mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,682
- 10,801
shule?ni wazo zuri we unazo ngap mheshimiwa?
sina ila nina wazo hilo na eneo, ila uwezo bado haujaruhusu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shule?ni wazo zuri we unazo ngap mheshimiwa?
Salaams Wapendwa wangu,,....!!
Poleni kwa majukum na mikiki mikiki ya hapa na pale katika jitihada za kutafuta rizki,,...!!
Sina mengi ila nahitaji ushauri wenu wenye busara,,....!!
Mimi ni mwanamke mwenye umri kati ya miaka (20-30),,...sina uzoefu sana wa biashara ila nimeajiriwa kwenye kampuni flani ya Wafaransa+Wataliano ni Sharing Company,,...!!
Katika harakati za kutafuta Pesa nina kiasi kidogo cha Milioni 270 za KITANZANIA yakwangu Binafsi ambayo nafikiria nii ingize kwenye Biashara huku nikiwa naendelea kupiga kazi kama kawaida,,...!!
Sasa naombeni mnishauri nifanye biashara gani ambayo itamudu kiasi icho cha pesa na kunii ingizia faida,,...??
N.B. Sina uzoefu katika Biashara
ahsanteni,,....Eid Njema,,...!!
Ni pm nitakushauri ninaexposure kubwa ya kugundua profitable business. Na hata ukitaka kuingia ubia nami haina shida.
sina ila nina wazo hilo na eneo, ila uwezo bado haujaruhusu
hahhahah jaman kaizer,,..ur so funny,,..asante mwaya sembe ata me naiogopajeeeeeeeeee,,...nifanyeje sasa em nishauri
Salaams Wapendwa wangu,,....!!
Poleni kwa majukum na mikiki mikiki ya hapa na pale katika jitihada za kutafuta rizki,,...!!
Sina mengi ila nahitaji ushauri wenu wenye busara,,....!!
Mimi ni mwanamke mwenye umri kati ya miaka (20-30),,...sina uzoefu sana wa biashara ila nimeajiriwa kwenye kampuni flani ya Wafaransa+Wataliano ni Sharing Company,,...!!
Katika harakati za kutafuta Pesa nina kiasi kidogo cha Milioni 270 za KITANZANIA yakwangu Binafsi ambayo nafikiria nii ingize kwenye Biashara huku nikiwa naendelea kupiga kazi kama kawaida,,...!!
Sasa naombeni mnishauri nifanye biashara gani ambayo itamudu kiasi icho cha pesa na kunii ingizia faida,,...??
N.B. Sina uzoefu katika Biashara
ahsanteni,,....Eid Njema,,...!!
Salaams Wapendwa wangu,,....!!
Poleni kwa majukum na mikiki mikiki ya hapa na pale katika jitihada za kutafuta rizki,,...!!
Sina mengi ila nahitaji ushauri wenu wenye busara,,....!!
Mimi ni mwanamke mwenye umri kati ya miaka (20-30),,...sina uzoefu sana wa biashara ila nimeajiriwa kwenye kampuni flani ya Wafaransa+Wataliano ni Sharing Company,,...!!
Katika harakati za kutafuta Pesa nina kiasi kidogo cha Milioni 270 za KITANZANIA yakwangu Binafsi ambayo nafikiria nii ingize kwenye Biashara huku nikiwa naendelea kupiga kazi kama kawaida,,...!!
Sasa naombeni mnishauri nifanye biashara gani ambayo itamudu kiasi icho cha pesa na kunii ingizia faida,,...??
N.B. Sina uzoefu katika Biashara
ahsanteni,,....Eid Njema,,...!!
Wabongo kwa sifa!!mi simo
Kama hujui biashara umeipata wapi? Na hizo harakati za kutafuta pesa kama siyo biashara basi ni jambazi. Sina ushauri mkuu nahisi ni pesa chafu hiyo, sembe nk.
Zitunze vizuri sana 2015 waone Mwigulu na Nape wape 50m kila mtu wakutafutie jimbo la uchaguzi 170 zitakazobaki zinatosha sana kufanyia kampeni
Hello Marnah, wakati unafikiria cha kufanya unaweza ukanunua Government Bond, it is risk free.
Million 270 in a real business world si pesa nyingi sana na usishangae kama unatumia within no time zikaisha!
Usifanye biashara ambayo huna competency nayo wala interest nayo, you wont make it.
Ukikosa Biashara ya kufanya, tafuta kiwanja/viwanja karibu na Vyuo, Jenga Hostels za wanafunzi, vyumba vidogo lakini vingi. It will pay. Unaweza pia kununua nyumba maeneo hayo ukayakarabati.
The best you can do, ni kutafuta mtaalamu katika mambo ya Investments & Business Planning. Experienced Consultant akiongea na wewe anaweza akakusaidia exactly what business you can do.
Good luck!
Mnapoteza muda wenu kumshauri....we unakusanya hela bila malengo si ujinga huo