Nina milioni 12, nahitaji ushauri wa gari gani ninunue ambalo halitanisumbua

Nina milioni 12, nahitaji ushauri wa gari gani ninunue ambalo halitanisumbua

Hiyo ni kwa upande wako Mkuu! Kwa mwingine ni rahisi zaidi akiwa na gari ikamsaidia kujenga nyumba, kuliko nyumba imsaidie kununua gari!!!! Kila mtu ana vipaumbele vyake
huyu mkereketwa anaonekana atakuwa ameishi sana uswazi maana ndiyo akili za kiswahili, nyumba haijengwi kwa siku moja, kwahiyo unategemea mwenzioyo atembee miaka yote hiyo hadi nyumba itakapoisha hivyo hiyo ni akilii au? be wise , hadi amefikiria kununua gari ameshafanya upembuzi yakinifu, ndiyo maana akauliza anunue gari gani na siyo afanyie nini pesa yake. utafikiri ulimsaidia kutafuta....
 
Una milioni 12 unataka kununua gari. Je, nyumba yako binafsi unayo?
huyu mkereketwa anaonekana atakuwa ameishi sana uswazi maana ndiyo akili za kiswahili, nyumba haijengwi kwa siku moja, kwahiyo unategemea mwenzioyo atembee miaka yote hiyo hadi nyumba itakapoisha hivyo hiyo ni akilii au? be wise , hadi amefikiria kununua gari ameshafanya upembuzi yakinifu, ndiyo maana akauliza anunue gari gani na siyo afanyie nini pesa yake. utafikiri ulimsaidia kutafuta....
 
huyu mkereketwa anaonekana atakuwa ameishi sana uswazi maana ndiyo akili za kiswahili, nyumba haijengwi kwa siku moja, kwahiyo unategemea mwenzioyo atembee miaka yote hiyo hadi nyumba itakapoisha hivyo hiyo ni akilii au? be wise , hadi amefikiria kununua gari ameshafanya upembuzi yakinifu, ndiyo maana akauliza anunue gari gani na siyo afanyie nini pesa yake. utafikiri ulimsaidia kutafuta....

Mkuu incharge tatizo letu wengi tumekariri maisha...ndo mambo kama haya unayasikia sasa..
 
Last edited by a moderator:
huyu mkereketwa anaonekana atakuwa ameishi sana uswazi maana ndiyo akili za kiswahili, nyumba haijengwi kwa siku moja, kwahiyo unategemea mwenzioyo atembee miaka yote hiyo hadi nyumba itakapoisha hivyo hiyo ni akilii au? be wise , hadi amefikiria kununua gari ameshafanya upembuzi yakinifu, ndiyo maana akauliza anunue gari gani na siyo afanyie nini pesa yake. utafikiri ulimsaidia kutafuta....

Nimekubali mkuu mpe vyake
 
Hiyo ni kwa upande wako Mkuu! Kwa mwingine ni rahisi zaidi akiwa na gari ikamsaidia kujenga nyumba, kuliko nyumba imsaidie kununua gari!!!! Kila mtu ana vipaumbele vyake


HAPO NI KAMA TAYARI ANA KIWANJA CHA KUJENGA...
kama hana kiwanja, ni heri akanunua gari ya bei nafuu, na fedha nyengine akawekeza kwa kununua kiwanja mahali.Thamani ya kiwanja inapanda kila mwaka na kinyume chake ktk gari..ni mtizamo tu.
 
Sina la kuongeza kwani umeongea point ambayo vijana wengi hawaioni. Yaani una miliki gari unaishi kwenye nyumba ya kupanga?


Yani kwa kuwa we huna nyumba basi unadhani wote hawana, mtu kaulizia gari mnamletea habari za nyumba. Vipi bana!
 
huyu mkereketwa anaonekana atakuwa ameishi sana uswazi maana ndiyo akili za kiswahili, nyumba haijengwi kwa siku moja, kwahiyo unategemea mwenzioyo atembee miaka yote hiyo hadi nyumba itakapoisha hivyo hiyo ni akilii au? be wise , hadi amefikiria kununua gari ameshafanya upembuzi yakinifu, ndiyo maana akauliza anunue gari gani na siyo afanyie nini pesa yake. utafikiri ulimsaidia kutafuta....

Usitokwe na povu kijana incharge, vijana wengi hapa Dar including ndugu zangu tunawaona wananunua magari yaliyochoka - used, huku hawana any projects, matokeo yake baada ya muda gari linakuwa juu ya miti na kijana ameishiwa anabaki kuomba hela za kulitengeneza hilo gari. Uliza ama omba ushauri kwa mtu yeyote mwenye akili timamu atakuambia tu, unataka kununua gari kiwanja ama nyumba unayo? Vijana wengi wanapenda kuigana na kujiingiza kwenye hasara kisa fulani ana gari, basi na mimi nanunua gari langu. Sasa milioni 12 kwa akili yako utanunua gari gani la maana? 98% ya magari ya hapa Tanzania ni ya kubambikiwa (used from abroad - yanasafishwa upya na kupakwa rangi kasha yanaletwa hapa ili yaoze na kuwa nuisance ya foleni jijini.
 
Last edited by a moderator:
Vijana siku hizi hawafikirii maisha ya baadae leo una pesa kesho huna au umestaafu na huna akiba utaishije? Ngoja tuwaache wale mbuni fainali uzeeni.

