MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 19,057
- 39,387
Mkuu nenda kwa mzungu ukabeti,weka timu moja tu let say chelsea,weka mzigo wote kaka,unaweza kutoboa kama Dr.Leaky wa channel 10 vile,kwa mil 80 hata kama chelsea ikipewa point ndogo unapata mkwanja mrefu sana,ss watoto wa mjini hz ndo biashara zetu,daily twala,twanya,twagonga mademu masuperstar unaowajua wewe bongo yote,tumejenga masaki kwa hela hz hz za kubet,hatuibi wala nn lakini mawaziri wanatuogopa hapa jjijini
dogo uwe unatumia akili japo kwa udogo