Mid-Towns, kama migodini hivi, huduma zote zinapatikana, kuna umeme, maji, biashara, usafiri, n.kYani siwezi kuiweka vizuri kimaneno lakini akikaa sehemu ambayo haijaendelea sanaaa anaweza kupata 10k kwa siku
Simaanishi kijijini kabisa no
Sehemu flan hv
Sio bushiiiiii
Sio town
10k hakosi nna uhakika
Asianzr na ps4 maeneo kama hayo hawana uharaka sana na ma ps4 mm mwenyewe nilianza na ps3 2 na tv inch32 mbiliKwa million hapo anapata PS4 Moja na TV inch 32...
kijijini ni sehemu ya kusomea gap tuh ukiwa timamu huwezi kuishi kijijini nduguMbona watu wanaishi, sema kijijini sio Sehemu ya kuonesha una Pesa. Ukipata pesa unaenda kufanyia maendeleo Sehemu nyingine
Hivi PS3, PS4, na PS5 zina bei gani kila moja ikiwa full setAsianzr na ps4 maeneo kama hayo hawana uharaka sana na ma ps4 mm mwenyewe nilianza na ps3 2 na tv inch32 mbili
1.5 mill anaanza business
Hakika๐kijijini ni sehemu ya kusomea gap tuh ukiwa timamu huwezi kuishi kijijini ndugu
SafiMid-Towns, kama migodini hivi, huduma zote zinapatikana, kuna umeme, maji, biashara, usafiri, n.k
npe namba yako hapa au PM.N:B: Mimi sio mdau wa kamari, forex, bitcoin.
habari zenu wana tech, naombeni mnipe ideas
Nipo mazingira ya mjini
nilitaka kununua game lakini interest imepungua
binafsi ni muajiriwa lakini ni mdau mkubwa sana wa side hustles
Nahitaji wazo au vifaa / huduma walau kuingiza elf 10 kwa siku,
niliwahi kufungua banda la games tatizo kubwa mimi ni mtumishi sishindi nliweka kijana mwanzoni nilikuwa napata napiga hela ila baada ya miezi miwili simu za wazazi zikaanza kuita wanalalamika watoto wanaiba pesa nyumbani, sheria za kufungua kuanzia jioni, wezi, n.k.
Au akiamua anaweza kuamka na millio 0kwa hyo milion yako kesho saa 3 asbuhi, unaeza kua na milion 1 na laki moja. uko dar?
(it mean unaamka na faida ya laki 1)
Usimhakikishie odds
watu wengi mlivoona comment yangu mnadhani hyo issue inahusiana na betting๐๐๐๐๐Au akiamua anaweza kuamka na millio 0
It dependsHivi PS3, PS4, na PS5 zina bei gani kila moja ikiwa full set
PS3 umesema 250k, ukiongezea na TV jumla inakuwa jeIt depends
Ps3 250k sasa hv sema hapo hupewi pad
Hizo ndo nlizoenda kununua mimi wakati naanza
Ps4 550k sema zinashuka zaidi ya hapo mpaka 500k saa nyingine
Ps5 sijui sijawahi fatilia ila millioni na ushee jiandae kuitema
Tv inchi 32 tafuta ambazo sio smart ni kama 220k kushuka mpaka 180k ukiingia facebook marketplace you can even get for less if you can take the riskPS3 umesema 250k, ukiongezea na TV jumla inakuwa je
OkTv inchi 32 tafuta ambazo sio smart ni kama 220k kushuka mpaka 180k ukiingia facebook marketplace you can even get for less if you can take the risk
Una uzoefu na hii biashara mkuu?Nunua washing machine, na bei weka za wananchi