Mkondo wa Nungwi
JF-Expert Member
- Feb 16, 2019
- 332
- 385
Ninaomba kusaidiwa mchango wa mawazo tatizo ni nini mpaka muda huu nimefilisika kabisa. Mwisho ndani ya miaka mitatu nimefilisika maduka 5. Ambayo nilikuwa nalipia kodi laki 5 kwa mwezi.
Nina mkosi gani au ndio majaliwa yangu au mipango ya Mungu ama shetani.
Situmii kilevi na sijawahi kuhonga hata 30000.
Nina mkosi gani au ndio majaliwa yangu au mipango ya Mungu ama shetani.
Situmii kilevi na sijawahi kuhonga hata 30000.