Nina Mil.10 Nikianza ujenzi wa nyumba itafika wapi??

Nina Mil.10 Nikianza ujenzi wa nyumba itafika wapi??

Kama una vipimo vya nyumba yaan urefuxupana, unaweza ukani pm nkakupa real estmate, ujue ila kama hela ipo anza ucje ukaipoteza bure
 
Jenga mkuu, kama kama kiwanja chako kiko kwenye eneo la flat na la kichanga ambalo sio mfinyazi basi kwa kifupingharama zako zitakuwa hivi

Msingi: tofali 500 x 1200tsh= 600000/= msingi wako utakwa wa tofali tano (height)
Cement: msingi 15x17000= 255000
Nondo za mkanda (10 mm) 15x15000=225000
Cement za mkanda 15x 17000 = 255000
binding wire, mbao, misumari, ring, maji na dharura: 500,000/=
Kokoto unanunua mende moja 300000, kokoto zitabakia mingi za kuwekea mkanda wa juu rental
mchanga mende moja 300000
JUMLA YA MSINGI BILA HELA YA FUNDI = 2,455,000/=

Boma: Tofali 1040 x 1200= 1,248,000
Cement 20x 17000= 340000
Mchanga mende2 =600000
Maji na mengineyo= 500,000
JUMLA YA BOMA BILA HELA YA FUNDI = 2,688,000

Mkanda wa juu, hapo inakuwa ni nafuu kidogo kwani mbao utakuwa nazo, kokoto zitakuwepo, mchanga utakuwepo na size yake itakuwa ndogo kwani tofali zitakuwa za wima na gharama yake itakuwa hivi
Nondo (mm10) 15x 15000= 225000
cement za mkanda 15x 17000= 255000
Binding wire, ringi, misumali, mbao za sahani, maji na dharura=500000
JUMLA JUMLA YA MKANDA WA JUU BILA FUNDI = 980000

JUMLA KUU BILA FUNDI = 6,123,000/=
KIFUSI CHA KUJAZA NDANI NA KAZI ZA DHARURA= 2,000,000/
FUNDI MAKUBALIANO LAKINI ISIZIDI = 2,000,000

JUMLA YA MWISHO 10,123,000/=

mimi sio fundi ila nina uzoefu sana wa ujenzi hasa wa Dar,
hiyo gharama imezingatia kuwa , kiwanja chako kiko tambarare, na ground ni ya kichanga au udongo unaofanan na kichanga sio mfinyanzi
pia hesabu hiyo itapatikana tu ikiwa kila kitu unanunua mwenyewe na wewe ndio msimamizi mkuu wa show nzima

Shukrani, kwa kuwa ni mzoefu, sina objection lakini matofali 1740 ni vymba vya namna gani hivyo? ni nyumba ya namna gani hiyo? Dar inapanuka kwa kasi so at least ujenge nyumba pana na yenye nafasi ili baada ya mwaka mmoja usije ukaiona kituko. Vile vile kwa kuwa haina jamvi, ni vema akaweka kozi sita kabla ya kufunga mkanda wa chini. Na ajitahidi afunge mkanda yote chini na juu. Hizi estimation zako zinaweza kufaa kwa nyumba ya "cheap" za kupangisha. Hata hivyo shukrani kwa uchanganuzi wako
 
Milioni 10 ni poa sana kwa kuanza kujenga nyumba,Mkuu kama eneo hilo lina udongo mgumu basi msingi tu unaweza kutumia kama Milion moja na nusu hapo ushamlipa fundi then zinazobaki utafika mbali sema kila siku mambo yanabadilika nikiwa na maana ya bei ya vifaa vya ujenzi.Kila la kheri mkuu
 
Hufiki popote fuga kuku wa nyama usitafute kulia bureee
 
Jenga mkuu, kama kama kiwanja chako kiko kwenye eneo la flat na la kichanga ambalo sio mfinyazi basi kwa kifupingharama zako zitakuwa hivi

Msingi: tofali 500 x 1200tsh= 600000/= msingi wako utakwa wa tofali tano (height)
Cement: msingi 15x17000= 255000
Nondo za mkanda (10 mm) 15x15000=225000
Cement za mkanda 15x 17000 = 255000
binding wire, mbao, misumari, ring, maji na dharura: 500,000/=
Kokoto unanunua mende moja 300000, kokoto zitabakia mingi za kuwekea mkanda wa juu rental
mchanga mende moja 300000
JUMLA YA MSINGI BILA HELA YA FUNDI = 2,455,000/=

