Nina Milioni 7, natafuta gari ya kupigia Misele

Nina Milioni 7, natafuta gari ya kupigia Misele

Gari ambayo nitakushauri ni utafute gari ndogo kwa hiyo bajeti ungeongeza ungepata IST ila sasa uchumi umebana so tafuta hata vits,au Suzuki swift ili zikusaidie kupiga misele kwa amani huku ukijipanga kununua gari kubwa zaidi baadae.

Kwa hiyo bajeti ya laki saba. Huto tugari tunauzwa chini ya milioni 5 so utakuwa na salio la kama milioni 2 na zaidi ambayo utaweka benki kwajiri ya kukusaidia kwenye gharama za mafuta na service ya gari.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hio 7m unapata gari zuri tu. Cha muhimu usiwe na haraka ya kupata Gali kuwa na subira tafuta taratibu. Tafuta namba za madalali uwaambie aina ya Gali unalotaka na ofa yako. Kuna Watu wanauzaga Gali kwa matatizo utatumiwa picha za gari hata kabla haijapostiwa kwamba inauzwa
 
Hakuna economical car ya Toyota kwa kuagiza utaipata mpya kwa bei chini ya million 14 sasa hivi! Sidhani kama kuna ambayo ipo anzia IST, RunX, Spacio, Rumion, Fielder, Premio, Allion.

Yani TRA kote humo wametembeza moto kwenye kodi
Mbali ya moto kwenye kodi, pia nimeona kama unaagiza Japan, freight cost imepanda sana hasa baada ya corona. Mfano, nilipoagiza yangu 2014, freight cost ilikuwa $800. Sasa freight cost zinasoma $1700+.

Unaweza kuwa na 15mil na Premio ya NZE au ZZE usipate tena ya kuagiza. Labda ya 1AZ.

Balaa hili. 🤦🏾‍♂️🤦🏾‍♂️
 
Ongeza ununue gari mpya ist nzuri sana hizi model zake ,maana hao walionazo waongo tu juzi mtu kanunua gari akajiona mjanja sasahivi yupo gereji anaanza upya kuweka spare na engine imeanza kufa. Ml 12 gari nzuri tu mupya
Mkopeshe basi hiyo 5M ili zitimie 12M
 
Yes,ila hizo ni new model Ile ist ya zamani ni cheap 5.5 unapata dar
Unaongelea magari used Tanzania wewe. Hayo uliyoyapost yenye bei za 6m na 5m yote ni used bongo. Hakuna IST mpya from Japan inayouzwa 12m, HAKUNA
 
Hiyo hela yako ipe thamani mkuu just start thinking on what and where you can invest it rather than wasting your money for just show off...Wekeza pesa kwenye kilimo cha mdaa mfupi kisha uagize gari yako kali matata sana...kuliko hizi za mitaani utapasuka kichwa nakwambia hutaamini...
Aisee wacha kumpangia mwanaume mwenzio matumizi ya pesa zako
Tafuta zako ziongeze thamani
 
Gari ambayo nitakushauri ni utafute gari ndogo kwa hiyo bajeti ungeongeza ungepata IST ila sasa uchumi umebana so tafuta hata vits,au Suzuki swift ili zikusaidie kupiga misele kwa amani huku ukijipanga kununua gari kubwa zaidi baadae.

Kwa hiyo bajeti ya laki saba. Huto tugari tunauzwa chini ya milioni 5 so utakuwa na salio la kama milioni 2 na zaidi ambayo utaweka benki kwajiri ya kukusaidia kwenye gharama za mafuta na service ya gari.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Hizo gari za 5m zinauzwa wapi
 
Magari yapo mengi tu Tena yamesimama na bei ipo chini ishu iliyoyapandisha bei ni madali walijaa kila kona na hizi show room uchwara ambazo zinanunua magar kwa watu kwa bei ya chini kabisa mf IST wananunua 7M kwa mtu wakishaliweka kwenye show room zao mf (***) Motors IST hiyo utaikuta kwa 12M.,
 
Hiyo hela yako ipe thamani mkuu just start thinking on what and where you can invest it rather than wasting your money for just show off...Wekeza pesa kwenye kilimo cha mdaa mfupi kisha uagize gari yako kali matata sana...kuliko hizi za mitaani utapasuka kichwa nakwambia hutaamini...
Motivational speaker mmeshaanza tayari.
 
Magari yapo mengi tu Tena yamesimama na bei ipo chini ishu iliyoyapandisha bei ni madali walijaa kila kona na hizi show room uchwara ambazo zinanunua magar kwa watu kwa bei ya chini kabisa mf IST wananunua 7M kwa mtu wakishaliweka kwenye show room zao mf (***) Motors IST hiyo utaikuta kwa 12M.,

Usinunue kwa dalali
 
Back
Top Bottom