Nina mashaka sana na uwepo wa GSM katika Klabu ya Yanga

Nina mashaka sana na uwepo wa GSM katika Klabu ya Yanga

Afisa Tabibu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2021
Posts
511
Reaction score
848
Sijui Kwanin nina hisia hizi, ila napata wasiwasi sana km GSM wataiacha Yanga salama, kwasasa Yanga na GSM ni km kitu kimoja, Eng. Hersi ni Rais wa Yanga hapo hapo ni Mtendaji wa GSM, hivi hakuna uwezekano kweli GSM ikanufaika zaidi kuliko Yanga?

Mikataba inayotoka GSM anaiandaa Eng. Hersi, inavyofika Yanga anaisain Eng. Hersi, hapa hakuna walakin wowote??

Anyway nimewaza tu, na nimepata mashaka kidogo, labda wasiwasi wangu..
 
Waafrika ni watu wa ajabu sana.

Club in wanachama zaidi ya mil.5 halafu inategemea mwekezaji Mgeni.

Kila Mwana Chama akilipia Kadi ya uanachama sh. efu mbili TU Kwa mwaka ni bil. 10. Achilia mbali wale wenye moyo wa kuchangia mpaka mil. 10.

Zikiuzwa t-shirt nakala mil. 1 Kwa wastani wa sh. Efu 25 ,ni bil. 15 n.k.

Vilabu vya simba na Yanga vinauwezo wa kujiendesha vyenyewe bila kutegemea mtu. Tatizo ni uongozi kama lilivyo tatizo Kila sehemu.
 
Wabongo wakati fulani tupunguze kuumiza vichwa na pia kujipandisha presha na mwilini kwa vitu ambavyo havina tija kwenye maisha yetu.

Mimi ni shabiki wa Yanga, lakini huwa sipotezi kabisa muda wangu kujitesa na mambo yanayotokea huko. Sijui kwa nini GSM anaidhamini Yanga! Sijui kwa nini rais wa Yanga anasafiri na timu kila mahali!!
 
Wabongo wakati fulani tupunguze kuumiza vichwa na pia kujipandisha presha na mwilini kwa vitu ambavyo havina tija kwenye maisha yetu.

Mimi ni shabiki wa Yanga, lakini huwa sipotezi kabisa muda wangu kujitesa na mambo yanayotokea huko. Sijui kwa nini GSM anaidhamini Yanga! Sijui kwa nini rais wa Yanga anasafiri na timu kila mahali!!
Huyo jamaa inawezekana hayupo kwenye mnyororo wa kula pesa za Yanga ndio Maana anaanzisha fitina.
 
Sijui Kwanin nina hisia hizi, ila napata wasiwasi sana km GSM wataiacha Yanga salama, kwasasa Yanga na GSM ni km kitu kimoja, Eng. Hersi ni Rais wa Yanga hapo hapo ni Mtendaji wa GSM, hivi hakuna uwezekano kweli GSM ikanufaika zaidi kuliko Yanga?? Mikataba inayotoka GSM anaiandaa Eng. Hersi, inavyofika Yanga anaisain Eng. Hersi, hapa hakuna walakin wowote??

Anyway nimewaza tu, na nimepata mashaka kidogo, labda wasiwasi wangu..
Kile kipindi wanapitisha bakuli haya mawazo hukuyaleta
Au hao wanachama na mashabiki million 5 hawakuwepo ?
 
Sijui Kwanin nina hisia hizi, ila napata wasiwasi sana km GSM wataiacha Yanga salama, kwasasa Yanga na GSM ni km kitu kimoja, Eng. Hersi ni Rais wa Yanga hapo hapo ni Mtendaji wa GSM, hivi hakuna uwezekano kweli GSM ikanufaika zaidi kuliko Yanga?? Mikataba inayotoka GSM anaiandaa Eng. Hersi, inavyofika Yanga anaisain Eng. Hersi, hapa hakuna walakin wowote??

Anyway nimewaza tu, na nimepata mashaka kidogo, labda wasiwasi wangu..
Hisia zako ni za tamaa ya upigaji, utakuwa upo kwenye kundi fulani lisilonufaika hapo Yanga.

Nadhani kazi yako kama shabiki ni kupewa Matokeo Mazuri uwanjani na sio kufuatilia hela za Club. Utopolo wee
 
Sijui Kwanin nina hisia hizi, ila napata wasiwasi sana km GSM wataiacha Yanga salama, kwasasa Yanga na GSM ni km kitu kimoja, Eng. Hersi ni Rais wa Yanga hapo hapo ni Mtendaji wa GSM, hivi hakuna uwezekano kweli GSM ikanufaika zaidi kuliko Yanga?? Mikataba inayotoka GSM anaiandaa Eng. Hersi, inavyofika Yanga anaisain Eng. Hersi, hapa hakuna walakin wowote??