Boma: Tofali 1040 x 1200= 1,248,000
Cement 20x 17000= 340000
Mchanga mende2 =600000
Maji na mengineyo= 500,000
JUMLA YA BOMA BILA HELA YA FUNDI = 2,688,000

Mkanda wa juu, hapo inakuwa ni nafuu kidogo kwani mbao utakuwa nazo, kokoto zitakuwepo, mchanga utakuwepo na size yake itakuwa ndogo kwani tofali zitakuwa za wima na gharama yake itakuwa hivi
Nondo (mm10) 15x 15000= 225000
cement za mkanda 15x 17000= 255000
Binding wire, ringi, misumali, mbao za sahani, maji na dharura=500000
JUMLA JUMLA YA MKANDA WA JUU BILA FUNDI = 980000

JUMLA KUU BILA FUNDI = 6,123,000/=
KIFUSI CHA KUJAZA NDANI NA KAZI ZA DHARURA= 2,000,000/
FUNDI MAKUBALIANO LAKINI ISIZIDI = 2,000,000

JUMLA YA MWISHO 10,123,000/=

mimi sio fundi ila nina uzoefu sana wa ujenzi hasa wa Dar,
hiyo gharama imezingatia kuwa , kiwanja chako kiko tambarare, na ground ni ya kichanga au udongo unaofanan na kichanga sio mfinyanzi
pia hesabu hiyo itapatikana tu ikiwa kila kitu unanunua mwenyewe na wewe ndio msimamizi mkuu wa show nzima

Mkuu nimeupenda mchanganuo wako unaweza pata rough approximate kwa huu utaratibu wako I am sure gharama hizi ni true kama kutakuwa na tofauti ni ndogo sana
 
Je kama anunua mchanga na kuweka watu wa kupiga tofali na kuwalipa badala ya kununua tofali haitapunguza gharama?
 
Karibu sana kinyerez mm nimejenga huku kwa msaada zaidi PM kwangu nikupe info na uzoefu nliotumia
 
iyo 10M si uifanyie buznes mkuu? Kujenga ni woga wa maisha, tafuta ela kwanza mambo mengine yatajipa wkt ukifika
 
Jenga kama ndege anavyojenga kiota chake....usiwe na papara, utafika tu.......kwa kawaida msingi wa nyumba ndio nyumba.....hivyo hakikisha msingi unakuwa imara.....na pesa nyingi itatumika hapo.......sehemu nyingine itayokula pesa yako kisawasawa ni finishing......aisee.....si mchezo......
 
Je kama anunua mchanga na kuweka watu wa kupiga tofali na kuwalipa badala ya kununua tofali haitapunguza gharama?

In theory kufyatua matofali kunapunguza gharama, lakini ukija kwenye practice kunaongeza gharama.

Why?

Bongo watu maadili HAKUNA. Kila unayedeal naye anatafuta mwanya wa kukudhulumu. Kufyatua matofali kuna mianya mingi sana ya kudhulumiwa kuanzia kwenye cement, maji na pia uwezekano wa kuibiwa matofali yenyewe kwa sababu yatakaa muda mrefu site.

Hapo unaona kwanza unacompromise quality ya matofali yenyewe lakini pia unaongeza mianya ya kuibiwa na vilevile unajipa mzigo wa kuyalinda matofali. Ukijumlisha na gharama za usimamizi wa shughuli ya ufyatuaji utaona umeongeza direct and indirect costs.

Utaratibu wa kununua matofali ni mzuri kama ule wa Just-In-Time (JIN).
 
Asante sana Mkuu Kituko kwa mchanganuo ulionipa, kiwanja tambalale ila mchanga wake ni wa vumbi, kuna fundi alishawahi kuniambia haufai.

=Kituko;6416574]Jenga mkuu, kama kama kiwanja chako kiko kwenye eneo la flat na la kichanga ambalo sio mfinyazi basi kwa kifupingharama zako zitakuwa hivi

Msingi: tofali 500 x 1200tsh= 600000/= msingi wako utakwa wa tofali tano (height)
Cement: msingi 15x17000= 255000
Nondo za mkanda (10 mm) 15x15000=225000
Cement za mkanda 15x 17000 = 255000
binding wire, mbao, misumari, ring, maji na dharura: 500,000/=
Kokoto unanunua mende moja 300000, kokoto zitabakia mingi za kuwekea mkanda wa juu rental
mchanga mende moja 300000
JUMLA YA MSINGI BILA HELA YA FUNDI = 2,455,000/=

Boma: Tofali 1040 x 1200= 1,248,000
Cement 20x 17000= 340000
Mchanga mende2 =600000
Maji na mengineyo= 500,000
JUMLA YA BOMA BILA HELA YA FUNDI = 2,688,000

