Nina mimba na mtoto ana miezi minne, naomba ushauri wenu nifanyeje?

Nina mimba na mtoto ana miezi minne, naomba ushauri wenu nifanyeje?

Hapa naona utazidi kuchanganyikiwa nenda kituo cha afya au kwa daktari ukapate ushauri zaidi namna ya kulea mtoto wewe mwenyewe pamoja na mtarajiwa
 
Aksanteni kwa ushauri wenu nyote mungu awabark sana
Ila cha kuzingatia hapo na muhimu zaidi kwa afya ya mtoto, kama una uhakika mtoto anaenyonya na mimba iliyo tumboni ni damu ya mwanaume mmoja haina shaka wala tatizo lolote akiendelea kunyonya, lakini kama mtoto wa baba mwingine na mimba ya baba mwingine acha haraka sana kumnyonyesha na hata pia kulalanae na kum'beba mara kwa mara, hiyo nimeishuhudia kwa baadhi ya watu wangu wa karibu na hata mimi ilishatokea mke wangu kua na mimba huku akiendelea kunyonyesha
 
kama mimba ni ya baba mmoja haina shida, endelea kumnyonyesha mwanao huku unatunza mdogo wake, just make sure unakuwa msafi kabla ya kumnyonyesha, kila unapokutana na mwanaume uoge vzr!

Kama mimba ni ya baba tofauti, inabidi umuanzishie lishe! advantage ya kuzaa dabodabo ni urahisi wa kulea mbeleni! komaa mungu atakufanyia wepesi
Ni kweli mkuu wamawake wengi hawazingatii usafi baada ya kufanya mapenzi, kiafya sio vizuri umetoka kufanya mapenzi hapohapo unamrukia mtoto na kuanza kumnyonyesha
 
Hakuna shida, akifika miezi mitano muachishe ziwa mpe lishe nzuri atakuwa tu. Epuka mchanganyiko mwingi wa vyakula hasa uji lishe.
 
Nanyonyesha, na hadi hivi leo sijawahi kumpa mtoto chochote kile tofauti na maziwa yangu mwenyewe, tatizo saivi naona anaharisha
Acha mara moja kumnyonyesha mtoto MAZIWA wakati tayari una mimba nyingine, ni hatari!
 
Nanyonyesha, na hadi hivi leo sijawahi kumpa mtoto chochote kile tofauti na maziwa yangu mwenyewe, tatizo saivi naona anaharisha
mmh usikute ujauzito umeyaharibu maziwa
 
Ukifuata mawazo ya watu wa humu unaweza kuwa chizi maana kila mtu anaongea lake.

Kwa uelewa wangu mama mjamzito anaweza akaendelea kumnyonyesha mtoto wake mpaka pale mtoto atakapokataa mwenyewe kunyonya na hakuna madhara atapata mtoto eti kwa sababu amenyonya wakati mama ana mimba. Vizuri zaidi ungeenda hospitali ukaelekezwe vizuri na wataalamu. Wengine huku watakuelekeza kwa story walizoambiwa na bibi zao watakupotosha zaidi.

Ila mnyonyeshe mtoto na tunza ujauzito wako.
 
Mkuu


Mkuu Kisayansi pia very small amout of pregnancy hormones zinaingia kwenye maziwa na pia hakuna risk yeyote kwa mtoto anaenyonya.

Ningeomba evidance kwa ulichoandika hapo juu kama unataka na mimi nikupe we uliza tu.

ni sawa kabisa na ni sahihi kabisa kumnyonesha mwanao miezi miezi mitatu ya mwanzo maana mwezi wa nne na mwezi wa tano ya ujauzito wako ndipo maziwa hubadilika na kurudi kuwa "colostrum" na hapo ndipo mwano anaenyonya atagundua tofauti maana haya maziwa ndio yanayo hitajika kwa kichanga kabisa. na mwanao anenyonya akigundua hili maziwa yana testi tofauti ndipo atakapo amuamua kuacha lakini kuna wengine wanaendelea na hapo pia hakuna shida kabisa maana mwili wa mwanamke bado unaendelea kutengeneza maziwa. Cha muhimu kuhakikisha ni kwamba mtoto bado anaongeza uzito.

CHA MUHIMU NI AFYA YA MAMA NA ANAJITUNZA VIPI.

Vingine ni kuogopeshana tu pasipo kuwa na sababu wala evidence yeyote.
Afya yangu kwa sasa nipo tu vizr , ila sijui kadri ujauzito unavyokua .
 
Cha kwanza lea ujauzito ndo Dr mtarajiwa uyoo huo ujauzito wa sasa unamiezi mingapi?ni muhimu ukaanza clinic ya mama na mtoto mapema ili upewe ushauri zaidi na kuangaliwa Afya yako

Kuna mjumbe mmoja kaongelea Lactaction amenorrhea tunategemea kwamba mama akimyonyenya mtoto maziwa yake TU kwa miezi ile 6 ya mwanzo ni njia mojawapo ya uzazi wa mpango labda wewe ulifanya mixed feeding mapema sana,ulimwanzishia mtoto vyakula vingine MAPEMA kabla hajatimiza Miezi 6

Kwa Suala la kunyonyesha siwezi kukushauri hapa ila naomba uende hosp utakutana na wataalamu zaidi watakupa shule kuhusu unyonyeshaji.

