Wakishua org
Member
- Feb 23, 2023
- 20
- 33
Aagize Jimny from Japan, mpaka ifike Tz na kukamilisha usajili iyo 7Ml yake inatoshaAmesema ana 7m mwambie gari gani atapata from jp kwa 12m msaidie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aagize Jimny from Japan, mpaka ifike Tz na kukamilisha usajili iyo 7Ml yake inatoshaAmesema ana 7m mwambie gari gani atapata from jp kwa 12m msaidie.
Nyie watu nyie. Nimeangalia cheapest IST kutoka befowardAagize Jimny from Japan, mpaka ifike Tz na kukamilisha usajili iyo 7Ml yake inatosha
Aagize Jimny from Japan, mpaka ifike Tz na kukamilisha usajili iyo 7Ml yake inatosha
Umeamini kuwa Jimny anaipata???
Ha ha ha kununua from jp jimny ya 2000 ni $2800 kama 6.5m, ushuru zaidi ya 4m jumala ni zaidi ya 11mUmeamini kuwa Jimny anaipata???
Brother takwimu zako ni za miaka miwili/mitatu iliyopita hizo bei sio za sasa11Ml-12Ml unapata IST mpya kabisa hapa hapa Tz, huko Japan bei ni chini ya hapo 😁
Premio no C mbona bado kali sanaEti kama wana wa Israel 😂😂😂
Hiyo pesa yako unapata Premio zile old-model au Passo... ila itakuwa plate number "A", "B" au "C"
IST ni gari ghali sana hivi sasa hasa kwa watu wa kipato cha chini na cha kati.11Ml-12Ml unapata IST mpya kabisa hapa hapa Tz, huko Japan bei ni chini ya hapo 😁
PREMIO toleo la zamani. Nielewe... kuna mtu namfahamu alipata kwa 6M kutoka ZNZPremio no C mbona bado kali sana
Njoo nikuuzie suzuki everylandyKama mada inavyojieleza hapo juu, ninakaribia 40yrs nmetembea kwa miguu about 30s sasa nisije nikatembea 40yrs kama wana wa Israel.
Nitafute nikuconect na premio old model namba c manual kwa millioni nne kamili
Anaota huyo 🤣12m gari gani from jp?
Ngoma inachezea kwenye 16M, kweli bora kununua body kisha kulifunga engine mpya.Nyie watu nyie. Nimeangalia cheapest IST kutoka befoward
View attachment 2539881View attachment 2539878
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ha ha ha kununua from jp jimny ya 2000 ni $2800 kama 6.5m, ushuru zaidi ya 4m jumala ni zaidi ya 11m
Adundulizee mbona kapata 7Hizo 5M utamchukulia kikoba chako mama? 😂
Mh! Arusha new model ni 12ml hizi za mwanzo ni tisaNgoma inachezea kwenye 16M, kweli bora kununua body kisha kulifunga engine mpya.