Anyway nimewaza tu, na nimepata mashaka kidogo, labda wasiwasi wangu..

Washabiki tunataka mataji, hata kama yanakuja kwa njia ya mauaji
 
Waafrika ni watu wa ajabu sana.

Club in wanachama zaidi ya mil.5 halafu inategemea mwekezaji Mgeni.

Kila Mwana Chama akilipia Kadi ya uanachama sh. efu mbili TU Kwa mwaka ni bil. 10. Achilia mbali wale wenye moyo wa kuchangia mpaka mil. 10 .

Zikiuzwa t-shirt nakala mil. 1 Kwa wastani wa sh. Efu 25 ,ni bil. 15 n.k.

Vilabu vya simba na Yanga vinauwezo wa kujiendesha vyenyewe bila kutegemea mtu. Tatizo ni uongozi kama lilivyo tatizo Kila sehemu .
Hapo kwenye mauzo ya jezi wamepewa 300m tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna anayehoji wala anayeuliza swali.
 
Sijui Kwanin nina hisia hizi, ila napata wasiwasi sana km GSM wataiacha Yanga salama, kwasasa Yanga na GSM ni km kitu kimoja, Eng. Hersi ni Rais wa Yanga hapo hapo ni Mtendaji wa GSM, hivi hakuna uwezekano kweli GSM ikanufaika zaidi kuliko Yanga?

Mikataba inayotoka GSM anaiandaa Eng. Hersi, inavyofika Yanga anaisain Eng. Hersi, hapa hakuna walakin wowote??

Anyway nimewaza tu, na nimepata mashaka kidogo, labda wasiwasi wangu..

Nami ngoja niwaze tofauti!
Hersi pia ni shabiki wa yanga(utopolo) what if kama mikataba anayoindaa huko Gsm anafanya namna kuipendelea yanga(utopolo) na gsm ikawa inanyonywa lakini yeye binafsi akawa ndiye mnufaika mkuu...
 
Sijui Kwanin nina hisia hizi, ila napata wasiwasi sana km GSM wataiacha Yanga salama, kwasasa Yanga na GSM ni km kitu kimoja, Eng. Hersi ni Rais wa Yanga hapo hapo ni Mtendaji wa GSM, hivi hakuna uwezekano kweli GSM ikanufaika zaidi kuliko Yanga?

Mikataba inayotoka GSM anaiandaa Eng. Hersi, inavyofika Yanga anaisain Eng. Hersi, hapa hakuna walakin wowote??

Anyway nimewaza tu, na nimepata mashaka kidogo, labda wasiwasi wangu..
Anayeandaa mikataba ya taasisi ni mwanasheria fiche ujuha wako. Hapo kabla ya GSM wewe ulichangia nn yanga ?
 
Kutokana na kupitia vipindi vya njaa Kali hivyo klabu zinaona zinasaidiwa na wadhamini/wawekezaji bila kujali sana kupigwa.

Na Mimi nawashauri waendelee hivyo hivyo, bongo hamna guarantee ya kupata mdhamini/mwekezaji mwingine kama hao akina GSM au Mo wakiondoka.

Angalia kipindi kile Vodacom wamejitoa kudhamini ligi, ligi iliendelea kinjaa njaa bila mdhamini.

Bora kushikilia hao hao wezi, bongo uchumi mdogo hivyo sio rahisi kupata wadhamini/wawekezaji wa kutoa mpunga mrefu, pia sio rahisi kupata wawekezaji/ wadhamini kutoka nje ya nchi kama akina Man U, Man city, Psg na ulaya Kwa jumla.
 
Sijui Kwanin nina hisia hizi, ila napata wasiwasi sana km GSM wataiacha Yanga salama, kwasasa Yanga na GSM ni km kitu kimoja, Eng. Hersi ni Rais wa Yanga hapo hapo ni Mtendaji wa GSM, hivi hakuna uwezekano kweli GSM ikanufaika zaidi kuliko Yanga?

Mikataba inayotoka GSM anaiandaa Eng. Hersi, inavyofika Yanga anaisain Eng. Hersi, hapa hakuna walakin wowote??

Anyway nimewaza tu, na nimepata mashaka kidogo, labda wasiwasi wangu..
Manara hawezi sema hayo labda jemedari na walivyobahatisha caf confederation cup final ngoja uje kupigwa mawe
 
Sijui Kwanin nina hisia hizi, ila napata wasiwasi sana km GSM wataiacha Yanga salama, kwasasa Yanga na GSM ni km kitu kimoja, Eng. Hersi ni Rais wa Yanga hapo hapo ni Mtendaji wa GSM, hivi hakuna uwezekano kweli GSM ikanufaika zaidi kuliko Yanga?

