Nina maumbile madogo ya uume

Nina maumbile madogo ya uume

Fanya mazoezi sana, ikibidi asubuhi na jioni. Punguza kula wali, nyama na samaki. Pendelea mihogo ya kuchemshwa. Chukua nazi, piga nyeto, imwagie manii, kisha kaipasulie njia panda. Ataekanyaga akiwa wa kwanza kibamia kinaamia kwake, ndingo yake inakuja kwako. hata mimi nilikuwa hivyo hivyo

Lakini kama atakanyaga mwenye kibamia zaidi yako, hapo utakuwa umelala yooo.
Mamaaaeehh khaa imelala Nini [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tallbata tafuta mafuta ya mzaituni MLS 10, - chupa 3.
Intelligent businessman Kabla ya kuanza ulicho mshauri, nami pia ningemuomba ajipe mwezi mmoja kwa kuuandaa mwili wake na mabadiliko mapya. Hapa ningemshauri 1)afanye mazoezi kwa wingi yatamsaidia kuweka mzunguko mzuri wa damu, hasa mazoez ya kegel.
2)ale chakula bora mwili upate nguvu na afya bora
3) abadili mitizamo yake kwa kile alichokua anakifikiri mwanzoni.
 
Tafuta Mafuta ya nazi piga zoezi la Jelqing ndani ya Miezi miwili utaona matokeo. Asubuhi unachemsha maji unayatumia
NB: HILI ZOEZI HALINA MADHARA YOYOTE YALE NA UWEZEKANO WA KUONGEZEKA UUME UPO KUANZIA NCHI MOJA NA KUENDELEA
 
Tallbata tafuta mafuta ya mzaituni MLS 10, - chupa 3.
👉Kitunguu swaumu robo kilo, Kisha vitwange mpaka vilainike.
👉Kaanga katika sufuria hayo mafuta na vitunguu swamu.
👉Mpaka vibadilike rangi, Kisha acha yapoe na uhifadhi katika chupa ndogo yenye mfuniko.
👉Kabla ya kuanza kutumia dawa, pima ukubwa na urefu was uume wako- ili ufahamu.
👉Utakuwa una uchua uume wako kwa maji ya uvugu vugu(ndani ya dk 15).
👉Kisha ndo una Chua uume kwa mafuta hayo, uliyo andaa.
👉Hakikisha haumwagii, maana ni hatari na haifai(Utakuwa mwanachama was nyetooz).
👉 Tumia wiki 2- 4 Natumai Utaona mabadiliko. 🙏
Hili zoezi kitalaamu linaitwa Jelqing ni zuri sana na Halina madhara kabisa Kuna Jamaa angu alipiga hili zoezi alinambia aliona matokea ya KUONGEZEKA UUME wake nchi 1.5
 
Sungura anaruka ruka huku na kule anaishi miaka chini ya 10, kobe anamwendo mdogo ila ana miaka mingi mwishoni unakuta aliporuka ruka Sungura kwa muda mfupi kobe naye alipita sababu kaishi miaka mingi.

Umenyimwa uume mkubwa kuna kingine umepewa kufidia hilo, Ndivyo nature ilivyo. Tumia ulivyonayo achana na usivyonavyo.
Mkuu ni kweli kabisa... Hii dunia huwezi kupata vyote na pia huwezi kukosa vyote
 
Hili zoezi kitalaamu linaitwa Jelqing ni zuri sana na Halina madhara kabisa Kuna Jamaa angu alipiga hili zoezi alinambia aliona matokea ya KUONGEZEKA UUME wake nchi 1.5
Safi Sana Kaka, uko sahihi kabisa.
👉Yaani ime thibitishwa kitaalamu kabisa.
Half american, Sasso, DungaMawe ushahidi huo hapo 🤒🤒
 
Imesema inchi name au sentimita name ikisimama?
The researchers concluded that the average penis size was 8.8 cm (3.5 in) when flaccid and 12.9 cm (5.1 in) when erect. The study also found that the size of a person's erect penis did not correlate with their flaccid penis size.
Hii study imefanyiwa wazingu, wapare na wachina. Inchi tano ikiwa imesimama kwa mswahili bado Ni kibamia.
 
Back
Top Bottom