Nina milioni 3; nifuge kitu gani niweze kupambana na umasikini?

Nina milioni 3; nifuge kitu gani niweze kupambana na umasikini?

1.5 M nunua Ng’ombe wa maziwa mwenye mimba anza ufugaji anao uwezo wa kutoa lita 5 mpaka 12 za maziwa. Weka makadirio ya chini Lita 5@1000 kwa Siku 5000*30 mwezi =150,000 kwa miezi 10 Ela umerudisha ya Ng’ombe.

Pesa nyingine inayobakia tafuta mifugo mingine ufunge.
Uvumilivu unahitajika
150,000/ Kwa mwezi ,,

Family itakula Nini?
 
Weka danguro mahali wafuge wakina a dada wanaotaka hela za Chapu halafu ufungue tovuti na uwaweke picha zao ufanye hosting yaani na watalii wanaoendelea kuja acha tu utapiga Dola Kwa sababu ni 200$per half day na full day 400$ halafu Kwa wiki x 7 hapo imekulipa tayari pesa zako zote na faida Kwa miezi 3 umejenga na unanoa ya kiwasafirisha kuwafikia wateja Kwa wakati .

Ila ukitaka ubane hela kuna Toyo wachukua Toyo kumfikia mteja .
Halafu wawe Kali sio wenye vitambii wavutie na wasiwe wamepauka
 
Back
Top Bottom