Nina mimba na mtoto ana miezi minne, naomba ushauri wenu nifanyeje?

Nina mimba na mtoto ana miezi minne, naomba ushauri wenu nifanyeje?

Ukimzaa huyo mwambie jamaa yako ajikaze awe anakojolea nje,,asione raha tu kukumiminia.La sivyo Miezi miwili tena baadae Unaweza ukaacha kunyonyesha.t
 
Sina operation, Ila. Hofu yangu ni juu afya yangu mimi na mtoto, maana kiukweli kupata ujauzito saivi sikupanga kabisa ,
sawa mama kijacho au tukuite mama wawili?
 
kama mimba ni ya baba mmoja haina shida, endelea kumnyonyesha mwanao huku unatunza mdogo wake, just make sure unakuwa msafi kabla ya kumnyonyesha, kila unapokutana na mwanaume uoge vzr!

Kama mimba ni ya baba tofauti, inabidi umuanzishie lishe! advantage ya kuzaa dabodabo ni urahisi wa kulea mbeleni! komaa mungu atakufanyia wepesi
 
kama mimba ni ya baba mmoja haina shida, endelea kumnyonyesha mwanao huku unatunza mdogo wake, just make sure unakuwa msafi kabla ya kumnyonyesha, kila unapokutana na mwanaume uoge vzr!

Kama mimba ni ya baba tofauti, inabidi umuanzishie lishe! advantage ya kuzaa dabodabo ni urahisi wa kulea mbeleni! komaa mungu atakufanyia wepesi
Ni baba mmoja
 
Me ni mchambuzi wa mambo na nna experience nzuri tu ya kulea..nilivyokua nafanya parenting a nurse alieleza vyote ivyo..nyege zangu zote zilikata maana ni ukweli na ukitaka kuangamiza mtoto fanya ivyo..kama hauna 24,000 za kopo la maziwa kila week unabemenda mtoto..
We umesomea wengine wamepitia.
Na hapakuwa na shida kabisa kunyonyesha wakati waujauzito.

Hembu naomba hiyo medical journal uliyoisoma wakati unasoma hiyo course yako ya u nurse iliyosema Si sawa kunyonyesha wakati una mimba.

Kama mama healthy hakuna shida kabisa . Lakini kama mama ana matatizo fulani basi hapo ni kesi nyingine . Mfano low vitamins especially iron na pia mlo wake si mzuri na hapati nutrition zote anazo hitaji basi hapo kuna issue.
 
Kawaida mama akipata mimba maziwa huwa yanavurugika wanayaita machafu, hii siyo kwa mujibu wa sayansi bali ni kwa mujibu wa uzoefu.

Dada MUL mimi sikupi pole bali nakupa hongera, wala usiseme bahati mbaya bali ni mapenzi ya mungu. Kama wadau walivyokushauri, hacha kumnyonyesha pia kulala naye, budget ya kumuhudumia mtoto iwe ya uhakika. Muanzishie maziwa maalumu kwa ajili ya watoto wa umri wake pia ni muhimu kupata ushauri wa Kitabibu mara kwa mara. Usiogope mtoto wako atakuwa salama, jitahidi kuzingatia ushauri unaoupata kwa wadau na Madaktari.

Hongera dada MUL.
 
Na wewe umepata wapi hayo unayoyasema ?

Inshort sbr nikuelezee kisayansi zaidi..mwanamke akiwa katika mimba huwa kuna hormones zinakuwa released,oestrogen na progesterone..izi ndio zinasaidia kuvuta mwili ukiwa na mimba,production ya maziwa na kuzuia upcoming pregnancies and also kuzuia bleed..sasa unapopata mtt izo hormones kazi yake inakua ishaisha zaidi ni kufacilitate production ya maziwa tu,cdhani kama ina function zaidi ya apo baada ya kujifungua.

By the way pia mwili unakua unstabled ndio maana huwa tunaambiwa usifanye sex mainly unsafe kwa mda flan..so unavyofanya sbb mwili mainly sexual organs aziwi settled huwa reaction ya haraka sana inatokea na huwa ni rahisi sana kupata mimba..ukipata mimba zile oestrogen na progesterone zinakua released au produced tena..production upya ya maziwa inatengenezwa kwa kuwa hormone ya progesterone inafanya yake,hayo maziwa Hayawezi kuwa masafi na healthier kwa kichanga ambacho kimeharibiwa ubora na hiyo released hormones na function inazofanya ili kuuandaa mwili kwa mimba ingine.