Hapo sasa, na wakifika huko uzeeni bila chochote ndipo mtu anaanza kuchanganikiwa na kuanza kujifilia vifaranga vya kuku ama watoto wadogo.
 
huyu mkereketwa anaonekana atakuwa ameishi sana uswazi maana ndiyo akili za kiswahili, nyumba haijengwi kwa siku moja, kwahiyo unategemea mwenzioyo atembee miaka yote hiyo hadi nyumba itakapoisha hivyo hiyo ni akilii au? be wise , hadi amefikiria kununua gari ameshafanya upembuzi yakinifu, ndiyo maana akauliza anunue gari gani na siyo afanyie nini pesa yake. utafikiri ulimsaidia kutafuta....

mkuu nashukuru kuwaambia ukweli,Iwant to build the house of my dream, milioni 12 haitoshi kabisa kujengea
 
Watu wanajifanya wana hekima kwa kutoa ushauri waliokariri. Mtu ana pesa kiasi, na anataka ushauri wa kununua gari; wewe unaanza kuuliza nyumba, shamba, mradi n.k. Mwingine kasema atumie pesa kidogo ili kinachosalia afungue mradi. Hamjui huyo mtu ana kipi na kipi lakini mwatoa ushauri lukuki.
Yeye anataka ushauri wa gari litakalohimili barabara ya vumbi. Ndio maana mnafeli shule na maishani pia.
 
mkuu pono ni yadi gani dar ambayo ni nzuri ninaweza kupata toyota rav 4 old model ambayo haijachakachuliwa

Ongeza hiyo hela mara 2 chukua rav4 new model achana na hizo old model zimepitwa na wakati ni za wastaafu
 
Usitokwe na povu kijana incharge, vijana wengi hapa Dar including ndugu zangu tunawaona wananunua magari yaliyochoka - used, huku hawana any projects, matokeo yake baada ya muda gari linakuwa juu ya miti na kijana ameishiwa anabaki kuomba hela za kulitengeneza hilo gari. Uliza ama omba ushauri kwa mtu yeyote mwenye akili timamu atakuambia tu, unataka kununua gari kiwanja ama nyumba unayo? Vijana wengi wanapenda kuigana na kujiingiza kwenye hasara kisa fulani ana gari, basi na mimi nanunua gari langu. Sasa milioni 12 kwa akili yako utanunua gari gani la maana? 98% ya magari ya hapa Tanzania ni ya kubambikiwa (used from abroad - yanasafishwa upya na kupakwa rangi kasha yanaletwa hapa ili yaoze na kuwa nuisance ya foleni jijini.



Sawa kabisa, sasa anzisha thread yako ya ushauri kwa vijana wanaopenda magari kabla ya nyumba, hii ni kuhusu gari ya aina gani inunuliwe, just that tuokoe muda kaka. 'GARI ANASA' ilikuwa zamani mkuu, usafiri wenyewe wa bongo watu wanaingilia madirishani kwenye daladala kwa nini nisiwe na gari yangu nikachagua njia 'THINK' ina maana ukianza kununua gari ndo nyumba hupati tena? ni mwiko? Maisha hayana Formula mkuu.

RED: Gari lako umenunua shs ngapi?
 


Sawa kabisa, sasa anzisha thread yako ya ushauri kwa vijana wanaopenda magari kabla ya nyumba, hii ni kuhusu gari ya aina gani inunuliwe, just that tuokoe muda kaka. 'GARI ANASA' ilikuwa zamani mkuu, usafiri wenyewe wa bongo watu wanaingilia madirishani kwenye daladala kwa nini nisiwe na gari yangu nikachagua njia 'THINK' ina maana ukianza kununua gari ndo nyumba hupati tena? ni mwiko? Maisha hayana Formula mkuu.

RED: Gari lako umenunua shs ngapi?



2011 Toyota 4 Runner, Nilinunua millioni 52, na kuna mengine hapa nyumbani. Anuani yangu sikupi kwani sitaki lawama ya kukufyatulia risasi. Naomba siku zingine ukini-quote tafadhali quote what I said usinipandikizie maneno. I never said kuwa na gari ni anasa, umeona wapi hiyo thread? Nilitoa ushauri tu kuwa na kiwanja ama nyumba ni bora zaidi kuliko kununua gari wakati you have nothing. Siyo nafasi yangu kuja hapa kufundisha watu how to buy cars, mimi si mzazi wao. Ilitokea tu kumjibu yule jamaa kwani alitaka ushauri na mimi nikampa huo ushauri ila si kumkosoa kama wanavyodhani wengine.
 
Vijana siku hizi hawafikirii maisha ya baadae leo una pesa kesho huna au umestaafu na huna akiba utaishije? Ngoja tuwaache wale mbuni fainali uzeeni.

Nafikiri hapa unazungumzia waajiriwa..kwa nin usinunue nyumba badala ya kununua kiwanja na kujenga hizo nyumba its very funny watanzania tuna hama mijini na kuhamia mwishoni mwa miji? Hatunaga tofauti na wazaramo..gari ndo mpango mzima maisha ni kujipanga tu nyumba ndo kitu cha mwisho kukifanya..!!!
 
toyota premio.iyo ni roho ya paka. safar ndefu na fupi ni wewe tu.
 
Back
Top Bottom