mama chupaki
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 940
- 765
Ni kweli unachosema sky Eclat mimi nimeona kwa watoto wangu nijitahidi ku balance mapenzi lkn kuna wakati unajikuta unakuwa makini sana kwa mtoto mchanga.Do ile theory ya kuwa ukiwa unanyonyesha mimba haiwezi kushika si kwa wote, wengine wakijaribu tu ni kitu na box. Kula vizuri na kufanya mazoezi, jitahidi kutembea hata kwa nusu saa kila siku kama utaweza.
Jitahidi kubalance mapenzi kati ya hawa watoto wote, kwasababu wako karibu huyu aliyetangulia pia atahitaji kupendwa kama mwenzake. Wazazi wengi wanajisahau na attention yote inahamia kwa mtoto mchanga.
Huyu niliembebea ujauzito mlalamishi sana huwa anajiona kama simpendi.