Nina miaka 45, nimependwa na mwanaume wa 38

Angalia asikutengue nyonga sema yanatokea Ghana hakuna kabila la Ghana
 
hahahahaaaaaaa hii stori tu bila picha.

halafu muende picnic bila mechi inaongeza limao na tangawizi kujiepusha na covid-19
Ofcz hii ni chai ya ki covid19..ina michanganyiko yote yan..limao tangawizi kila kitu
 
Wanawake wananichosha hapo tu,yani mpaka na Age ya 45 lakini hana Maamuzi sahihi ya nini n sawa ktika maisha yake ya mahusiano.

bana wanawake kweli tena udngo wenu Mungu aliotumia n tifutifu aseee.
 
Wanawake wananichosha hapo tu,yani mpaka na Age ya 45 lakini hana Maamuzi sahihi ya nini n sawa ktika maisha yake ya mahusiano.

bana wanawake kweli tena udngo wenu Mungu aliotumia n tifutifu aseee.
Kwani wanawake wote duniani wameomba huu ushauri?
 
Sasa shida iko wapi? Mbona Diamond na Zari waliishi vizuri tu hadi mahasidi walipoingilia maisha yao(kitu ambacho chaweza kutokea hata kama mme akikuzidi umri)...

Pia Soma maisha ya ndoa ya Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, na nguli wa Soka, Zlatan Ibrahimovic...all are married to older women but are happy in their lives, hakuna shida!

Maturity yako ndo inamvuta huyo mme kwako
 
Stop ruining your happiness with the what ifs.

Listen to your heart. Ikikupa go ahead then go for it.
 
Kulikua na haja gani kuzungumzia mambo ya pesa?
 

Mkuki mkuki mkuki [emoji23][emoji23]
 
Si anatuvimbia
Sasa hii inaonyesha Upendo wake umejikita kwenye issue gani hasa!

Wakuu naomba kuuliza, kuna kabila huko west Africa lakuitwa "Ghana"? Samahani lakini.
 
Wanaume mnapendaga papochi au nini kwa mwanamke? Kama ni papachi nadhani ladha hiabadiliki na umri

Kadiri mwanamke anavyokuwa mtulivu ndio papuchi inavyozidi kuwa tamu, hauwezi amini hii kitu rafiki.
 
Na wanaume wengi wakifika kwenye 40 huwa wachovu kitandani balaa yaani akienda goli moja hiyo ni mpaka kesho, hapa nawaza sijui nimpe taraka tu
Mwambie awe anafanya mazoezi asikubali kujiweka ktk mazingira ya kizee zee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…