Nina miaka 45, nimependwa na mwanaume wa 38

Nina miaka 45, nimependwa na mwanaume wa 38

Wivu unawasumbuaa, ajabu waanaume sasa lol, kuna shida sehemu sio buree, khaaaaah
Wee nawe ... Unavyoniona Mimi Ni type ya mtu ambaye na weza kui interact huo upuuzi unaojaribu kuungoea yaani Mimi niwe na wivu namtu ambaye simjui hanijui ..kubwa zaidi hakuna kitu anacho niongeze Wala kunipunguzia ktk maisha yangu how comes niwe na jealous dhidi yake' ..." mimi nilikuwa najaribu kuongea fact kwamba Mara nyingi public figures wengi huwa hawaongei ukweli so sio watu ambao wanapaswa kuaminika [emoji817] [emoji419] la kuambiwa changanya na zako
 
Wee nawe ... Unavyoniona Mimi Ni type ya mtu ambaye na weza kui interact huo upuuzi unaojaribu kuungoea yaani Mimi niwe na wivu namtu ambaye simjui hanijui ..kubwa zaidi hakuna kitu anacho niongeze Wala kunipunguzia ktk maisha yangu how comes niwe na jealous dhidi yake' ..." mimi nilikuwa najaribu kuongea fact kwamba Mara nyingi public figures wengi huwa hawaongei ukweli so sio watu ambao wanapaswa kuaminika [emoji817] [emoji419] la kuambiwa changanya na zako
Kwenda huko wivu unawasumbua tyuuh, na ndo kashapendwa sasa.
 
Nimeiangalia habari ya Kajala na Harmonise ninaona ni haya maisha yangu kabisa. Mwaka 2014 nilikutana na kaka mmoja kutoka Ghana, ni mweusi ule weusi unaon’gaa, mrefu 6”2 amepanda. Kijana huyu tulielewana tunaweza kuongea mpaka asubuhi.

Kabila ni Mghana, alisoma Marekani na Uingereza. Ni investment banker. Pesa kwake siyo tatizo kabisa. Tulifahamu tofauti za umri kati yetu, tulikuwa marafiki. Kutokana na nature ya kazi yake anasafiri sana. Zaidi ya familia yake hana marafiki wengi. Mara nyingi tulifanya picnic pamoja wakati wa kiangazi, kwenda kula dinner na vitu vingine.

Alinipeleka kwao likizo, amejenga nyumba ya vyumba vinne vya kulala. Huwa anaifunga akiondoka na binamu yake anaishi kwenye guest wing na familia yake, ndiyo kama walinzi.

Huyu mwanaume anasema amenielewa sana anataka kumuona. Miaka yangu ni 45 na mtoto wa dada yangu mkubwa ana miaka 36 nikifikiria kumletea uncle ana 38.

Sijawahi kufanya nae mapenzi, kuna wakati alihamisha £ 8,000 kwenye account yangu zinisaidie akiwa safarini. Kipindi hicho nilikua ninaongeza ujuzi.

Sina mume wala sijawahi kuolewa.
Kwani Tatizo nini, unahisi haitaweza ingia ?
Ila inaonesha umelenga hela zake
 
Kama unampenda mkubalie tu hamna shida,usiangalie wanadamu watasema nini juu yako maisha ni yako wewe mwenyewe.
 
Naona unajaribu kujifariji mkuu!!
Mi sijifariji maana umri unaenda na papuchi inatumika yani ipo kwenye matumizi so kama ukifika huo umri imeisha hyo ladha haitanishtua. Tunasema Direct proportianal. Nilichokua nataka kujua huyo ambaye hajatumika mpk umri huo inamaana ladha haipo?
 
Mi sijifariji maana umri unaenda na papuchi inatumika yani ipo kwenye matumizi so kama ukifika huo umri imeisha hyo ladha haitanishtua. Tunasema Direct proportianal. Nilichokua nataka kujua huyo ambaye hajatumika mpk umri huo inamaana ladha haipo?

Huyo sio kama hajatumika, alichosema ni hajaolewa na hana mtoto.... si ajabu imetumika mara nyingi kuliko wanandoa wa umri wake.
 
Nimeiangalia habari ya Kajala na Harmonise ninaona ni haya maisha yangu kabisa. Mwaka 2014 nilikutana na kaka mmoja kutoka Ghana, ni mweusi ule weusi unaon’gaa, mrefu 6”2 amepanda. Kijana huyu tulielewana tunaweza kuongea mpaka asubuhi.

Kabila ni Mghana, alisoma Marekani na Uingereza. Ni investment banker. Pesa kwake siyo tatizo kabisa. Tulifahamu tofauti za umri kati yetu, tulikuwa marafiki. Kutokana na nature ya kazi yake anasafiri sana. Zaidi ya familia yake hana marafiki wengi. Mara nyingi tulifanya picnic pamoja wakati wa kiangazi, kwenda kula dinner na vitu vingine.

Alinipeleka kwao likizo, amejenga nyumba ya vyumba vinne vya kulala. Huwa anaifunga akiondoka na binamu yake anaishi kwenye guest wing na familia yake, ndiyo kama walinzi.

Huyu mwanaume anasema amenielewa sana anataka kumuona. Miaka yangu ni 45 na mtoto wa dada yangu mkubwa ana miaka 36 nikifikiria kumletea uncle ana 38.

Sijawahi kufanya nae mapenzi, kuna wakati alihamisha £ 8,000 kwenye account yangu zinisaidie akiwa safarini. Kipindi hicho nilikua ninaongeza ujuzi.

Sina mume wala sijawahi kuolewa.
Kabla ya kushauriwa wewe mwenyewe unasemaJe ?!.

Kama mnakusudia kupata watoto ktk ndoa hiyo, ni kama vile wakati unakuacha ki aina . Lakini kama ni maraha tu kuleni . Miss Daisy Llilies
 
hamufanyi mapenzi!!!! at his age and yours......sasa mkienda huko mnafanya nini.....chunga sana usijeolewa na HANITHI,,, eti tunaongea mpaka asubuhi....huyo ni mwanamke mwenzio.....kwani umri ni tatizo,,,kwame sio.....huyo ni mwanamke mwenzio....chunguza kwa makinikia.....sina hakika kuna MWANAUME........100% wote tu vipanga.....then akue na kiburudisho kama tooth pick...lazima akuchokoe tuuu....au anacho kiburudisho chake....au CHAPUTA family....
 
Mtu mzima mwenzio huyo si mtoto
Nashauri umkubali myajenge

sijaelewa kwanini na umri huo bado unasita
Try ur chance
 
Umri ulionao wenzio wanalea vitukuu..wewe bado unatafuta kuolewa?
 
Back
Top Bottom