mandingo 94
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 269
- 194
Hàbar Wana JF,
Kama kichwa Cha hàbar kinavyo jieleza hapo juu mim nikijanq mwenye umri wa miaka 27 Ila bado sijatoboa maisha haya Yani umri uwo lakin bado naishi kwa wazazi ya kila kitu namtegemea mzazi wangu.
Hali hii inaniumiza Sana Ila katika harakati za hapa na pale nilipata kibarua mkoani nikafanya kile kibarua kwa muda wa miez 3 nikaweza kuweka pesa Hadi ikafika milion3 sasa nimerudi hom dar njee kidogo na jij maene ya kitunda sas nimefikilia nin nifanye na hii pesa ili niweze kuondokana na umasikini maana umasikini ni mbaya uwezi umri wangu Kuna muda nakosa hata bando la kuingia JF nakosa hapa Mia mpaka Sina chochote uwezi amani hata demu Sina yote kwasababu ya upweke na ukosefu wa kipato cha kukimu.
Hali yangu pia niweze kusema mim ni mdau mzuri tu wa ufugaji na kilimo Ila kilimo napenda ilachangamoto maana Sina hata shamba na Sina mtu nafamianae ambaye anashamba pia mim binafsi napenda Sana ufugaji wa Aina yoyote maana mimi nimfugaji mzuri tu wa sungura Toka mwaka 2013 wengi wananifaham sna kutia sungura sas ndg zangu mpaka nimekuja Yani nimepagawa cjui nin Cha kuwekeza kiasi changu icho niweze kupata faida ya kukidhi mahitaji yangu na kumsaidia mzazi wangu ambaye ni mama yangu ananitegemea Sana.
Maana nishakutana na afisa mifugo wa kata yangu ajanipa maelezo ya kutosha nin nifanye Yani anaongea kisiasa Sana kuliko utendaji kwayi wadau wa ufugaji natanguliza shukran zangu kwenu japokuwa mwandiko mbaya na umenielewa maana waswahili tunaelewana kwa Kiswahili.
Kama kichwa Cha hàbar kinavyo jieleza hapo juu mim nikijanq mwenye umri wa miaka 27 Ila bado sijatoboa maisha haya Yani umri uwo lakin bado naishi kwa wazazi ya kila kitu namtegemea mzazi wangu.
Hali hii inaniumiza Sana Ila katika harakati za hapa na pale nilipata kibarua mkoani nikafanya kile kibarua kwa muda wa miez 3 nikaweza kuweka pesa Hadi ikafika milion3 sasa nimerudi hom dar njee kidogo na jij maene ya kitunda sas nimefikilia nin nifanye na hii pesa ili niweze kuondokana na umasikini maana umasikini ni mbaya uwezi umri wangu Kuna muda nakosa hata bando la kuingia JF nakosa hapa Mia mpaka Sina chochote uwezi amani hata demu Sina yote kwasababu ya upweke na ukosefu wa kipato cha kukimu.
Hali yangu pia niweze kusema mim ni mdau mzuri tu wa ufugaji na kilimo Ila kilimo napenda ilachangamoto maana Sina hata shamba na Sina mtu nafamianae ambaye anashamba pia mim binafsi napenda Sana ufugaji wa Aina yoyote maana mimi nimfugaji mzuri tu wa sungura Toka mwaka 2013 wengi wananifaham sna kutia sungura sas ndg zangu mpaka nimekuja Yani nimepagawa cjui nin Cha kuwekeza kiasi changu icho niweze kupata faida ya kukidhi mahitaji yangu na kumsaidia mzazi wangu ambaye ni mama yangu ananitegemea Sana.
Maana nishakutana na afisa mifugo wa kata yangu ajanipa maelezo ya kutosha nin nifanye Yani anaongea kisiasa Sana kuliko utendaji kwayi wadau wa ufugaji natanguliza shukran zangu kwenu japokuwa mwandiko mbaya na umenielewa maana waswahili tunaelewana kwa Kiswahili.