Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ninaishi maeneo yenye barabara za vumbi lakini si mbaya sana
ninaishi maeneo yenye barabara za vumbi lakini si mbaya sana
Chukua Suzuki Escudo old model ile yenye silinda nne
Dah, Mkuu utahitaji kufafanua kidogo, au labda bado sana mkuda wa kununua hilo gari?
Unahtaji gari ya namna gani
SUV, Sedan, Pickup au Van, eleza kidogo. Unahtaji 4*4 ama? Unaangalia fuel economy ama? Utaendea safari ndefu au kazini tu?
Ungefafanua matumizi (biashara au kutembelea tu/family car n.k) tungeweza kukushauri vizuri......
Kwani kakuambia yeye Mchagga??
nunua toyota rav 4
mkuu pono ni yadi gani dar ambayo ni nzuri ninaweza kupata toyota rav 4 old model ambayo haijachakachuliwa
mkuu nataka iwe four wheel drive na atleast itumie mafuta lita 1 kwa km 10 hivi.Nitaitumia kwa kuendea kazini na safari ndefu pia
Kwani kakuambia yeye Mchagga??
duh,mkuu naitaka ile yenye cc1500 vvti,nipe details zake,ulaji wa mafuta,kuhimili safari ndefu na utengenezwaji wake pindi ipatapo tatizo!!bila shaka unayoUgonjwa wa moyo Rav 4,nunua toyota spacio new model yenye engine ya VVT-I cc 1800-1500
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Nami pia naomba details mkuu ninahitaji piaduh,mkuu naitaka ile yenye cc1500 vvti,nipe details zake,ulaji wa mafuta,kuhimili safari ndefu na utengenezwaji wake pindi ipatapo tatizo!!bila shaka unayo
akinijibu ntakufowadiaNami pia naomba details mkuu ninahitaji pia