Nina Milioni 7, natafuta gari ya kupigia Misele

Nina Milioni 7, natafuta gari ya kupigia Misele

Badala wangepunguza kodi magari yawe mengi wapate volume kubwa ya ushuru, pia wapate kodi kubwa kwenye vipuri na mafuta wenyewe wanakamua tu

Kwa mkononi sawa, ila nna mashaka kama itakua haina vipengele.
TRA wahuni sana wanaona nyie mtafaidi sana.

Kwa wafanyabiashara naona hata wakiwekewa flat rate ya kodi watalipa kodi nyingi sana kuliko kuwaminya na wanavyopambana kuikwepa.
Hata magari bongo wangeweka kodi flat rate na waka encourage watu kununua gari mpya na gari zikifika 10 years after manufacturing date ziondolewe mjini ziende mikoani ingesaidia kupunguza jam mjini.
 
TRA wahuni sana wanaona nyie mtafaidi sana.

Kwa wafanyabiashara naona hata wakiwekewa flat rate ya kodi watalipa kodi nyingi sana kuliko kuwaminya na wanavyopambana kuikwepa.
Hata magari bongo wangeweka kodi flat rate na waka encourage watu kununua gari mpya na gari zikifika 10 years after manufacturing date ziondolewe mjini ziende mikoani ingesaidia kupunguza jam mjini.
Tatizo hii akili hawana
 

Attachments

  • Screenshot_20230311-143038.png
    Screenshot_20230311-143038.png
    176.8 KB · Views: 25
  • Screenshot_20230311-143006.png
    Screenshot_20230311-143006.png
    146.3 KB · Views: 27
Hiyo hela yako ipe thamani mkuu just start thinking on what and where you can invest it rather than wasting your money for just show off...Wekeza pesa kwenye kilimo cha mdaa mfupi kisha uagize gari yako kali matata sana...kuliko hizi za mitaani utapasuka kichwa nakwambia hutaamini...
Motivation [emoji344]
 
Back
Top Bottom