Nina miaka 24 anataka kunipa mimba kabla ya ndoa ili ajue kama nina kizazi

Nina miaka 24 anataka kunipa mimba kabla ya ndoa ili ajue kama nina kizazi

Mimi binti wa miaka 24, sijaolewa ila nina mchumba wangu ambaye tuko kwenye mahusiano huu ni mwezi 9, ananipedna na mimi nampenda, shida inakuja hivi, wakati tunaanza mahusiano aliniambia kuwa anataka kunioa.

Lakini kabla ya ndoa anataka nibebe mimba ili kupima kama nina kizazi au la kwani kuna watu wanaingia kwenye ndoa wanakaa muda mrefu bila mtoto. Nilikubali kwani alionyesha ana nia kweli, ananishirikisha kwenye mambo yake, najua kwake na kila kitu kiko vizuri.

Shida nikuwa, nimehangaika sana kupata mtoto na huyu mwanaume lakini ilishindikaa, kaka kila nikitaka kubeba mimba siku zangu za hatari hakuna kitu, akawa ni mtu wa kunikasirikia, kuniita mgumba na kuniambia tuachane.

Siku moja nikashika simu yake, nikagundua kuwa kuna mwanamke yuko naye na ana mimba yake, kumuuliza akanimbia ni kweli aliamua kuzaa huko nnje kwakua mimi sizai, katika kuhangaika hanagika niliamua kuchepuka ili nibebe mimba ya mwanaume mwingine.

Kweli nilifanikiwa, nilichepuka mara moja tu nikafanikiwa kubeba ujauzito ambao una miezi 3 sasa, nilimuambia mwanaume alifurahi akaniambia nibebe mimba nikishajifungua ndiyo ataamua muoe nani? Kaka shida inakuja hivi, kuna siku yule mwanaume ambaye nina mimba yake alinitafuta, akawa akaniuliza kama mimba ni yake au la kwani kuna mtua limuambia kaniona kiliniki!

mchumba wangu aliona hizo meseji, katika kuongea nikaamua kumuambia ukweli na sababu za mimi kufanya hivyo, shida nikuwa sasa hivi hataki tena kusikia kuhusu mimi, kaenda kwa huyo mwanamke mwingine kajitambulisha ana anataka kufunga naye ndoa, naomba ushauri ikaka nifanye nini ili kuzuia ndoa isifungwe, nampenda sana huyo Kaka na nilichepuka naye ili tu kumridhisha kwania likua anataka sana mtoto!
Ni sawa tu akupime hata wewe pia unaweza kumpima kwa kumwambia akupe mimba. Imagine mnaoana nyote hamzai, what's the point?
 



Ila wewe brother unataka kutufanya sisi mafala wenzio
Huyu jamaa hovyo sana alikuja na tattoo zake za matakoni hapa, wa kumwonea huruma tukajaribu kumuunganisha na wanaotafuta wenza...kumbe feki.

Jinga sana hili.
 
Usijali hakuna binadam anaekosa kazi kwakua umepewa mimba bila ndoa tutakutumia kama mfano mbaya tukitahadharisha wanaume wenzetu wasioe mwanamke kama wewe
 



Ila wewe brother unataka kutufanya sisi mafala wenzio
Hizi story ana copy kutoka kwa Iddy makengo
 
Huyu jamaa hovyo sana alikuja na tattoo zake za matakoni hapa, wa kumwonea huruma tukajaribu kumuunganisha na wanaotafuta wenza...kumbe feki.

Jinga sana hili.
Hizi story ana copy kutoka kwa Iddy makengo
 



Ila wewe brother unataka kutufanya sisi mafala wenzio
Bora umetusanua mkuu hata hivyo nilikuwa nasoma uzi wake uki nikijisemea huyu mtoa mada si mzima kichwani
 
Alafu ww jamaa una mambo ya kisenge hivi unatuona watoto humu?
Alafu unaweza kuta ww ni dume zima lina mke na watoto nyumbani.
 
Mimi binti wa miaka 24, sijaolewa ila nina mchumba wangu ambaye tuko kwenye mahusiano huu ni mwezi 9, ananipedna na mimi nampenda, shida inakuja hivi, wakati tunaanza mahusiano aliniambia kuwa anataka kunioa.

Lakini kabla ya ndoa anataka nibebe mimba ili kupima kama nina kizazi au la kwani kuna watu wanaingia kwenye ndoa wanakaa muda mrefu bila mtoto. Nilikubali kwani alionyesha ana nia kweli, ananishirikisha kwenye mambo yake, najua kwake na kila kitu kiko vizuri.

