Nina millioni 80 nataka ushauri wa biashara


dogo uwe unatumia akili japo kwa udogo
 
Kweli humu kweny Jf kama mnavoita janvini ni sawa kabisa maan kuna kila aina ya binaadam humu mtu na akili yake anajisifi upuuz mtu anataka ushaur wa kibiashara ww una mwambia upuuzi
 
Kweli humu kweny Jf kama mnavoita janvini ni sawa kabisa maan kuna kila aina ya binaadam humu mtu na akili yake anajisifi upuuz mtu anataka ushaur wa kibiashara ww una mwambia upuuzi

hakuna mtu mwenye pesa hiyo hapa bongo asijue cha kufanya, mili 5 pekee natosha kuzungusha mjini na kuzalisha laki kwa siku sembuse mil 80.mwambie afungue Pub yenye lodge/gesti , au aende china akalete simu tena hapo mtaji ni chini ya mil 20.
 
Yaani mpaka leo hii mnachangia hii thread.. mleta maada haja rejea tangu 2013... watu kweli mmekosa kazi!!
 

Hapo vpodoz ninashida kujua
 
Me nakushauri ununue eicher 60 m then lipia 3rd class insurance almost 3m, then iweke daladala, per day ni 160 k, for 25 days ni 4m *12 months =44m per year, 4days ni za kupumzisha engine, so from 44m, take 3m for service it's so enough since gari bado ni mpya.. 1m ni ya hongo Kwa police, , so after 2 years ua money will be back, so unaeza Anza kula faida... U can inbox for more advice..
 
Mkuu kwa vile sasa h huna experience ta biashara, nakushauri usiwekeze mpunga wote kwenye biashara moja. Mpaka utakapoweza kudhibiti changamoto za biashara mojawapo ndo anza kuweka nguvu hapo.
Wakuu hebu nipeni ushauri wa biashara nimepata hizo pesa hapo juu millioni 80 lakini kila nikichekecha biashara ya kufanya ilipe nakua sioni sasa nimeiona niweke hapa ili nipate mawazo nijue pa kuanzia.Mimi naishi mkoa wa Dar-es-salaam
 
Njoo uwekeze kwangu bosi kiwango chochote cha pesa...kila mwezi nakupa faida ya 7% ya pesa utakayoweka...mwaka wa tano huu nafanya na watu mbalimbali wanawekeza pesa zao...Niko Arusha serious mtu anicheck 0716060677.
Imani Yangu kuwa watu wanapesa wameweka benk tu..zinazidi kukatwa harafu wameogopa kufanya biashara basi tunawasaidia kuwazalishia na kuwapa faida ya pesa yao kila mwezi 7%.
NB: sheria na taratibu zote zinafatwa za mikataba.
 
Ww unapenda biashara gani? Una uzoefu au elimu ya kutosha kuhusu hyo biashara? Kama unapenda biashara na hujui pakuanzia ajili mtu mwenye huo uzoefu akufanyie na ww ukiwepo. Wengine wanauzoefu bila mtaji, wengine wana mtaji bila uzoefu. Kweli maisha ni maajabu. Hyo mm nikiipata baada ya miaka miwili nakuwa tajiri mkubwa
 
Muwe mnaangalia kwanza thread ni ya lini sio mnakurupuka tu kukoment.....
 
Mkuu kwa vile sasa h huna experience ta biashara, nakushauri usiwekeze mpunga wote kwenye biashara moja. Mpaka utakapoweza kudhibiti changamoto za biashara mojawapo ndo anza kuweka nguvu hapo.
Duuh..umefukua thread ya mwaka 2013
 
Labda tumuulize ailiyeomba ushauri,je alifungua biashara gani,na alifanikiwa kwa kiwango gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…