Nina miaka 45, nimependwa na mwanaume wa 38

Na wanaume wengi wakifika kwenye 40 huwa wachovu kitandani balaa yaani akienda goli moja hiyo ni mpaka kesho, hapa nawaza sijui nimpe taraka tu
 
Huyo mtu mzima mwenzako, usione soo Tengeneza naye maisha.
Alafu habari kama hii alishawahi kuileta (skyEclat) memba wa humu miaka 2017/16.
So ni chai kama chai zingne au???
 
hyo tofauti sio kubwa sana
 
Na wanaume wengi wakifika kwenye 40 huwa wachovu kitandani balaa yaani akienda goli moja hiyo ni mpaka kesho, hapa nawaza sijui nimpe taraka tu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…