Nina matiti madogo nisipovaa sidiria yanachongoka, nikivaa inaniumiza nifanyaje?

Nina matiti madogo nisipovaa sidiria yanachongoka, nikivaa inaniumiza nifanyaje?

Nina maziwa madogo nisipovaa sidilia yanachongoka kwasababu hayajalala kwaiy chuchu zinasimama nikivaa ivo najikuta tu sipo comfortable nikivaa sidilia kifua kinauma na mgongo kwani naiforce tu inasaidia nguo kukaa vizuri zaidi, na kutosimamisha chuchu.

Nina miaka ishirini na kitu Nina maziwa as if ndo yanaanza kukua, sina raha na sidilia lakini nikijiachia naona kama nitasimangwa ha ha ha, nikivaa nguo fupi au suruali mama anakasirika sana lakini mdogo angu ana miaka ishiri na ivyo ivyo akivaa wala akasiriki sielewi na ata akivaa ya kubana wala hamsemi shughuli ipo kwangu sasa jer nikijiachia na vimaziwa vyangu kama vya mtoto dah Nina mtihani.
Weka picha
 
Nina maziwa madogo nisipovaa sidilia yanachongoka kwasababu hayajalala kwaiy chuchu zinasimama nikivaa ivo najikuta tu sipo comfortable nikivaa sidilia kifua kinauma na mgongo kwani naiforce tu inasaidia nguo kukaa vizuri zaidi, na kutosimamisha chuchu.

Nina miaka ishirini na kitu Nina maziwa as if ndo yanaanza kukua, sina raha na sidilia lakini nikijiachia naona kama nitasimangwa ha ha ha, nikivaa nguo fupi au suruali mama anakasirika sana lakini mdogo angu ana miaka ishiri na ivyo ivyo akivaa wala akasiriki sielewi na ata akivaa ya kubana wala hamsemi shughuli ipo kwangu sasa jer nikijiachia na vimaziwa vyangu kama vya mtoto dah Nina mtihani.


Ugonjwa wangu huu kabisa. Njoo DM tafadhali tuyajenge.
 
Wanyiramba baadhi wako hivi. Kuna mama mnyiramba alikuwa jirani yetu kipindi flani alikuwa na watoto 4 ila asipovaa sidiria chuchu zimesimama kama za binti kigoli. Ila kuna rafiki yangu nae anaishi na single maza mnyiramba nae chuchu zimesimama hivo hivo. Hongereni sana wanawake wa kinyiramba
 
Nina maziwa madogo nisipovaa sidilia yanachongoka kwasababu hayajalala kwaiy chuchu zinasimama nikivaa ivo najikuta tu sipo comfortable nikivaa sidilia kifua kinauma na mgongo kwani naiforce tu inasaidia nguo kukaa vizuri zaidi, na kutosimamisha chuchu.

Nina miaka ishirini na kitu Nina maziwa as if ndo yanaanza kukua, sina raha na sidilia lakini nikijiachia naona kama nitasimangwa ha ha ha, nikivaa nguo fupi au suruali mama anakasirika sana lakini mdogo angu ana miaka ishiri na ivyo ivyo akivaa wala akasiriki sielewi na ata akivaa ya kubana wala hamsemi shughuli ipo kwangu sasa jer nikijiachia na vimaziwa vyangu kama vya mtoto dah Nina mtihani.
Tangazo kulipia ni elf 50 kwa mwezi ukitaka nkutangazie kwa ndugu jamaa na marafik na kwa brother angu mzabzab aaa ntakufanyia bure tu
 
Tangazo kulipia ni elf 50 kwa mwezi ukitaka nkutangazie kwa ndugu jamaa na marafik na kwa brother angu mzabzab aaa ntakufanyia bure tu
Mie kama huna matiti ambayo naweza titty fvck wala sikuangalii mara mbili.
Kosa sura ila tako na matiti yawepo
 
The same here sivaagi tu blaa
So nakushauri achana na bla usivae suala la kujihisi hauko huru ni la muda itafika time utazoea tu
 
Sasa huvai sidiria ukienda kuomba Kaz titi zimechongoka hvyo vjana kwa wazee wanataka mzigo sababu unawatesa kwa mwonekano

Vaa bra Kaz utapata dada

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Nina maziwa madogo nisipovaa sidiria yanachongoka kwasababu hayajalala, kwahiyo chuchu zinasimama. Nikivaa hivyo najikuta tu sipo huru. Nikivaa sidiria kifua na mgongo vinauma kwani nailazimisha tu inasaidia nguo kukaa vizuri zaidi, na kutosimamisha chuchu.

Nina miaka ishirini na kitu, nina maziwa kana kwamba ndiyo yanaanza kukua, sina raha na sidiria lakini nikijiachia naona kama nitasimangwa, ha ha ha. Nikivaa nguo fupi au suruali mama anakasirika sana, lakini mdogo wangu ana miaka ishiri naye hivyo hivyo akivaa wala hakasiriki.

Sielewi, na hata akivaa ya kubana wala hamsemi, shughuli ipo kwangu! Sasa je, nikijiachia na vimaziwa vyangu kama vya mtoto dah, nina mtihani!
Cold Water [emoji134][emoji134]Ndio wewe ubavu wangu. Karibu
 
Back
Top Bottom