiyo imecheza part kubwa kuirudisha MCP kwenye Dola.
 
Data ni kuwa hiyo idadi ya tume ya uchaguzi ni ya kupika. Watanzania tunakaribia 60m, inawezekana vipi watu 29m+ kujiandikisha kupiga kura? Yaani kila watu wawili mmoja kajiandikisha kura, jambo hilo sio kweli kabisa. Kama maneno marahisi watu wote wenye miaka 18 na kuendelea wamejiandikisha kupiga kura. Kama NEC ina idadi fake ya wapiga kura, hata matokeo itatangaza fake.
Cha ajabu zaidi half of the population ni watoto ina maana hii nchi watu wazima wote wamejiandikisha ???

Sitaki kulisadiki hili hata kidogo.
 
Nimechota kwa Mchambuzi Mmoja huko Facebook

"HAPA KUNA HOJA NZITO
1.0 Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza idadi ya wapiga kura waliojiandikisha (2020) kuwa ni 29,188,347 (NEC, August 19, 2020).

2.0 Makadirio ya Idadi ya watu Tanzania hadi sasa (2020) ni milioni 59.7. Idadi hii imegawanyika kama ifuatavyo:-
a). Fungu la watu (wananchi) wenye umri chini ya miaka 15 ni zaidi ya 44.8%
b). Fungu la watu wenye umri kati ya miaka 15 hadi 64 ni 52%
c). Fungu la watu wenye umri zaidi ya miaka 64 ni 3%

3.0 Uchambuzi
i). Wapiga kura (kwa mujibu wa sheria ya uchaguzi) ni miaka 18+
ii). Idadi ya wapiga kura (2020) waliotangazwa na NEC ni takriban 48.9% ya watanzania wote.
iii). Hebu tukadirie: idadi ya watu wasioruhusiwa kupiga kura kwa mujibu wa sheria (umri chini ya miaka 18 kutoka fungu #2.0(b) hapo juu) kuwa ni 1.1% ya wapiga kura wote.
iv). Kwa hiyo, idadi ya wapiga kura kwenye uchaguzi wa 2020 ni 50% ya Watanzania wote au 100% ya wapiga kura wote!

Uchambuzi huu unabainisha (imply);
1. Kwamba wakati wa kujiandikisha Watanzania WOTE walikuwepo hapa nchini na walijiandikisha kupiga kura kwenye uchaguzi mkuu 2020;
2. Kwamba kila Mtamzamia mwenye umri wa kupiga kura kwa mujibu wa sheria ya uchaguzi atakuwa na yamkini ya asilimia hamsini (50%) ya kwenda kupiga kura; na
3. Kwamba hakuna Mtanzania hata mmoja mwenye umri wa kupiga kura ambaye hakujiandikisha kupiga kura.

Binafsi, niseme kuwa tangu uchaguzi mkuu wa kwanza katika Tanzania huru, uchaguzi mkuu 2020 ndio utakuwa maajabu ya kwanza kuwa asilimia mia moja (100%) ya Watanzania wenye umri wa kupiga kura walijiandikisha kupiga kura!."
 
Makadirio ya Idadi ya watu Tanzania 2020 ni Milioni 59.7.

Idadi hii imegawanyika kama ifuatavyo:

1. Walioko chini ya miaka 15 ni zaidi ya 44.8%
2. Katikati ya miaka 15 hadi 64 ni 52%
3. Walozidi miaka 64 ni 3%

Miaka inayoruhusiwa kupiga kura ni zaidi ya miaka 18 ambayo tukiangalia katika huo mgawanyo inaleta picha kuwa nusu au karibu na nusu ya Watanzania wako chini ya miaka 18.

Hivyo kwa mujibu wa Sheria za Uchaguzi tayari tuna idadi ambayo inakaribi milioni 29[(44.8%(chini ya miaka 15)+ a waliokuwa na miaka 15-17)] ikiwa hawaruhusiwi kupiga kura.

Point yangu:

Idadi ya ambao wamejiandikisha ni milioni 29(kama nimekosea nirekebishwe) Idadi hii inaenda sambamba au kukaribiana na idadi ya watanzania halali wanao ruhusiwa kupiga kura(bila kujiandikisha).

Kwa elimu ya watanzania na majukumu yao naeza kusema, waliojitokeza kwenye kujiandikisha kwenye daftari la kupiga kura haikuwa kubwa kutokana na sababu kama zifuatazo

1. Kununuliwa kwa wapinzani(hivyo watu wengi kupuuzia hata swala la kuja kupiga kura)

2. Kupatikana kitambulisho ambacho kina nguvu kuliko cha kura (Kitambulisho cha Taifa kimeonekana kina nguvu sana katika maswala mengi hivyo watu wengi walokuwa wakijiandikisha kwa ajili ya kupata kitambulisho cha kura kwajili ya kazi zao, kupuuzia baada ya kupata mbadala.)

3. Mchezo mchafu wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka jana(2019) huu ulipunguza kasi sana na morali kwa watu wengi.

Kwa hayo machache: Je, tunakubali kuwa idadi tulopewa ya walojiandikisha ni sawa?

Kama sio sawa basi kutakuwepo watu hewa ambao kazi yake wahusika wanaijua ni ipi.

Na kama ni kweli, basi niwapongeze sana NEC kuhamasisha watu kujiandikisha Kwenye Daftari la uchaguzi.

Hata mimi nilikuwa nawaza katika mstari huo huo,
HAIWEZEKANI WATANZANIA WOTE WENYE UMRI WA KUPIGA KURA WAKAWA WAMEJIANDISHA..!
NI NGUMU SANA KUTOKANA NA HULKA ZA KIBINADAMU
 
Haya ndiyo yale wengine tuliyaona 2014 kwamba Lisu na genge lake hawakujua priority ilikuwa nini kwenye lile bunge la Katiba.

Wao Priority yao ilikuwa Kura ya "UWAZI" Kura ya "SIRI" Priority yao ilikuwa Serikali "TATU"

CCM ni mafundi, waliwatega mtego wakategeka, Leo wanakumbuka kwamba bila Tume huru CCM haichomoki.

Mtavuna mlichokipanda 2014
 
Cha ajabu zaidi half of the population ni watoto ina maana hii nchi watu wazima wote wamejiandikisha ???

Sitaki kulisadiki hili hata kidogo.

Ndio maana hawa jamaa wanasema kila mara kuwa Magufuli atashinda kwa 85%+, kwakuwa wanajua wana idadi yao ya kubumba pembeni. Hakuna uchaguzi mwaka huu, bali kuna zoezi la kutaka kumfurahisha Magufuli.
 
Back
Top Bottom