Mikataba inayotoka GSM anaiandaa Eng. Hersi, inavyofika Yanga anaisain Eng. Hersi, hapa hakuna walakin wowote??

Anyway nimewaza tu, na nimepata mashaka kidogo, labda wasiwasi wangu..
Mnapata tabu sana Makolo FC kupretend kuwa mashabiki wa Yanga.

Kwa sisi mashabiki wa Yanga tuliyo ishuhudia miaka ile minne ya Yanga inatembeza bakuli, Yanga inamtegemea Yikpe na Molinga, Yanga ya Kuungaunga,tunajua tuliyo yapitia na wapi GSM alipo tutoa so hata akitaka hisa 100% mwache apewe, shabiki wa mpira siku zote anataka timu ishinde na ipate Makombe basi.

Kipindi cha miaka miwili na nusu cha GSM Yanga imechukua treble mara mbili, mbele ya Kolo FC ambayo ilikuwa vizuri kiuchumi, mbele ya Azam iliyo vizuri kiuchumi na kufanya usajili mkubwa msimu uliopita, ila still wanaume tukabeba ndoo mara 2,unbeaten mechi 49 na kuwa club ya kwanza kutoka Tanzania KWA MUJIBU WA CAF kufika fainali ya michuano ya Confederation Cup.

So wee endelea kuumia na bado ,huu ukimya wa Yanga unawatia uchizi nyie ila sisi wenye timu hatuna wasiwasi na GSM kwani alipo tutoa tunajua.
 
Waafrika ni watu wa ajabu sana.

Club in wanachama zaidi ya mil.5 halafu inategemea mwekezaji Mgeni.

Kila Mwana Chama akilipia Kadi ya uanachama sh. efu mbili TU Kwa mwaka ni bil. 10. Achilia mbali wale wenye moyo wa kuchangia mpaka mil. 10.

Zikiuzwa t-shirt nakala mil. 1 Kwa wastani wa sh. Efu 25 ,ni bil. 15 n.k.

Vilabu vya simba na Yanga vinauwezo wa kujiendesha vyenyewe bila kutegemea mtu. Tatizo ni uongozi kama lilivyo tatizo Kila sehemu.

hesabu za kilimo cha matikiti
 
Waafrika ni watu wa ajabu sana.

Club in wanachama zaidi ya mil.5 halafu inategemea mwekezaji Mgeni.

Kila Mwana Chama akilipia Kadi ya uanachama sh. efu mbili TU Kwa mwaka ni bil. 10. Achilia mbali wale wenye moyo wa kuchangia mpaka mil. 10.

Zikiuzwa t-shirt nakala mil. 1 Kwa wastani wa sh. Efu 25 ,ni bil. 15 n.k.

Vilabu vya simba na Yanga vinauwezo wa kujiendesha vyenyewe bila kutegemea mtu. Tatizo ni uongozi kama lilivyo tatizo Kila sehemu.
Acha tu mzee, sisi sio wa kutegemea wawekezaji, Simba na Yanga pesa zipo sana kwa mashabiki, basi tu yaani.
 
Sijui Kwanin nina hisia hizi, ila napata wasiwasi sana km GSM wataiacha Yanga salama, kwasasa Yanga na GSM ni km kitu kimoja, Eng. Hersi ni Rais wa Yanga hapo hapo ni Mtendaji wa GSM, hivi hakuna uwezekano kweli GSM ikanufaika zaidi kuliko Yanga?

Mikataba inayotoka GSM anaiandaa Eng. Hersi, inavyofika Yanga anaisain Eng. Hersi, hapa hakuna walakin wowote??

Anyway nimewaza tu, na nimepata mashaka kidogo, labda wasiwasi wangu..

🟦 Ukifuatilia jezi za utopolo zinazobuniwa Sasa hivi LOGO ya timu imebadilika kutoka yellow and green na kuwa rangi ya gold. Maana yake brand ya timu imebadilishwa.

🟦 Kwenye mechi kubwa mashabiki wa mchongo wanabrand zaidi kwa kuliimba jina la mwekezaji wa timu kuliko timu yenyewe
 
Sijui Kwanin nina hisia hizi, ila napata wasiwasi sana km GSM wataiacha Yanga salama, kwasasa Yanga na GSM ni km kitu kimoja, Eng. Hersi ni Rais wa Yanga hapo hapo ni Mtendaji wa GSM, hivi hakuna uwezekano kweli GSM ikanufaika zaidi kuliko Yanga?

Mikataba inayotoka GSM anaiandaa Eng. Hersi, inavyofika Yanga anaisain Eng. Hersi, hapa hakuna walakin wowote??

Anyway nimewaza tu, na nimepata mashaka kidogo, labda wasiwasi wangu..
ni rukhsa kuota ndoto

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom