Hapa hakuna operational costs mkuu?1.5 M nunua Ng’ombe wamaziwa mwenye mimba anza ufugaji anao uwezo wa kutoa lita 5 mpaka 12 za maziwa. Weka makadirio ya chini Lita 5@1000 kwa Siku 5000*30 mwezi =150,000 kwa miezi 10 Ela umerudisha ya Ng’ombe.
Pesa nyingine inayobakia tafuta mifugo mingine ufunge.
Uvumilivu unahitajika
Nakazia📌🔨mkuu kama ww sio wa imani ile nakushauri fuga kitimoto utakuja kunishukuru badae..
Nilitamani Sana kuwa mzalishaji kwenye senta ya ufugaji tuFungua duka la chakula, kaa mwenyewe kama muuzaji utakuja kunishukuru. Mangi wengi wanatoboa kwa style hiyo
Sikupingi hapoTafuta mtu anaefuga kuku wa kisasa akupe muongozo. Ukizingatia nidhamu ya pesa utatoboa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi fuga Ngamia mkuuNashukuru kwa mchango wako Imani yangu haisapati kitu icho
Mkuu unajua ng'ombe ili atoe lita 10 anakula chakula cha sh ngapi?Mdogo wangu wazo la ivunya ndiyo wazo bora Zaid kupita yote kwakuongezea dsm maziwa lita n tsh 2000
Mwanzon utapata tabu lakn baadae uyaenjoy Sana
Ng😱mbe 1 hutoa had lita 10 kwa siku so utakuwa na uhakika.wa kuingiza 20k per day na 600k kwa mwezi na 7,200,000 kwa mwaka Bila kutoa operational cost
Usiweke mfanyakaz pambana mwenyewe
Ng'ombe 1 anaweza fika 1.3m mwenye mimba na unabak na 1.7m Kama gharama za uendeshaj
Kwa USHAURI Zaid nichek pm
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Huko Kitunda si ndio akina Mura wanafuga sana kuku? Mayai yote ya Dar nasikia yanatoka huko. Ongea na majirani zako.Naitaji muongozo wa kushiba kuusu ufugaji kuku ndg
Kwa sababu umeuliza nini cha kufuga, nikushauri fuga kuku chotara, kama una kieneo fulani ambacho unaweza kujenga mabanda au kama unaweza kupata vyumba hata kwa kupanga...Hàbar Wana jf Kama kichwa Cha hàbar kinavyo jieleza hapo juu mim nikijanq mwenye umri wa miaka 27 Ila bado sijatoboa maisha haya Yani umri uwo lakin bado naishi kwa wazazi ya kila kitu namtegemea mzazi wangu.
Hali hii inaniumiza Sana Ila katika harakati za hapa na pale nilipata kibarua mkoani nikafanya kile kibarua kwa muda wa miez 3 nikaweza kuweka pesa Hadi ikafika milion3 sasa nimerudi hom dar njee kidogo na jij maene ya kitunda sas nimefikilia nin nifanye na hii pesa ili niweze kuondokana na umasikini maana umasikini ni mbaya uwezi umri wangu Kuna muda nakosa hata bando la kuingia JF nakosa hapa Mia mpaka Sina chochote uwezi amani hata demu Sina yote kwasababu ya upweke na ukosefu wa kipato Cha kukimu.
Hali yangu pia niweze kusema mim ni mdau mzuri tu wa ufugaji na kilimo Ila kilimo napenda ilachangamoto maana Sina hata shamba na Sina mtu nafamianae ambaye anashamba pia mim binafsi napenda Sana ufugaji wa Aina yoyote maana mimi nimfugaji mzuri tu wa sungura Toka mwaka 2013 wengi wananifaham sna kutia sungura sas ndg zangu mpaka nimekuja Yani nimepagawa cjui nin Cha kuwekeza kiasi changu icho niweze kupata faida ya kukidhi mahitaji yangu na kumsaidia mzazi wangu ambaye ni mama yangu ananitegemea Sana.
Maana nishakutana na afisa mifugo wa kata yangu ajanipa maelezo ya kutosha nin nifanye Yani anaongea kisiasa Sana kuliko utendaji kwayi wadau wa ufugaji natanguliza shukran zangu kwenu japokuwa mwandiko mbaya na umenielewa maana waswahili tunaelewana kwa kiswahili.
Aiseeee kuna ushauri na ushauri, naona dawati la ushauri lifungwe sasaFuga nyoka wasio na sumu kali sana wakikomaa unawaachia mtaani alafu uanze kuuza mawe ya nyoka
Fuga nyoka wasio na sumu kali sana wakikomaa unawaachia mtaani alafu uanze kuuza mawe ya nyoka