Nina mimba na mtoto ana miezi minne, naomba ushauri wenu nifanyeje?

Nina mimba na mtoto ana miezi minne, naomba ushauri wenu nifanyeje?

Nanyonyesha, na hadi hivi leo sijawahi kumpa mtoto chochote kile tofauti na maziwa yangu mwenyewe, tatizo saivi naona anaharisha
Pole Sana, tafuta maziwa ya kopo mazuri (hapa inahitajika ushauri wa dokta) mpe kwa siku mbili ukiangalia Kama bado anaharisha au la akiacha usinyonyeshe tena maana hormone zako zimebadilika kwa ajili ya mimba.

Pia mtoto anahitaji protini za kutosha maana ndio anakuja, ongea na daktari wa watoto akushauri umpe nini muda huu. Usipuuzie waweza kupoteza mtoto, ushauri wa daktari wa watoto ni muhimu Sana
 
Waone wataalam wa afya na uzazi mimi ilinitokea hiyo nikweli mtoto atahara sana na hata kudhoofika ila nilitoa na kufunga njiti 2babies weeeee acha kbs
 
Hakuna kitu kinaitwa kumebenda..ni imani tuu tuliyokuzwa nayo..Kama kusema ukiwa Na mimba usile mayai mtoto atatoka hana nywele
 
Hakuna kitu Kinachoitwa kubemenda scientifically. Hii ni imani potofu na ilitumika zamani ili kuwafanya wazaz watulie kweny suala la kulea waache kurukaruka.
Kwa hyo kula balanced Diet itakayokidhi mahitaji yako, mahitaj ya aliyeko tumboni na anayenyonya yani ule vzuri haswa.
Vizuri sana
 
Nanyonyesha, na hadi hivi leo sijawahi kumpa mtoto chochote kile tofauti na maziwa yangu mwenyewe, tatizo saivi naona anaharisha
Kama anaharisha ni maziwa yanamgeuka, na ukijaribu kuangalia maziwa vizuri utaona sio mazito yako kama yana majimaji. Jitahidi kumtengenezea lishe yenye kiwango kikubwa cha protein na uache kumnyonyesha.
 
Mtoto hawez haribika mi ilisha nitokea nilibeba ujauzito mtoto akiwa na miez mitano nikashauriwa na daktar kuwa ninyonyeshe hadi mimba ikifika miez saba nimuachishe na wala mtoto hakuharibika nilimnyonyesha mimba ilipofikisha miez saba nikamuachisha
Aisee kumbe tupo wengi humu tulio double click.
ni kweli ni bahati mbaya ambayo baadae huwa furaha pale unapoona watoto wamekuwa.
 
Soma kwanza comments zake huyo niliyemjibu huko mwanzoni utaona chanzo kwa nini nilijibu hivi. Afu wee unayejiona mwenye adabu na kupitia kila Comments na kuijibu au kutoa mawazo ambayo tayari yalitolewa . Jaribu kujikakamua angalau ujibu au changia kinachoeleweka.
usiambiwe ukweli we nani bwana! Hakuna kipya Duniani hicho hicho ulichoona nimekitoa ndicho ninachoki practice kwa wanangu hawa wawili wa mwishoni ambao nao ni mapacha wa nje kasoro yake mimi nilishika mimba nikiwa na mtoto wa miezi mi 5 kwenda 6, hivyo sitoi mchango wa Mawazo kwa kubahatisha au kusoma comment za watu.

Hata kama uyo uliyemjibu ametoa kitu kisichokuridhisha hustahiri kuita pumba, vijana wa Leo sijui mpoje mmepotoka sana ukute hata mtoto huna hapo ila unajitia mjuzi wa kila kitu na kudharau watu
 
We ni hovyo sana, usiambiwe ukweli we nani bwana! Hakuna kipya Duniani hicho hicho ulichoona nimekitoa ndicho ninachoki practice kwa wanangu hawa wawili wa mwishoni ambao nao ni mapacha wa nje kasoro yake mimi nilishika mimba nikiwa na mtoto wa miezi mi 5 kwenda 6, hivyo sitoi mchango wa Mawazo kwa kubahatisha au kusoma comment za watu,
Hata kama uyo uliyemjibu ametoa kitu kisichokuridhisha hustahiri kuita pumba, vijana wa Leo sijui mpoje mmepotoka sana ukute hata mtoto huna hapo ila unajitia mjuzi wa kila kitu na kudharau watu
LadyAJ kama ujiitavyo. Hukunywa maji ya kutosha leo? hii hupelekea akili kunyauka mpz. Mimi pia ni mama . Mwanangu ana miezi 13 sasa . Najua nisemalo pia nina Elimu tosha juu ya hili.

Sasa toa ushauri wa kujenga na kuwa kama mama kweli . Toa Comments zako zieleweke. Sio kuokota comments hapa na pale na kuziunganisha kisha kupost. Sorry! Mbona ukweli unakuuma?
 
Nenda hospital kawaone wataalam wa afya ya mama na mtoto, acha kupoteza muda utagharimu maisha ya mtoto bureeee kwa uzembe
 
LadyAJ kama ujiitavyo. Hukunywa maji ya kutosha leo? hii hupelekea akili kunyauka mpz. Mimi pia ni mama . Mwanangu ana miezi 13 sasa . Najua nisemalo pia nina Elimu tosha juu ya hili. Sasa toa ushauri wa kujenga na kuwa kama mama kweli . Toa Comments zako zieleweke na sio kutetea upumbafu kama huko mwanzoni. Sio kuokota comments hapa na pale na kuziunganisha kisha kupost. Sorry! Mbona ukweli unakuuma?
Hakuna kinachoniuma Duniani, ni furaha kwangu mtu akinikosoa lakini situmii matusi na dharau ya kuita wanachokitoa wengine ni pumba, hivi unaweza kunionyesha hizo comment nilizookota na kuziunga?