Shida nikuwa, nimehangaika sana kupata mtoto na huyu mwanaume lakini ilishindikaa, kaka kila nikitaka kubeba mimba siku zangu za hatari hakuna kitu, akawa ni mtu wa kunikasirikia, kuniita mgumba na kuniambia tuachane.

Siku moja nikashika simu yake, nikagundua kuwa kuna mwanamke yuko naye na ana mimba yake, kumuuliza akanimbia ni kweli aliamua kuzaa huko nnje kwakua mimi sizai, katika kuhangaika hanagika niliamua kuchepuka ili nibebe mimba ya mwanaume mwingine.

Kweli nilifanikiwa, nilichepuka mara moja tu nikafanikiwa kubeba ujauzito ambao una miezi 3 sasa, nilimuambia mwanaume alifurahi akaniambia nibebe mimba nikishajifungua ndiyo ataamua muoe nani? Kaka shida inakuja hivi, kuna siku yule mwanaume ambaye nina mimba yake alinitafuta, akawa akaniuliza kama mimba ni yake au la kwani kuna mtua limuambia kaniona kiliniki!

mchumba wangu aliona hizo meseji, katika kuongea nikaamua kumuambia ukweli na sababu za mimi kufanya hivyo, shida nikuwa sasa hivi hataki tena kusikia kuhusu mimi, kaenda kwa huyo mwanamke mwingine kajitambulisha ana anataka kufunga naye ndoa, naomba ushauri ikaka nifanye nini ili kuzuia ndoa isifungwe, nampenda sana huyo Kaka na nilichepuka naye ili tu kumridhisha kwania likua anataka sana mtoto!
Kwa kumkomoa, beba mimba yangu
 
Mimi binti wa miaka 24, sijaolewa ila nina mchumba wangu ambaye tuko kwenye mahusiano huu ni mwezi 9, ananipedna na mimi nampenda, shida inakuja hivi, wakati tunaanza mahusiano aliniambia kuwa anataka kunioa.

Lakini kabla ya ndoa anataka nibebe mimba ili kupima kama nina kizazi au la kwani kuna watu wanaingia kwenye ndoa wanakaa muda mrefu bila mtoto. Nilikubali kwani alionyesha ana nia kweli, ananishirikisha kwenye mambo yake, najua kwake na kila kitu kiko vizuri.

Shida nikuwa, nimehangaika sana kupata mtoto na huyu mwanaume lakini ilishindikaa, kaka kila nikitaka kubeba mimba siku zangu za hatari hakuna kitu, akawa ni mtu wa kunikasirikia, kuniita mgumba na kuniambia tuachane.

Siku moja nikashika simu yake, nikagundua kuwa kuna mwanamke yuko naye na ana mimba yake, kumuuliza akanimbia ni kweli aliamua kuzaa huko nnje kwakua mimi sizai, katika kuhangaika hanagika niliamua kuchepuka ili nibebe mimba ya mwanaume mwingine.

Kweli nilifanikiwa, nilichepuka mara moja tu nikafanikiwa kubeba ujauzito ambao una miezi 3 sasa, nilimuambia mwanaume alifurahi akaniambia nibebe mimba nikishajifungua ndiyo ataamua muoe nani? Kaka shida inakuja hivi, kuna siku yule mwanaume ambaye nina mimba yake alinitafuta, akawa akaniuliza kama mimba ni yake au la kwani kuna mtua limuambia kaniona kiliniki!

mchumba wangu aliona hizo meseji, katika kuongea nikaamua kumuambia ukweli na sababu za mimi kufanya hivyo, shida nikuwa sasa hivi hataki tena kusikia kuhusu mimi, kaenda kwa huyo mwanamke mwingine kajitambulisha ana anataka kufunga naye ndoa, naomba ushauri ikaka nifanye nini ili kuzuia ndoa isifungwe, nampenda sana huyo Kaka na nilichepuka naye ili tu kumridhisha kwania likua anataka sana mtoto!


Mshauri huyo mwanaume aende hospitali akapimwe mbegu zake, huenda tatizo liko kwake.

Umesema kampa mimba mwanamke mwingine sawa, lakini swali ni kwa nini ashindwe kukupa mimba wewe? Je kama hiyo mimba ya mwanamke mwingine si yake badala yake kapachikiwa tu?

Kwenye masuala ya ugumba ni muhimu kuangalia pande zote mbili mwanaume na mwanamke wote wapime ili kubaini tatizo liko wapi.

Kila la kheri.
 
Mimi binti wa miaka 24, sijaolewa ila nina mchumba wangu ambaye tuko kwenye mahusiano huu ni mwezi 9, ananipedna na mimi nampenda, shida inakuja hivi, wakati tunaanza mahusiano aliniambia kuwa anataka kunioa.

Lakini kabla ya ndoa anataka nibebe mimba ili kupima kama nina kizazi au la kwani kuna watu wanaingia kwenye ndoa wanakaa muda mrefu bila mtoto. Nilikubali kwani alionyesha ana nia kweli, ananishirikisha kwenye mambo yake, najua kwake na kila kitu kiko vizuri.

Shida nikuwa, nimehangaika sana kupata mtoto na huyu mwanaume lakini ilishindikaa, kaka kila nikitaka kubeba mimba siku zangu za hatari hakuna kitu, akawa ni mtu wa kunikasirikia, kuniita mgumba na kuniambia tuachane.

Siku moja nikashika simu yake, nikagundua kuwa kuna mwanamke yuko naye na ana mimba yake, kumuuliza akanimbia ni kweli aliamua kuzaa huko nnje kwakua mimi sizai, katika kuhangaika hanagika niliamua kuchepuka ili nibebe mimba ya mwanaume mwingine.

Kweli nilifanikiwa, nilichepuka mara moja tu nikafanikiwa kubeba ujauzito ambao una miezi 3 sasa, nilimuambia mwanaume alifurahi akaniambia nibebe mimba nikishajifungua ndiyo ataamua muoe nani? Kaka shida inakuja hivi, kuna siku yule mwanaume ambaye nina mimba yake alinitafuta, akawa akaniuliza kama mimba ni yake au la kwani kuna mtua limuambia kaniona kiliniki!

mchumba wangu aliona hizo meseji, katika kuongea nikaamua kumuambia ukweli na sababu za mimi kufanya hivyo, shida nikuwa sasa hivi hataki tena kusikia kuhusu mimi, kaenda kwa huyo mwanamke mwingine kajitambulisha ana anataka kufunga naye ndoa, naomba ushauri ikaka nifanye nini ili kuzuia ndoa isifungwe, nampenda sana huyo Kaka na nilichepuka naye ili tu kumridhisha kwania likua anataka sana mtoto!
Ichukue tu....


...Ni Hayo Tu!!
 
Mimi binti wa miaka 24, sijaolewa ila nina mchumba wangu ambaye tuko kwenye mahusiano huu ni mwezi 9, ananipedna na mimi nampenda, shida inakuja hivi, wakati tunaanza mahusiano aliniambia kuwa anataka kunioa.

Lakini kabla ya ndoa anataka nibebe mimba ili kupima kama nina kizazi au la kwani kuna watu wanaingia kwenye ndoa wanakaa muda mrefu bila mtoto. Nilikubali kwani alionyesha ana nia kweli, ananishirikisha kwenye mambo yake, najua kwake na kila kitu kiko vizuri.

Shida nikuwa, nimehangaika sana kupata mtoto na huyu mwanaume lakini ilishindikaa, kaka kila nikitaka kubeba mimba siku zangu za hatari hakuna kitu, akawa ni mtu wa kunikasirikia, kuniita mgumba na kuniambia tuachane.

Siku moja nikashika simu yake, nikagundua kuwa kuna mwanamke yuko naye na ana mimba yake, kumuuliza akanimbia ni kweli aliamua kuzaa huko nnje kwakua mimi sizai, katika kuhangaika hanagika niliamua kuchepuka ili nibebe mimba ya mwanaume mwingine.

Kweli nilifanikiwa, nilichepuka mara moja tu nikafanikiwa kubeba ujauzito ambao una miezi 3 sasa, nilimuambia mwanaume alifurahi akaniambia nibebe mimba nikishajifungua ndiyo ataamua muoe nani? Kaka shida inakuja hivi, kuna siku yule mwanaume ambaye nina mimba yake alinitafuta, akawa akaniuliza kama mimba ni yake au la kwani kuna mtua limuambia kaniona kiliniki!

mchumba wangu aliona hizo meseji, katika kuongea nikaamua kumuambia ukweli na sababu za mimi kufanya hivyo, shida nikuwa sasa hivi hataki tena kusikia kuhusu mimi, kaenda kwa huyo mwanamke mwingine kajitambulisha ana anataka kufunga naye ndoa, naomba ushauri ikaka nifanye nini ili kuzuia ndoa isifungwe, nampenda sana huyo Kaka na nilichepuka naye ili tu kumridhisha kwania likua anataka sana mtoto!
Wewe si ndiye ulikuja unalamika humu kuwa mama yako amekukimbizia mchumba wako na ulidai kwamba una umri wa miaka 30?
 
Back
Top Bottom