EL_CHAPO_UNO
JF-Expert Member
- Apr 14, 2022
- 273
- 508
Amekwambia anatembea kwa miguu ajakwambia analala nje [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Jenga kwanzaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amekwambia anatembea kwa miguu ajakwambia analala nje [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Jenga kwanzaaaa
Amekwambia anatembea kwa miguu ajakwambia analala nje [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Jenga kwanzaaaa
wala sio new, ni old bei ya kuagiza au show room ndio hizo.Yes,ila hizo ni new model Ile ist ya zamani ni cheap 5.5 unapata dar
Bei ya mkononiwala sio new, ni old bei ya kuagiza au show room ndio hizo.
Hiyo 5.5 unamaanisha old kwa bei ya mkononi dar au unamaanisha nini?
Hapa sasa nimekuelewa, mi nilijua umeenda kwenye physical location kumbe ni humu mitandaoni.Inatofautiana na ukubwa wa engine ila hata 5ml unapata mpya
Wewe uko wapi ili twende huko kwenye yard ambako ist ya mwaka 2009 inauzwa million 5 mpya ili nikuongezee na million 1 ya usumbufu.Acha utani ni jipya
Kama huna mambo mengi tafuta Brevis/GX110 au 100 kwa bajeti hio utapata nzuri sana.
Hakuna economical car ya Toyota kwa kuagiza utaipata mpya kwa bei chini ya million 14 sasa hivi! Sidhani kama kuna ambayo ipo anzia IST, RunX, Spacio, Rumion, Fielder, Premio, Allion.Atalalamika kauziwa jini
Dar essalaamWewe uko wapi ili twende huko kwenye yard ambako ist ya mwaka 2009 inauzwa million 5 mpya ili nikuongezee na million 1 ya usumbufu.
Ukichemka nakupeleka machinjioni kabisa 😀😀😀 ili tukamalizie siku hukoDar essalaam
Badala wangepunguza kodi magari yawe mengi wapate volume kubwa ya ushuru, pia wapate kodi kubwa kwenye vipuri na mafuta wenyewe wanakamua tuHakuna economical car ya Toyota kwa kuagiza utaipata mpya kwa bei chini ya million 14 sasa hivi! Sidhani kama kuna ambayo ipo anzia IST, RunX, Spacio, Rumion, Fielder, Premio, Allion.
Yani TRA kote humo wametembeza moto kwenye kodi
Kwa mkononi sawa, ila nna mashaka kama itakua haina vipengele.Bei ya mkononi
Twendee kha sikoseiUkichemka nakupeleka machinjioni kabisa 😀😀😀 ili tukamalizie siku huko
Hakuna economical car ya Toyota kwa kuagiza utaipata mpya kwa bei chini ya million 14 sasa hivi! Sidhani kama kuna ambayo ipo anzia IST, RunX, Spacio, Rumion, Fielder, Premio, Allion.
Yani TRA kote humo wametembeza moto kwenye kodi
Zingatia iwe ya yard 😀 otherwise naenda kukufuturu na sitanii!!!Twendee kha sikosei
🤣🤣🤣🤣🤣Zingatia iwe ya yard 😀 otherwise naenda kukufuturu na sitanii!!!
Ndio najaribu ila naona hizi hariperidol hata hazisaidii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wazimu hujaachaga tu!!
Hiyo hela yako ipe thamani mkuu just start thinking on what and where you can invest it rather than wasting your money for just show off...Wekeza pesa kwenye kilimo cha mdaa mfupi kisha uagize gari yako kali matata sana...kuliko hizi za mitaani utapasuka kichwa nakwambia hutaamini...
TRA inafikiria leo tu, haifikirii keshoBadala wangepunguza kodi magari yawe mengi wapate volume kubwa ya ushuru, pia wapate kodi kubwa kwenye vipuri na mafuta wenyewe wanakamua tu
Kwa mkononi sawa, ila nna mashaka kama itakua haina vipengele.