Unashauriwa kama ni mtoto usimnyonyeshe kwa mda flan au kabsaa..kuepuka kumsababishia effects za afya yake..alaf stage ya mwezi wa nne ni mbaya ndio mtt anaanza kupona chango,inarudisha upyaa tatizo la tumbo.

Hayo tu kwa uelewa wangu mdogo..kama kuna mjuzi zaidi anaweza akanikosoa..
 
nimesema kwa muda mkuu,inashauriwa hivo maana mili una mtifuano wa hormones sasa hivi
Ukiacha kumnyonyesha mtoto kwa muda bora uache kabisa umwanzishe baby formula.

Lakini hata na hivyo bado sijaona sababu ya yeye kuacha kumnyonyesha mwanae.

Labda kuwa na sababu nyingine na sio mimba.
 
Nachohitaji ni nifanyeje ili mtoto asidhulike kipindi hiki cha ujauzito? Maana hofu yangu ni juu ya huyu mtoto niliyenaye
Na ataumwa kweli, maskini nakahurumia, usikaachishe mwache aendelee kunyonya hivyo hivyo
 
Do ile theory ya kuwa ukiwa unanyonyesha mimba haiwezi kushika si kwa wote, wengine wakijaribu tu ni kitu na box. Kula vizuri na kufanya mazoezi, jitahidi kutembea hata kwa nusu saa kila siku kama utaweza.

Jitahidi kubalance mapenzi kati ya hawa watoto wote, kwasababu wako karibu huyu aliyetangulia pia atahitaji kupendwa kama mwenzake. Wazazi wengi wanajisahau na attention yote inahamia kwa mtoto mchanga.
Kwani ameshajifungua tayari?
 
We umesomea wengine wamepitia.
Na hapakuwa na shida kabisa kunyonyesha wakati waujauzito.

Hembu naomba hiyo medical journal uliyoisoma wakati unasoma hiyo course yako ya u nurse iliyosema Si sawa kunyonyesha wakati una mimba.

Kama mama healthy hakuna shida kabisa . Lakini kama mama ana matatizo fulani basi hapo ni kesi nyingine . Mfano low vitamins especially iron na pia mlo wake si mzuri na hapati nutrition zote anazo hitaji basi hapo kuna issue.

Cjasoma kozi ya unurse,ndogo sana kwa level yangu..nimefanya parenting na nurse aliyelea mtoto na wife ndio alichokua anasema..

And for all me sisomi kitu sababu kimeletwa mezani..me kila cku iendayo kwa mungu lazma niingize material mapya kichwani..uwezi nikuta nimebweteka bila chochote Chenye material..
 
Hukupanga kabisa kuwa mjamzito sasa hivi. Je umewahi kusikia kitu kinaitwa condom!? Je, wewe na huyo baba mtarajiwa mliwazia nyege zenu kama msipotumia kinga zinaweza kusababisha mimba nyingine!? Maji yameshamwagika hayazoleki na hiyo mimba usiitoe. Kila la heri na baraka na pole kwa kupatwa na nyege.
Aiseeee
 
Inshort sbr nikuelezee kisayansi zaidi..mwanamke akiwa katika mimba huwa kuna hormones zinakuwa released,oestrogen na progesterone..izi ndio zinasaidia kuvuta mwili ukiwa na mimba,production ya maziwa na kuzuia upcoming pregnancies and also kuzuia bleed..sasa unapopata mtt izo hormones kazi yake inakua ishaisha zaidi ni kufacilitate production ya maziwa tu,cdhani kama ina function zaidi ya apo baada ya kujifungua,by the way pia mwili unakua unstabled ndio maana huwa tunaambiwa usifanye sex mainly unsafe kwa mda flan..so unavyofanya sbb mwili mainly sexual organs aziwi settled huwa reaction ya haraka sana inatokea na huwa ni rahisi sana kupata mimba..ukipata mimba zile oestrogen na progesterone zinakua released au produced tena..production upya ya maziwa inatengenezwa kwa kuwa hormone ya progesterone inafanya yake,hayo maziwa Hayawezi kuwa masafi na healthier kwa kichanga ambacho kimeharibiwa ubora na hiyo released hormones na function inazofanya ili kuuandaa mwili kwa mimba ingine..unashauriwa kama ni mtoto usimnyonyeshe kwa mda flan au kabsaa..kuepuka kumsababishia effects za afya yake..alaf stage ya mwezi wa nne ni mbaya ndio mtt anaanza kupona chango,inarudisha upyaa tatizo la tumbo.