Mkanda wa juu, hapo inakuwa ni nafuu kidogo kwani mbao utakuwa nazo, kokoto zitakuwepo, mchanga utakuwepo na size yake itakuwa ndogo kwani tofali zitakuwa za wima na gharama yake itakuwa hivi
Nondo (mm10) 15x 15000= 225000
cement za mkanda 15x 17000= 255000
Binding wire, ringi, misumali, mbao za sahani, maji na dharura=500000
JUMLA JUMLA YA MKANDA WA JUU BILA FUNDI = 980000

JUMLA KUU BILA FUNDI = 6,123,000/=
KIFUSI CHA KUJAZA NDANI NA KAZI ZA DHARURA= 2,000,000/
FUNDI MAKUBALIANO LAKINI ISIZIDI = 2,000,000

JUMLA YA MWISHO 10,123,000/=

mimi sio fundi ila nina uzoefu sana wa ujenzi hasa wa Dar,
hiyo gharama imezingatia kuwa , kiwanja chako kiko tambarare, na ground ni ya kichanga au udongo unaofanan na kichanga sio mfinyanzi
pia hesabu hiyo itapatikana tu ikiwa kila kitu unanunua mwenyewe na wewe ndio msimamizi mkuu wa show nzima[/QUOTE]
 
Jenga kama ndege anavyojenga kiota chake....usiwe na papara, utafika tu.......kwa kawaida msingi wa nyumba ndio nyumba.....hivyo hakikisha msingi unakuwa imara.....na pesa nyingi itatumika hapo.......sehemu nyingine itayokula pesa yako kisawasawa ni finishing......aisee.....si mchezo......

Ni kweli mambo mazuri hayataki haraka
 
iyo 10M si uifanyie buznes mkuu? Kujenga ni woga wa maisha, tafuta ela kwanza mambo mengine yatajipa wkt ukifika

Hahahaha eti uoga wa maisha! !!!!! Kwani hiyo mil 10 imejitafuta na kuja kwangu yenyewe? ??
Jibu 'NO' business ndio inayoniingizia
Upo?
 
Milioni 10 ni poa sana kwa kuanza kujenga nyumba,Mkuu kama eneo hilo lina udongo mgumu basi msingi tu unaweza kutumia kama Milion moja na nusu hapo ushamlipa fundi then zinazobaki utafika mbali sema kila siku mambo yanabadilika nikiwa na maana ya bei ya vifaa vya ujenzi.Kila la kheri mkuu


Asante for wish me luck.
 
In theory kufyatua matofali kunapunguza gharama, lakini ukija kwenye practice kunaongeza gharama.

Why?

Bongo watu maadili HAKUNA. Kila unayedeal naye anatafuta mwanya wa kukudhulumu. Kufyatua matofali kuna mianya mingi sana ya kudhulumiwa kuanzia kwenye cement, maji na pia uwezekano wa kuibiwa matofali yenyewe kwa sababu yatakaa muda mrefu site.

Hapo unaona kwanza unacompromise quality ya matofali yenyewe lakini pia unaongeza mianya ya kuibiwa na vilevile unajipa mzigo wa kuyalinda matofali. Ukijumlisha na gharama za usimamizi wa shughuli ya ufyatuaji utaona umeongeza direct and indirect costs.

Utaratibu wa kununua matofali ni mzuri kama ule wa Just-In-Time (JIN).

Hiyo ni kweli. Lakini kuna mtu mwingine anaweza kuwa na ndugu yake kusimamia upigaji wa tofali. Pia bomba lipo kwenye site. Na mtu huyu anakaa hapohapo site. Kwa hiyo kuna uhakika wa karibu 99% ya usalama wa cement, maji, usimamizi wa ratio katika uchanganyaji, curing, n.k HAPO BILA SHAKA ATAOKOA KIASI FULANI
 
Kama kuna member aliyefanya rroofing/kupaua siku za karibuni unaweza weka mchanganua wa mahitaji kama mbao aina ya roofing material na bei zake watu tukapata rough idea za real costs
 
Habari wa JF , naomba msaada wa kimawazo na ushauri, Nina Mil.10 ninaplan ya kujenga nyumba yenye vyumba 3,

Je kwa hiyo pesa nyumba yangu itaishia wapi?

Kwa wenye uzoefu wa mambo ya ujenzi tafadhari....

Kwa nyumba uliyosema inafika had renta,njoo ofisin HALAAL CO. LTD tukupatie MATOFALI bora kabisa YA CEMENT YA PAKISTAN ORIGINAL,TEGETA NYAISHOZI...0764 468 469
 
Back
Top Bottom