SimbaMpole123
JF-Expert Member
- Apr 23, 2023
- 5,501
- 4,956
š¤£Mi staki kuiba hela za wajingaUnapenda ligi khaaaaaaaa!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Basi na wewe kuwa Mwamposa usinikaushe kizazi bana wee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
š¤£Mi staki kuiba hela za wajingaUnapenda ligi khaaaaaaaa!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Basi na wewe kuwa Mwamposa usinikaushe kizazi bana wee
Usinipe story za wayahudi. Utafiti wa effectiveness ya prayer unaonyesha hamna tofauti ya mtu kuombewa na kutokuombewa wote Wana same chance ya kupona, š¤£we Unadhani uponyaji ungekuwa real si madaktari wasingesoma miaka 5 waajiriwe mahospitalini wangesoma Biblia wavae Suti wajiite mitume wajaze makanisa kwa kuiba sadaka za wanawake na watoto maskini na wasio na elimu
š Hujiulizi kwa Nini wanawake wengi ndo wahanga wa haya mambo ya wachungaji? Coz ni rahisi kudanganywa, mnaamini kwa hisia na sio ufahamu.. that's the truth...Mungu hawezi leta mtume muuaji, muongo, tapeli, mwizi etc huyu ni binadamu ambae anatumia ujinga uvivu uwoga na tamaa za watu kujijengea mahoteli wakati waumini wake wako hoiKama hutaki story za wayahudi achana na Mwamposya maana yeye ndio anazipenda haswa
Acha chuki na wivu fuata mambo yako
š Hujiulizi kwa Nini wanawake wengi ndo wahanga wa haya mambo ya wachungaji? Coz ni rahisi kudanganywa, mnaamini kwa hisia na sio ufahamu.. that's the truth...Mungu hawezi leta mtume muuaji, muongo, tapeli, mwizi etc huyu ni binadamu ambae anatumia ujinga uvivu uwoga na tamaa za watu kujijengea mahoteli wakati waumini wake wako hoi
š¤£Mi siumii ila wenzetu wanatengeneza chanjo sisi tunaombea ugonjwa uondoke...ndo ujue why tulitawaliwa na wazungu.Huyo Mungu ndio alituumba hivyo. Waliowazaa mitume na manabii ni wanawake, aliyekuzaa wewe ni mwanamke, waliomboleza kwaajili ya Kristo ni wanawake, waliopata taarifa ya kwanza ya kufufuka kwake ni wanawake pia... Kwani wewe unaumia nini???
Tulia au utuache na hisia zetu
Jiangalie wewe..shauri yakoHivi hujui kama serikali huwekwa na Mungu? Au mkono wa Mungu unahusika? Sikia hizi taratiibu zote za kiserikali zimetokana na mfumo wa kidini unajua kitu ugatuzi wa madaraka ulianzia wapi! Kasome Bible yako vizuri!
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Astaghafirulahii!!!!Pedophile Muhammad alifuatwa na kipofu akamtoa nduki , akatunga na Aya [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23]
Waumini wakitaka kufunga ndoa au ibada ya mazishi wanakwenda wapiMwamposa siyo Mchungaji, ni mtume. Hivyo hana mamlaka ya kufungisha ndoa wala ibada za mazishi
Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
Serikali ni wakala wa MunguOoh kumbe ndoa zenu si amri ya mungu ni kibali cha serikali ndo mnatii
Habari. Kwanini mtumishi wa Mungu Boniface Mwamposa 1. Hafungishi ndoa? 2. Hafanyi ibada ya mazishi? 3. Hasaidii watu wenye shida maalum kanisani mwake hasa za kifedha?
Habari.
Kwanini mtumishi wa Mungu Boniface Mwamposa
1. Hafungishi ndoa?
2. Hafanyi ibada ya mazishi?
3. Hasaidii watu wenye shida maalum kanisani mwake hasa za kifedha?
Habari. Kwanini mtumishi wa Mungu Boniface Mwamposa 1. Hafungishi ndoa? 2. Hafanyi ibada ya mazishi? 3. Hasaidii watu wenye shida maalum kanisani mwake hasa za kifedha?
Habari.
Kwanini mtumishi wa Mungu Boniface Mwamposa
1. Hafungishi ndoa?
2. Hafanyi ibada ya mazishi?
3. Hasaidii watu wenye shida maalum kanisani mwake hasa za kifedha?
Toa upumbavu wako hukuHakuna mtume baada ya mtume Muhammad
Wake up cristians
Mamajusi ni wanawake?[emoji1787]Huyo Mungu ndio alituumba hivyo. Waliowazaa mitume na manabii ni wanawake, aliyekuzaa wewe ni mwanamke, waliomboleza kwaajili ya Kristo ni wanawake, waliopata taarifa ya kwanza ya kufufuka kwake ni wanawake pia... Kwani wewe unaumia nini???
Tulia au utuache na hisia zetu
Toa upumbavu wako huku
Ndoa anaweza fungisha hata mama yako sio ...dini hizi tumeletewa wewe kuniwekea au kutoniwekea msalaba kwa kaburi langu kisa sikukidhi matakwa ya dini yenu haitasaidia chochote niendapoMwamposa siyo Mchungaji, ni mtume. Hivyo hana mamlaka ya kufungisha ndoa wala ibada za mazishi
Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
Thibitisha Ni wapi nimemuita mwamposa mtume? Tuma screenshot nioneToa wako kwanza wa kuamin mtume ambaye hata aliyempa utume humjui!!!
Habari.
Kwanini mtumishi wa Mungu Boniface Mwamposa
1. Hafungishi ndoa?
2. Hafanyi ibada ya mazishi?
3. Hasaidii watu wenye shida maalum kanisani mwake hasa za kifedha?