Nina Milioni 7, natafuta gari ya kupigia Misele

Nina Milioni 7, natafuta gari ya kupigia Misele

Kuanzia mwakani IST zitanunuliwa zaidi ya Milioni 20 maana Tsh inapoteza thamani sana
 
Hakuna economical car ya Toyota kwa kuagiza utaipata mpya kwa bei chini ya million 14 sasa hivi! Sidhani kama kuna ambayo ipo anzia IST, RunX, Spacio, Rumion, Fielder, Premio, Allion.

Yani TRA kote humo wametembeza moto kwenye kodi
Badala wangepunguza kodi magari yawe mengi wapate volume kubwa ya ushuru, pia wapate kodi kubwa kwenye vipuri na mafuta wenyewe wanakamua tu
Bei ya mkononi
Kwa mkononi sawa, ila nna mashaka kama itakua haina vipengele.
 
Hakuna economical car ya Toyota kwa kuagiza utaipata mpya kwa bei chini ya million 14 sasa hivi! Sidhani kama kuna ambayo ipo anzia IST, RunX, Spacio, Rumion, Fielder, Premio, Allion.

Yani TRA kote humo wametembeza moto kwenye kodi

Hakuna mzee baba
 
Wewe unafanya inshu za kilimo?
Hiyo hela yako ipe thamani mkuu just start thinking on what and where you can invest it rather than wasting your money for just show off...Wekeza pesa kwenye kilimo cha mdaa mfupi kisha uagize gari yako kali matata sana...kuliko hizi za mitaani utapasuka kichwa nakwambia hutaamini...
 
Badala wangepunguza kodi magari yawe mengi wapate volume kubwa ya ushuru, pia wapate kodi kubwa kwenye vipuri na mafuta wenyewe wanakamua tu

Kwa mkononi sawa, ila nna mashaka kama itakua haina vipengele.
TRA inafikiria leo tu, haifikirii kesho
 
Back
Top Bottom