Nina milioni 3; nifuge kitu gani niweze kupambana na umasikini?

Nina milioni 3; nifuge kitu gani niweze kupambana na umasikini?

1.5 M nunua Ng’ombe wamaziwa mwenye mimba anza ufugaji anao uwezo wa kutoa lita 5 mpaka 12 za maziwa. Weka makadirio ya chini Lita 5@1000 kwa Siku 5000*30 mwezi =150,000 kwa miezi 10 Ela umerudisha ya Ng’ombe.
Pesa nyingine inayobakia tafuta mifugo mingine ufunge.
Uvumilivu unahitajika
Hapa hakuna operational costs mkuu?
 
Mdogo wangu wazo la ivunya ndiyo wazo bora Zaid kupita yote kwakuongezea dsm maziwa lita n tsh 2000

Mwanzon utapata tabu lakn baadae uyaenjoy Sana

Ng😱mbe 1 hutoa had lita 10 kwa siku so utakuwa na uhakika.wa kuingiza 20k per day na 600k kwa mwezi na 7,200,000 kwa mwaka Bila kutoa operational cost

Usiweke mfanyakaz pambana mwenyewe

Ng'ombe 1 anaweza fika 1.3m mwenye mimba na unabak na 1.7m Kama gharama za uendeshaj


Kwa USHAURI Zaid nichek pm

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Utakapochagua wazo angalia na risk unayoenda kuichukua, fuga mfugo ambao utaendana na mtaji wako usije chagua mfugo ambao ikitokea bahati mbaya mnyama mmoja amekufa au ameumwa bhas na wewe ndo umeyumba hivyo, au ambao unahitaji chakula kingi sana au space kubwa sana au matunzo yenye gharama kubwa sana za uendeshaji itakukost, kuwa mjanjamjanja usije jilaumu badae na ufanye utafiti wa kutosha ujiridhishe
 
Mdogo wangu wazo la ivunya ndiyo wazo bora Zaid kupita yote kwakuongezea dsm maziwa lita n tsh 2000

Mwanzon utapata tabu lakn baadae uyaenjoy Sana

Ng😱mbe 1 hutoa had lita 10 kwa siku so utakuwa na uhakika.wa kuingiza 20k per day na 600k kwa mwezi na 7,200,000 kwa mwaka Bila kutoa operational cost

Usiweke mfanyakaz pambana mwenyewe

Ng'ombe 1 anaweza fika 1.3m mwenye mimba na unabak na 1.7m Kama gharama za uendeshaj


Kwa USHAURI Zaid nichek pm

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mkuu unajua ng'ombe ili atoe lita 10 anakula chakula cha sh ngapi?
 
Hàbar Wana jf Kama kichwa Cha hàbar kinavyo jieleza hapo juu mim nikijanq mwenye umri wa miaka 27 Ila bado sijatoboa maisha haya Yani umri uwo lakin bado naishi kwa wazazi ya kila kitu namtegemea mzazi wangu.

Hali hii inaniumiza Sana Ila katika harakati za hapa na pale nilipata kibarua mkoani nikafanya kile kibarua kwa muda wa miez 3 nikaweza kuweka pesa Hadi ikafika milion3 sasa nimerudi hom dar njee kidogo na jij maene ya kitunda sas nimefikilia nin nifanye na hii pesa ili niweze kuondokana na umasikini maana umasikini ni mbaya uwezi umri wangu Kuna muda nakosa hata bando la kuingia JF nakosa hapa Mia mpaka Sina chochote uwezi amani hata demu Sina yote kwasababu ya upweke na ukosefu wa kipato Cha kukimu.

Hali yangu pia niweze kusema mim ni mdau mzuri tu wa ufugaji na kilimo Ila kilimo napenda ilachangamoto maana Sina hata shamba na Sina mtu nafamianae ambaye anashamba pia mim binafsi napenda Sana ufugaji wa Aina yoyote maana mimi nimfugaji mzuri tu wa sungura Toka mwaka 2013 wengi wananifaham sna kutia sungura sas ndg zangu mpaka nimekuja Yani nimepagawa cjui nin Cha kuwekeza kiasi changu icho niweze kupata faida ya kukidhi mahitaji yangu na kumsaidia mzazi wangu ambaye ni mama yangu ananitegemea Sana.

Maana nishakutana na afisa mifugo wa kata yangu ajanipa maelezo ya kutosha nin nifanye Yani anaongea kisiasa Sana kuliko utendaji kwayi wadau wa ufugaji natanguliza shukran zangu kwenu japokuwa mwandiko mbaya na umenielewa maana waswahili tunaelewana kwa kiswahili.
Kwa sababu umeuliza nini cha kufuga, nikushauri fuga kuku chotara, kama una kieneo fulani ambacho unaweza kujenga mabanda au kama unaweza kupata vyumba hata kwa kupanga...
1. Tafuta wafugaji wasiopungua watatu, upate maoni yao
2. Pitia maandiko mbali mbali yanayohusu ufugaji wa kuku, upate mawili matatu.
3. Nenda kwa wanaouza vifaranga na kuku ili upate abc pia.
4. Andaa mazingira, mahitaji ya msingi... anza kufuga... unaweza kuanza na kuagiza vifaranga 200 kila mwezi... bajeti ya kuwanunua na kuwatunza mpaka kuwauza kwa dar naamin haitazidi 1mil mpk 1.2mil... kusipokuwa na vifo vingi utauza 9000 mpk 10000 wakiwa na miez 2(week 8 mpk 10)
 
Beti hela yote ukuze mtaji kwanza mpe Singida big star ana point ya 5.29 kama atashinda utakua na 15,870,000 kama atashindwa nenda tena ukafanye kibarua kile kilicho kupa hiyo 3m usichoke kutafuta uanaume ni mgumu
 
Back
Top Bottom