Wee nawe ... Unavyoniona Mimi Ni type ya mtu ambaye na weza kui interact huo upuuzi unaojaribu kuungoea yaani Mimi niwe na wivu namtu ambaye simjui hanijui ..kubwa zaidi hakuna kitu anacho niongeze Wala kunipunguzia ktk maisha yangu how comes niwe na jealous dhidi yake' ..." mimi nilikuwa najaribu kuongea fact kwamba Mara nyingi public figures wengi huwa hawaongei ukweli so sio watu ambao wanapaswa kuaminika [emoji817] [emoji419] la kuambiwa changanya na zakoWivu unawasumbuaa, ajabu waanaume sasa lol, kuna shida sehemu sio buree, khaaaaah
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ofcz hii ni chai ya ki covid19..ina michanganyiko yote yan..limao tangawizi kila kitu
Wanaume mnapendaga papochi au nini kwa mwanamke? Kama ni papachi nadhani ladha hiabadiliki na umri
Tatizo mjini mmekuja kwa Lori la mchanga mengine yawapiteeee.
#Panicatyourownrisk#
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenda huko wivu unawasumbua tyuuh, na ndo kashapendwa sasa.Wee nawe ... Unavyoniona Mimi Ni type ya mtu ambaye na weza kui interact huo upuuzi unaojaribu kuungoea yaani Mimi niwe na wivu namtu ambaye simjui hanijui ..kubwa zaidi hakuna kitu anacho niongeze Wala kunipunguzia ktk maisha yangu how comes niwe na jealous dhidi yake' ..." mimi nilikuwa najaribu kuongea fact kwamba Mara nyingi public figures wengi huwa hawaongei ukweli so sio watu ambao wanapaswa kuaminika [emoji817] [emoji419] la kuambiwa changanya na zako
Copy and pestHuyo mtu mzima mwenzako, usione soo Tengeneza naye maisha.
Alafu habari kama hii alishawahi kuileta (skyEclat) memba wa humu miaka 2017/16.
Kwani Tatizo nini, unahisi haitaweza ingia ?Nimeiangalia habari ya Kajala na Harmonise ninaona ni haya maisha yangu kabisa. Mwaka 2014 nilikutana na kaka mmoja kutoka Ghana, ni mweusi ule weusi unaon’gaa, mrefu 6”2 amepanda. Kijana huyu tulielewana tunaweza kuongea mpaka asubuhi.
Kabila ni Mghana, alisoma Marekani na Uingereza. Ni investment banker. Pesa kwake siyo tatizo kabisa. Tulifahamu tofauti za umri kati yetu, tulikuwa marafiki. Kutokana na nature ya kazi yake anasafiri sana. Zaidi ya familia yake hana marafiki wengi. Mara nyingi tulifanya picnic pamoja wakati wa kiangazi, kwenda kula dinner na vitu vingine.
Alinipeleka kwao likizo, amejenga nyumba ya vyumba vinne vya kulala. Huwa anaifunga akiondoka na binamu yake anaishi kwenye guest wing na familia yake, ndiyo kama walinzi.
Huyu mwanaume anasema amenielewa sana anataka kumuona. Miaka yangu ni 45 na mtoto wa dada yangu mkubwa ana miaka 36 nikifikiria kumletea uncle ana 38.
Sijawahi kufanya nae mapenzi, kuna wakati alihamisha £ 8,000 kwenye account yangu zinisaidie akiwa safarini. Kipindi hicho nilikua ninaongeza ujuzi.
Sina mume wala sijawahi kuolewa.
Mi sijifariji maana umri unaenda na papuchi inatumika yani ipo kwenye matumizi so kama ukifika huo umri imeisha hyo ladha haitanishtua. Tunasema Direct proportianal. Nilichokua nataka kujua huyo ambaye hajatumika mpk umri huo inamaana ladha haipo?Naona unajaribu kujifariji mkuu!!
Mi sijifariji maana umri unaenda na papuchi inatumika yani ipo kwenye matumizi so kama ukifika huo umri imeisha hyo ladha haitanishtua. Tunasema Direct proportianal. Nilichokua nataka kujua huyo ambaye hajatumika mpk umri huo inamaana ladha haipo?
Kabla ya kushauriwa wewe mwenyewe unasemaJe ?!.Nimeiangalia habari ya Kajala na Harmonise ninaona ni haya maisha yangu kabisa. Mwaka 2014 nilikutana na kaka mmoja kutoka Ghana, ni mweusi ule weusi unaon’gaa, mrefu 6”2 amepanda. Kijana huyu tulielewana tunaweza kuongea mpaka asubuhi.
Kabila ni Mghana, alisoma Marekani na Uingereza. Ni investment banker. Pesa kwake siyo tatizo kabisa. Tulifahamu tofauti za umri kati yetu, tulikuwa marafiki. Kutokana na nature ya kazi yake anasafiri sana. Zaidi ya familia yake hana marafiki wengi. Mara nyingi tulifanya picnic pamoja wakati wa kiangazi, kwenda kula dinner na vitu vingine.
Alinipeleka kwao likizo, amejenga nyumba ya vyumba vinne vya kulala. Huwa anaifunga akiondoka na binamu yake anaishi kwenye guest wing na familia yake, ndiyo kama walinzi.
Huyu mwanaume anasema amenielewa sana anataka kumuona. Miaka yangu ni 45 na mtoto wa dada yangu mkubwa ana miaka 36 nikifikiria kumletea uncle ana 38.
Sijawahi kufanya nae mapenzi, kuna wakati alihamisha £ 8,000 kwenye account yangu zinisaidie akiwa safarini. Kipindi hicho nilikua ninaongeza ujuzi.
Sina mume wala sijawahi kuolewa.