Kwanza tueleze umezipataje hizo hela na nchi au mkoa unaoishi nchini Tanzania kisha nitakushauri biashara ya kufanya,
Usiogope swali hilo ni muhimu sana kibiashara!
upo wap kwa wakat huu?na hyo b'ness itacmamiwa na nan? and wot is ur mother plan? kama kwel upo serious me npo moro na nina uwezo wa kukupeleka maeneo ambayo tutafanya fiziblty study pamoja na ukapata exposure by then tkafanya michakato mingne as pocbo.PM rukhsa
Ekeza katika kununua nyumba na uzipangishe
....smart!
Thamani ya nyumba/eneo inapanda na kama location ni nzuri hatopata shida ya wapangaji.
No dhumuni la swali ni zuri hata mimi nimekuuliza swali kama hilo, nia ni kujua wewe kama wewe unauzoefu na kufanya biashara gani, maana hakuna biashara isiyolipa lakini pia sio kila biashara inawezwa fanya na kila mtu, ungelijibu vizuri ungekuwa specific zaidi hii ingetusaidia sisi washauri na ingekusaidia hata wewe kuamua ila kwa sasa ipo too general kiasi kwamba ushauri utakopewa unaweza kukuchanganya na wewe pia ushindwa ufanyanini, sorry lakinikaka vp? Yaan milioni 270 tu unauliza kua nimezipataje?....hahaha kwel Tz bado saana,,...mbona pesa ya kawaida sana? Na wenye kumiliki Mabilioni nao watasemaje?..,,,au huo ndo urithi wa mawazo uloachiwa na babu yako Nyerere?? ok nna nyumba kadhaa nimerent wazungu kwa dollars maeneo ya mbez na msasan,,...na mbal na hapo nna v mpesa,,...tigopesa na maduka kadhaa mjini,,...ni ayo tu kwa ufupi hope umenielewa
No dhumuni la swali ni zuri hata mimi nimekuuliza swali kama hilo, nia ni kujua wewe kama wewe unauzoefu na kufanya biashara gani, maana hakuna biashara isiyolipa, ungelijibu vizuri ungekuwa specific zaidi hii ingetusaidia sisi washauri na ingekusaidia hata wewe kuamua ila kwa sasa ipo too general kiasi kwamba ushauri utakopewa unaweza kukuchanganya na wewe pia ushindwa ufanyanini, sorry lakini
duh...! Halaf unaomba ushauri wa biashara ya kufanya kwa pesa ya kawaida?kaka vp? Yaan milioni 270 tu ......mbona pesa ya kawaida sana? .....ok nna nyumba kadhaa nimerent wazungu kwa dollars maeneo ya mbez na msasan,,...na mbal na hapo nna v mpesa,,...tigopesa na maduka kadhaa mjini,,...ni ayo tu kwa ufupi hope umenielewa
Umesema huna uzoefu na biashara. Hivyo viduka, vmpesa, na nyumba za ku rent hizo ni biashara pia.
duh...! Halaf unaomba ushauri wa biashara ya kufanya kwa pesa ya kawaida?
kaka vp? Yaan milioni 270 tu unauliza kua nimezipataje?....hahaha kwel Tz bado saana,,...mbona pesa ya kawaida sana? Na wenye kumiliki Mabilioni nao watasemaje?..,,,au huo ndo urithi wa mawazo uloachiwa na babu yako Nyerere?? ok nna nyumba kadhaa nimerent wazungu kwa dollars maeneo ya mbez na msasan,,...na mbal na hapo nna v mpesa,,...tigopesa na maduka kadhaa mjini,,...ni ayo tu kwa ufupi hope umenielewa
Mbona unajicontradict, Si umesema hujui kufanya biashara?
Swali lako liko kinadharia zaidi kwa sababu jibu lake ni rahisi tu: fanya vilevile ulivyofanya ukapata hizo mil. 270,just do it again and again, it seems to be working quite well...
njoo tuunganishe nguvu tufungue shule
ingia kwenye biashara ya madawa, mtafute iddi azzan akupe mbinu zaidi.
Kwenye uzi huu nimejifunza vya kutosha, mwenye macho haambiwi tazama.