Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Wakuu Mchezaji wa Taifa stars anapewaje uraia leo?
Daaaah So sad figisu za soka letu. Mtu ameshavaa jezi ya Stars leo ndiyo anapewa uraia leo?
NaKumbuka hata Yusuph Poulsen alitaka sana kuichezea Stars,alienda mpaka ofisi za tifua tifua lkn akagongeshwa mwamba!!!!
Kwanini ya huyu iwe ni so special? Afu kitu kingine Kibu alipokipigia Stars, alikua anatumia passport ipi au ya nani?
Daaaah So sad figisu za soka letu. Mtu ameshavaa jezi ya Stars leo ndiyo anapewa uraia leo?
NaKumbuka hata Yusuph Poulsen alitaka sana kuichezea Stars,alienda mpaka ofisi za tifua tifua lkn akagongeshwa mwamba!!!!
Kwanini ya huyu iwe ni so special? Afu kitu kingine Kibu alipokipigia Stars, alikua anatumia passport ipi au ya nani?