Hayo tu kwa uelewa wangu mdogo..kama kuna mjuzi zaidi anaweza akanikosoa..

Mkuu Kisayansi pia very small amout of pregnancy hormones zinaingia kwenye maziwa na pia hakuna risk yeyote kwa mtoto anaenyonya.

Ningeomba evidance kwa ulichoandika hapo juu kama unataka na mimi nikupe we uliza tu.

ni sawa kabisa na ni sahihi kabisa kumnyonesha mwanao miezi miezi mitatu ya mwanzo maana mwezi wa nne na mwezi wa tano ya ujauzito wako ndipo maziwa hubadilika na kurudi kuwa "colostrum" na hapo ndipo mwano anaenyonya atagundua tofauti maana haya maziwa ndio yanayo hitajika kwa kichanga kabisa. na mwanao anenyonya akigundua hili maziwa yana testi tofauti ndipo atakapo amuamua kuacha lakini kuna wengine wanaendelea na hapo pia hakuna shida kabisa maana mwili wa mwanamke bado unaendelea kutengeneza maziwa. Cha muhimu kuhakikisha ni kwamba mtoto bado anaongeza uzito.

CHA MUHIMU NI AFYA YA MAMA NA ANAJITUNZA VIPI.

Vingine ni kuogopeshana tu pasipo kuwa na sababu wala evidence yeyote.
 
Cha kwanza lea ujauzito ndo Dr mtarajiwa uyoo huo ujauzito wa sasa unamiezi mingapi?ni muhimu ukaanza clinic ya mama na mtoto mapema ili upewe ushauri zaidi na kuangaliwa Afya yako

Kuna mjumbe mmoja kaongelea Lactaction amenorrhea tunategemea kwamba mama akimyonyenya mtoto maziwa yake TU kwa miezi ile 6 ya mwanzo ni njia mojawapo ya uzazi wa mpango labda wewe ulifanya mixed feeding mapema sana,ulimwanzishia mtoto vyakula vingine MAPEMA kabla hajatimiza Miezi 6

Kwa Suala la kunyonyesha siwezi kukushauri hapa ila naomba uende hosp utakutana na wataalamu zaidi watakupa shule kuhusu unyonyeshaji.

Usiogope kwamba watu/Ndugu watakuonaje cha msingi wewe lea ujauzito wako na zuia kabisa ushauri potovu kutoka kwa watu wengine.
 
Nachohitaji ni nifanyeje ili mtoto asidhulike kipindi hiki cha ujauzito? Maana hofu yangu ni juu ya huyu mtoto niliyenaye
Hakuna tatizo kunyonyesha mtoto wakati ukiwa mjamzito ilimradi sasa uongeze juhudi kula mlo kamili, subiri mimba ikifika miezi minne mwachishe mtoto kunyonya maziwa yako kwani wakati huo mimba husababisha kuzalishwa kwa homoni fulani ambazo maziwa ya mama mjamzito yanakuwa na ladha mbaya.

Ukimwachisha kunyonya mtoto anza kumpa maziwa mbadala wa maziwa ya mama yale yanayopatikana madukani au kama huyapendi au huyaamini basi mmppe maziwa ya ng'ombe lakini umpe na chakula kingine kilichotengenezwa kwa uwiano kamil wa virutubisho. Tafadhari tembelea kituo chochote cha afya kupata ushauri zaidi wa lishe ya mtoto wako na ya mama mjamzito anaye nyonyesha.
 
hongera
usimnyonyeshe kwanza huyo mdogo maana mwili wako hormone zinavurugavuruga
kikwetu huwa wanasema hata usilale nae
ila utakaa tu ok jipe muda mpe mtoto maziwa mbadala
Vipi ule mpango sasa...ulighairi?
 
Back
Top Bottom