Nina miaka 15 ndani ya JamiiForums

Nina miaka 15 ndani ya JamiiForums

Nilijiunga jf 2012,,, ilinilazimu niiache ile id yangu na kuanza maisha mapya nikawa naingia kama guest baadae nikajiunga na id hii 2023.. Nawamiss sana baadhi nawaona napita kimya. Hongera kwa kutimiza miaka hiyo ndani ya jf.
 
Mabibi na mabwana nina mshukuru huyu atupaye pumzi na riziki.
Huu ni mwaka wa kumi na tano ndani ya jamii forum......(si mchezo).
Mengi nimejifunza namshukuruni sana sana.
Na wale tunaopishana kimtazamo au mawazo hapan'shaka twasameheana manake kiukweli binadamu tuna mapungufu na mie njia ya kuondoa hasira ni kutoa tusi kidoogo..hivyo soree.
JF HOYEE
kwanini bado hujawa platinum member?
 
Mabibi na mabwana nina mshukuru huyu atupaye pumzi na riziki.

Huu ni mwaka wa kumi na tano ndani ya jamii forum......(si mchezo)..

Mengi nimejifunza namshukuruni sana sana.

Na wale tunaopishana kimtazamo au mawazo hapan'shaka twasameheana manake kiukweli binadamu tuna mapungufu na mie njia ya kuondoa hasira ni kutoa tusi kidoogo..hivyo soree.

JF HOYEE
Kumbe nami ni mkongwe aseee 2008 niliingia humu kabla nilikuwa JamboForums
 
Mabibi na mabwana nina mshukuru huyu atupaye pumzi na riziki.

Huu ni mwaka wa kumi na tano ndani ya jamii forum......(si mchezo)..

Mengi nimejifunza namshukuruni sana sana.

Na wale tunaopishana kimtazamo au mawazo hapan'shaka twasameheana manake kiukweli binadamu tuna mapungufu na mie njia ya kuondoa hasira ni kutoa tusi kidoogo..hivyo soree.

JF HOYEE
Hongera umekuwa sasa...mshikuru Mungu Kwa alipokufikisha
 
Back
Top Bottom