Usipende dharau na usidhani ka unaelimu kuubwa kwa kila mtu, hunijui sikujui na hata uliyemuita pumba humjui ana level zipi za elimu kama unavyojipambanua, elimu yako ikufunze kuheshimu Mawazo ya watu badala ya kuyatukana kisa tu hayaendani na unavyofikiri wewe,
 
Za kuambiwa changanya na zako,Jitahidi kupenda kusoma tafiti za watu ili upate kitu kipya,wewe ukipata information huchuji unabeba kama ilivyo ,
Na wewe baada ya kusoma hizo tafiti jaribu kuzilinganisha na maisha halisi ya mazingira yako sio unabeba beba tu kisa vimetafitiwa na wengine basi unajivimbisha kichwa
 
Habar zenu wana jf!! Samahani sana kwa usumbufu, naombeni msaada wenu nifanyeje mwenzenu yamenikuta nipo njia panda sina cha kufanya.

Mwanangu bado mdogo miezi minne tu sasa na tayari nina ujauzito. Mtoto kashaanza kuhara kila siku na anazidi kunyong'onyea tuu. Hospitali walimpima hana tatizo, je nifanyeje? Nawaombeni sana mnisaidie ili niokoe afya ya mwanangu.

Najua kuna watu watanitukana ila yote sawa nastahili, ushari wako ni muhimu.

Asanteni.
Kwa hekima na busara ili kuokoa maisha ya huyo mtoto,nenda katoe,no way through,huyo mtoto bado mdogo sana.Mwenyezi Mungu ndie mjuzi zaidi.
 
Penda kujifunza unapokoselewa,Nenda kaulize kama kuna dr atakeyekushauri kutumia maziwa ya ng'ombe kwa mtoto mdogo,na kama hujui maziwa ya formula yanatengenezwaje nenda kajifunze kabla ya kubisha,Juzi kati hapa Drs wameelezea jinsi maziwa ya ng'ombe yanavyoleta allergy especially kwa watoto wadogo ambao uwezo wa kinga kupambana na magonjwa bado ni mdogo.
Miss Natafuta mwambie huyo The secretary, ye anadhani maziwa ya kopo ndio salama zaidi kuliko ya ng'ombe na anasahau kuwa suala la Allergy hutegemeana na mwili wa mtu alivyoumbwa, anakesha kukaririshwa tu badala ya kufanya analysis binafsi ...!

Ukiondoa changamoto ya u fake hayo hayo maziwa ya kopo muandaaji akikosea kuyachanganya tu kwa kuoanisha na kipimo cha Maji na Milk powder tayari yanakua hayana ubora !!
jamani msiwe na hasira tujadili mada kwa amani maziwa ya formular nayo yana changamoto zake ukutane na kifu feki si huwa unasikia yameua watoto huko china ?chochote kinafaa yawe ya ngombe au formular
 
Ni kweli unachosema sky Eclat mimi nimeona kwa watoto wangu nijitahidi ku balance mapenzi lkn kuna wakati unajikuta unakuwa makini sana kwa mtoto mchanga.
huyu niliembebea ujauzito mlalamishi sana huwa anajiona kama simpendi.
Jitahidi kuspend time nae, muwe nyinyi wawili tu, kama baba unaweza kumwachia baba huyo mchanga kwa masaa mawili, mwende kwenye bembea, mkimbizane, umbebe, amasivyo itamletea psychological effects akiwa mkubwa.
 
Ninachohitaji ni nifanyeje ili mtoto asidhulike kipindi hiki cha ujauzito? Maana hofu yangu ni juu ya huyu mtoto niliyenaye
kwa nini usiende hospital nadhani doctar atakushauri vizuri jinsi ya kumsaidia mtoto wako
 
Elimu za mitaani hizo mjomba zisikuchanganye. Idara za afya , ustawi wa jamii/watoto na Ma Dr n.k Hakuna MTU atakushauri kuachisha kunyonyesha mtoto mama akiwa mjamzito. Ukitaka kumshauri MTU hapa shusha nondo kitaalamu na so habari za umbea umbea za mitani za kuomba chumvi au mafuta ya kupikia. Hapa ni kutoa mchango kwa kusaidia jamii na sio kukurupuka baada ya kunywa kiloba cha mbege. Ukiona huna jibu jitahidi angalau kumwuliza Mr Google atakuelimisha kuliko kujiaibisha hapa kwa pumba zako.

Na elimu za mitaani ziliowalea mabibi zetu na mababu mpaka ukaja ukazaliwa ww unaejifanya much know na wenzako kuwaona vilaza sikujui hunijui shika adabu yako kama kwenu mmezoea kunywa viroba usidhan watu wote wanatumia hicho kinywaj.
 
ahaa mtoto wa kiume anazaliwa na kilo tano halafu mama huna mazia ya kutosha unaambiwa miezi sita anyonye tu eti si atalia mpaka akujazie mtaa?
Ukila vizuri, maziwa yanatoka mpaka yanamwagika na yanavyouma unatamani anyonye kila wakati ndio unapata afueni... akiwa mvivu utaishia kuyakamua na breast pump na kuyamwaga. Lakini ukila kwa mitego ndio atakunyonya hadi utabaki ngozi na mifupa tu.
 
Back
Top Bottom