Flexi lady
JF-Expert Member
- Nov 14, 2014
- 298
- 208
Usimnyonyeshe huyo mdogo maxiwa yameshaharibika hayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hata angekuwa baba tofauti hakuna mahusiano na afya ya motto na mahusiano current ya mama!If thats the case endelea kumnyinyesha mwanao huku unalea mimba, its a bit tricky but mungu atakusaidia!
Financially mumeo inabidi achakarike vbaya mno, manake after 2.5yrs mtaanza somesha, kama hamkujipanga mpaka hapo itakuwa taabu sana huko mbelen
MAZIWA YANAHARIBIKAJE JAMANI!?Usimnyonyeshe huyo mdogo maxiwa yameshaharibika hayo
weeee wasikupe kichwa kuuma hawa!Sijawahi kutoka nje ya ndoa, na wala sitarajii kutoka
Aksante mumyweeee wasikupe kichwa kuuma hawa!
I AM A MOTHER OF THREE!
najua ninachokwambia!
ENDELEA KUNYONYESHA MWANAO!
Kupenda sana nanilii...! Ona sasa imedumbikia kitu nyingine.Ninachohitaji ni nifanyeje ili mtoto asidhulike kipindi hiki cha ujauzito? Maana hofu yangu ni juu ya huyu mtoto niliyenaye
weeee wasikupe kichwa kuuma hawa!
I AM A MOTHER OF THREE!
najua ninachokwambia!
ENDELEA KUNYONYESHA MWANAO!
mkuu achagaue mwenyewe au tupige kura maana tunamchanganya mama wa watu hapaMtu akiwa na mimba ninavyojua hormones zinajitengeneza kwenye maziwa. Sasa huoni akiendelea kunyonyesha itakuwa ni problem
hapo ilitumika tafsida, ikimaanisha asiwe anabadilisha wanaume wataathiri afya ya mtotohata angekuwa baba tofauti hakuna mahusiano na afya ya motto na mahusiano current ya mama!
Kuharisha kwa mtoto huyo wa miezi minne ni effect inayotokana na kunyonya maziwa yasiyo bora na nimachafu hayafai kwa mtoto kunyonya, kwasababu ya ujauzito ulionao.Habar zenu wana jf!! Samahani sana kwa usumbufu, naombeni msaada wenu nifanyeje mwenzenu yamenikuta nipo njia panda sina cha kufanya.
Mwanangu bado mdogo miezi minne tu sasa na tayari nina ujauzito. Mtoto kashaanza kuhara kila siku na anazidi kunyong'onyea tuu. Hospitali walimpima hana tatizo, je nifanyeje? Nawaombeni sana mnisaidie ili niokoe afya ya mwanangu.
Najua kuna watu watanitukana ila yote sawa nastahili, ushari wako ni muhimu.
Asanteni.
Bado nina maziwa ya kutosha sana, hawezi hata kuyamaliza ... Sasa labda cjui huo utapiamlo unatokana na nini?Hakuna kitu kinachoitwa maziwa machafu, hiyo ni imani ya kimila, mama mjamzito anaweza kumnyonyesha mtoto wake mchanga hadi siku yakujifungua na ikiwezekana na hata baada yakujifungua (kumnyonyesha wote wawili) na yasitokee madhara yoyote na ukioona mtoto akinyonya anaharisha, inawezekana usafi wa matiti ya mama hauja zingwatiwa au tayari mtoto kashapatwa na utapiamlo
Hiyo sababu ya kutonyonyesha mtoto Mara kwa Mara mi naikataa, wengi tuliaminishwa hivyo hata baada ya kufuata bado tukajikuta tumenasa,Kwani bado ananyonya? Kwanza, kitendo cha kupata mimba ndani ya muda mfupi hivyo inamaanisha ulikuwa hunyonyeshi mtoto mara kwa mara maana kunyonyesha ni njia mojawapo ya kuzuia mimba. Na kama hivyo ndivyo huna haja ya kuogopa, shida ni pale mtoto anaponyonya material isiyotakiwa kwenye mwili wake, fyatua tu!