Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu yote tuliyonayo ni kwa rehema na wala sio kwa akili zetu.Maduka 11 umefilisika kizembe sana moja tu likianzakudorora inabidi ushtuke ,nakuanza kutafuta pancha ilipo uzibe upepo usitoke, tena haraka ukipunguza matumizi kwa asilimia 50 mpaka utakaporejea sawa, sasa maduka 11 yanaisha upo tu,. Basi kuna mawili unanyota ya umaskini huo utajiri ulilazmisha, pili umemkosea Mungu sana, tatu uchawi, kama ni kwaakili yako timamu hayo hayapo maduka 11 yakaisha wewe ni bwege sana,. Nipo kwenye shida ila siwezi kuwa na maduka matano tu alafu nifilisike eti.
Nimekwisha maliza au fufunga maduka yote mkuu tangu 2016Umeshamaliza kufunga maduka yote mkuu.?!
Niachie hata moja nisimamie mimi.
Huwa unahonga ngapi?Situmii kilevi na sijawahi kuhonga hata 30000
Hapo kwenye kutokuweka kumbukumbu ndio tatizo lilipo.Mkuu sikuweza kuweka kumbukumbu izo kipindi hiki cha mwisho wa kufilisika lakin nina historia nzuri tangu nianze biashara mwaka 94 mpaka nilipofilisika mwaka 2016
Nilianza na mtaji wangu mwenywe baadae nikakopHiyo mitaji uliipataje, kuhonga mwisho 29,000 kwa mwezi ukihonga wanne ni zaidi ya laki
Mwaka 94 nilianza duka langu la kaseti za radio zikaja cd nikaweka nikabadili biashara mwaka 99 nikapigisha simu nikabadili biashara mwaka 2002 nikauza simu na accessory mpaka nimefilisika mwaka 2016 niko kwenye maduka ya simu tu. Nilikua nasimamia mwenyewe biashara mpaka 2010 ndio nilianza kuajiri hapo ndio biashara ilinichanganyia sana nikawa nasafiri mwenyewe kodi zote nilikua nalipa vizuri maduka 3 ndio niliyokua nikiyaendesha kwa pamoja mwaka 2010 mpaka 2015 baadae hapo ndio nikafilisika nikafungua jengine na jengine mpaka ikafika hesabu ya maduka 11.hayo maduka yote ulifungua kwa wakati mmoja? au ilikuwaje, na wakati moja linafilisika, ulifanyaje kuminimize gharama za kuendelea kulipia kodi ya vyumba kwa ambayo pia yalikuwa yanaonyesha dalili ili walau upate pa kusimamia? ulisoma vizuri mazingira uliyofungulia maduka? hivi unaweza kufungua maduka yooote hayo uyaendeshe kwa pamoja, ulipe na wahudumu kwa yote hayo plus kodi bila kuwa na duka mama ambalo mengine yakisuasua lenyewe litakubeba? kwanini unafikiri matajiri wengi wenye makampuni mengi huwa wanaamua kufilisi kampuni zao kadhaa ili walau wabaki na kile kilichopo mkononi kuliko kupoteza vyote? pole sana lakini.
Kumbukumbu nilikua naweka nilipoanza kuajiri lakin sikuweza kuhifadhi mabuku nilichanganyikiwa sana.Hapo kwenye kutokuweka kumbukumbu ndio tatizo lilipo.
Ahsante mkuu kwa kunisaidia kujibuNdugu yote tuliyonayo ni kwa rehema na wala sio kwa akili zetu.
Barikiwa.Ahsante mkuu kwa kunisaidia kujibu
Ahsante mkuu sijakata tamaa ingawa umri umeendeMkuu pole sana awamu iliyopita haikuacha salama mitaji yetu. Nafikiri nawe na mmoja kati ya watu wanaoendesha biashara kwa kutumia mikopo. Pia ongezeko la bei ya vitu linaharibu mitaji na mzunguko wa biashara
Mfano hivi sasa mtu unakuta alikua anapata bidhaa 10 kwa shilling 1000000 hapo inaamanisha ulikua unanua kwa shiling laki kila moja. Fikiria mfumuko wa bei usio thibitiwa bongo. Ukawa unanunua hivyo vitu 10 kwa shilingi 1200000 moja kwa moja hapo unajila mtaji huku faida yako itabaki kuwa ile ile na marejesho pale pale.
Pole sana mkuu ni vyema kuanza moja kuliko kukata tamaa
Maduka 9 aina moja ya simu moja kaseti na foodstuffMkuu..Hujui sababu zilizopelekea ww kufilisika???
Biashara gani ulikuwa unafanya.??
Maduka 11 yote yalikuwa ya biashara ya aina moja au tofauti tofauti..
Ukirudi kwenye mstari, kwanza mkumbuke Mola wako kwa kumpatia shukrani katika mapato unayopata. Pili, tengeneza mfumo mzuri wa kutunza kumbukumbu inaweza kuwa manual (Countebooks) lakini pia computerised (Kutunza kwa kutumia softcopy.Kumbukumbu nilikua naweka nilipoanza kuajiri lakin sikuweza kuhifadhi mabuku nilichanganyikiwa sana.
Ahsante mkuu sijakata tamaa ingawa umri umeende
Maduka 9 aina moja ya simu moja kaseti na foodstuff
hukuzingatia records za mienendo ya biashara.Kumbukumbu nilikua naweka nilipoanza kuajiri lakin sikuweza kuhifadhi mabuku nilichanganyikiwa sana.