Watapata tabu sana 🤣🤣🤣!Kwa akili hizi za wanawake, kuja kupevuka kifikra ni jambo lisilowezekana.
Mimba uibebe wewe, halafu uje udai ni mali ya mwanaume?
Mwanaume ana ileaje mimba, wakati wewe umeibeba?
Yaani unataka mwanaume akupe pesa za kula, kuvaa na kulala kisa tu alikupa utamu mwingi mpaka kupata mimba?
Jitunze vizuri ujifungue salamaNina mimba sasa ni miezi 6 kaamua kunitelekeza[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]. Natamani hata ningetoa lakini ishakua kubwa
Nifanyeje maana nahisi kuchanganyikiwa yeye yupo busy tu na watu wengine na gym ukweli ni kuwa huyu mwanaume ni mchafu sana nimemvumilia sana lakini kaamua kunitelekeza na mimba ya miezi 6 nataabika mwenyewe[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Toto mambo
Wengi wao hawana elimu ya afya ya uzazi na wengine ni tamaa zinawaponza.Dada zetu wanachokosea ni hawaangalii nani na nani wanaweza kufanya nao ngono zembe hata ikitokea chochote akawajibika.
Kwanza wajue madhara ya ngono kwao ndiyo makubwa zaidi kama hivi mimba,inabidi wao ktk tendo lolote la ngono wawe waamuzi wa mwisho maana ktk situations za uzinifu yule anayezini nae hajaidhinishwa na hayupo guaranteed kwamba atawajibika kwa matokeo ya kosa wanalochofanya.
Hiyo kamari usicheze mzee baba watakugeuka.Nope iyo mimba niielee Ila utakuja kumwambia mie ndiye baba yake. Akija kumtaka namwambia Kuna gharama anadaiwa. Naweka gharama twice or triple so is the business
Hakuna Cha hongera hapaPole na hongera mwaya.
Pole dear.... Nisikufiche kua single mother ni Kazi ngumu sana.... Unatakiwa ufanye Kazi kwa bidii.... Sa hv na hata ukijifungua usijihusishe na mwanaume yoyote... Jihusishe na kutafuta na kufanya Kazi....... Na siku huyo baba mtoto akirudi jitahid sana kutuliza hisia zako usijaribu kumrudiaNina mimba sasa ni miezi 6 kaamua kunitelekeza[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]. Natamani hata ningetoa lakini ishakua kubwa
Nifanyeje maana nahisi kuchanganyikiwa yeye yupo busy tu na watu wengine na gym ukweli ni kuwa huyu mwanaume ni mchafu sana nimemvumilia sana lakini kaamua kunitelekeza na mimba ya miezi 6 nataabika mwenyewe[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Nina mimba sasa ni miezi 6 kaamua kunitelekeza[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]. Natamani hata ningetoa lakini ishakua kubwa
Nifanyeje maana nahisi kuchanganyikiwa yeye yupo busy tu na watu wengine na gym ukweli ni kuwa huyu mwanaume ni mchafu sana nimemvumilia sana lakini kaamua kunitelekeza na mimba ya miezi 6 nataabika mwenyewe[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]