Usiogope kwamba watu/Ndugu watakuonaje cha msingi wewe lea ujauzito wako na zuia kabisa ushauri potovu kutoka kwa watu wengine.
Ujauzito una mwezi mmoja tu
 
Cha kwanza lea ujauzito ndo Dr mtarajiwa uyoo huo ujauzito wa sasa unamiezi mingapi?ni muhimu ukaanza clinic ya mama na mtoto mapema ili upewe ushauri zaidi na kuangaliwa Afya yako

Kuna mjumbe mmoja kaongelea Lactaction amenorrhea tunategemea kwamba mama akimyonyenya mtoto maziwa yake TU kwa miezi ile 6 ya mwanzo ni njia mojawapo ya uzazi wa mpango labda wewe ulifanya mixed feeding mapema sana,ulimwanzishia mtoto vyakula vingine MAPEMA kabla hajatimiza Miezi 6

Kwa Suala la kunyonyesha siwezi kukushauri hapa ila naomba uende hosp utakutana na wataalamu zaidi watakupa shule kuhusu unyonyeshaji.

Usiogope kwamba watu/Ndugu watakuonaje cha msingi wewe lea ujauzito wako na zuia kabisa ushauri potovu kutoka kwa watu wengine.
Na sijawahi kumpa chochote ale badala ya kumnyonye tu.. Hadi sasa
 
Hili la kuacha kulala na mtoto mimi binafsi limeniacha hoi linahusiana nini na hii mimba? Wajuvi wa mambo!

Acha kumunyonyesha nunua lactogen maziwa ya kopo mtoto atakua poa tu.
 
HAKUNA HABARI YA MTOTO KUDHURIKA!

Kula vizuri, nyonyesha mwanao, relax to the maximum
kaa msafi, usimuweke mtoto mbali, endelea kuzingatia lishe yake vizuri
akifika miezi mitano anza kumtambulisha vyakula vingine like matunda mpondee na maziwa anakula fresh tu.

Miezi sita safisha mahindi vizuri saga mtengenezee dona mix na maziwa mpe,mtori na viazi vya kuponda anakula tu by that time!
akisogea sogea introduce ugali (uwe dona) mpee. Supu ya kichwa cha samaki,chemsha saga kasha chuja!mpe!

ALL THE BEST mwayego!
Mtoto nyonyesha mpk mimba ikifika miezi nane au hata saba pia sio mbaya! hakuna kubemenda wala nini.

WASIKUTISHE!
 
Hili la kuacha kulala na mtoto mimi binafsi limeniacha hoi linahusiana nini na hii mimba? Wajuvi wa mambo!!!!
Acha kumunyonyesha nunua lactogen maziwa ya kopo mtoto atakua poa tu.
hakuna haja ya kuacha kunyonyesha mtoto.
 
Jitahidi kumtengenezea balanced diet, protein ni muhimu sana katika umri huo kwani ndio anajenga mwili na kinga ya mwili vyakula vya wanga na mboga mboga na matunda, ikiwezekana blend matunda mpe puree au smooth anywe.
Amesema mtt bado anamiezi minne which means hajaanza kla vyakula vingine tofauti na maziwa a mama, wataalam wanasema angalau kuanzia miezi 6 ndo umpe vyakula vingine
 
Ila afya ya mtoto sasa inadhoofika ,
umeiweka akilini!
umeanza kukaa mbali
umeacha kumzingatia liche yake
una uoga na stresss ya kutazama utasemwa!
si unaona hata umeanza kuhofia kutukanwa !
HEBU RELAX!
LEA WANAO KWA RAHA NA JILEE MWENYEWE
u are eating for three ,sawa achana nahabari za ubuyu wa babu issa!

KULA!
KULA!
KULA!
madiet utafanyaga ukimaliza hiyo major project!
your kids need you now!
 
Amesema mtt bado anamiezi minne which means hajaanza kla vyakula vingine tofauti na maziwa a mama, wataalam wanasema angalau kuanzia miezi 6 ndo umpe vyakula vingine
kwa situation hii EBF sio rahisi!
exclucive breast feeding kuifanya inataka A WELL BALANCED MOTHER!
sio kimchezo mchezo!
so huyu mtoto anzishiwe tu vyakula vyepesi!
papai na maziwa amix ok,
embe na maziwa mix,poa
parachichi maziwa mix poa
supu ya maharage ,yakiwa hayajaungwa
HIYO MILO HAPO JUU NI ANGALAU AKIFIKA MIEZI MITANO!
KWA SASA lovie,muanzieshe INFACARE!
HAKUNA NAMNA!
 
Amesema mtt bado anamiezi minne which means hajaanza kla vyakula vingine tofauti na maziwa a mama, wataalam wanasema angalau kuanzia miezi 6 ndo umpe vyakula vingine
Ninadhani nimekwisha mjibu huko nyuma, hata hivyo kama mama ananyonyesha vyote hivyo anavyokula mtoto anavipata kwenye maziwa.
 
Ni baba mmoja
If thats the case endelea kumnyinyesha mwanao huku unalea mimba, its a bit tricky but mungu atakusaidia!

Financially mumeo inabidi achakarike vbaya mno, manake after 2.5yrs mtaanza somesha, kama hamkujipanga mpaka hapo itakuwa taabu sana huko mbelen
 
Kwa sasa sina ushauri,ila ukimzaa huyo aliyeko tumboni,subiria kidogo angalau miezi sita ndio mfanye hayo mambo yetu, au tafuta njia ya kujikinga na mimba kama unaona kiu inabana sana.
 
Back
Top Bottom