casanova69
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 2,361
- 2,166
Nimesoma mwanzo mwisho sijaona sababu za kufilisika!
-Wateja walipungua?
-Ushindani uliongezeka?
-Gharama za biashara ziliongezeka?
-Ulishindwa kusimamia (usimamizi mbovu)?
-Au figisu/uchawi/umefilisiwa kimkakati?
-Wateja walipungua?
-Ushindani uliongezeka?
-Gharama za biashara ziliongezeka?
-Ulishindwa kusimamia (usimamizi mbovu)?
-Au figisu/uchawi/umefilisiwa kimkakati?