Nina mimba yake lakini kanitelekeza!

Well said
 

Dalili za kutelekezwa uliziona kabla hujapata mimba ila ukafunga macho na masikio
 
Wanawake mmezidi kubambikiza ndio maana tunakataaga sikuhizi kulea kiumbe ambacho si chako ni upiz hasa kuwa mzazi wake katuliza kende tuuu

Pole sana mlee mtoto huyo
 
Binti kwani matumizi hakupi? Maana hapo naona kama Jamaa amekimbia majukumu yake ila kama anakupa kuwa mpole vumilia wanaume wengine ukiwa na Mimba inawezekana unamkwaza Hadi anashindwa kukaa na wewe
 
Pole sana. Jitahidi usimtafute kumuuliza wala kumuomba chochote mpaka akutafute mwenyewe. Hata ukijifungua usimtafute maadam taarifa ya ujauzito anayo. Niamini na hichi nachokwambia, usimtafute! Nguvu yako iko hapo.
 
mnatukataa wenye vitambi aya furahia outcome za watu wa gym vitambi oyee.
 
[emoji38][emoji38][emoji1]
 
Unabebaje mimba nje ya ndoa
mjinga kabisa wewe
Were no mjinga. Wanaume wenyewe was kuoa wake wapi?

Nyie pimbi chips zimewaharibu mtaoa kweli?

Msichana afikishe miaka zaidi ya 25 si unawatakia majanga kweli?

Ndio wakati wanasema yeyote mwenye mkuyenge ni halali yake ili mradi azaee tu.

Ndio wanazaa na watch mapimbi kama wewe.

Huyo dada asilaumiwe sana ingawa ni mjinga mjinga, ana zaidi ya miaka 26 sasa. Alikuwa anadengua sana wakati chuchu saa 6.

Six pack bila hela ni sawa na tako bila kinyeo.
 
Single mothers asilimia kubwa huzungumza negative kuhusu wenza wao! Wengi huficha makosa kwa kutupa mzigo wa lawama kama hivyo kutelekezwa na wanaume,ilhali unaweza kuta yeye mwenyewe ndo mwenye makosa
 
Wakati unapanda hiyo mimba ulikuwa unachekelea, viuno kama vyote. Sasa subiria mavuno yake baada ya miezi mitatu, sio kulialia hapa. Nonsense
 
mbona umeumia sana mkuu, kwani na wewe una mimba na mwenye nayo kakimbia
basi pole
 
Huyu anakuwa mtoto wa ngapi?
Maana inaonekana upon vizuri kwenye kuzalishwa!

Ulikuwa na muongo muongo, ukamuacha ukiwa na mtoto, na kupata huyu wa gym nayeye tena anakuacha na mimba...so unakuwa single mother wa watoto wawili, usipobadili namna ya kufikiria na kuamua utafikisha watoto 5 na kila mtoto atakuwa na baba yake...
 
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960]

Huu msumari huuu unachomaaaaaaaa!!!
 
Mwanzo mapenzi hunoga sana mkishazoeana sasa ukute mwenzio ndio wale wasiojielewa na hawawezi kujikontrol hapo ndipo balaa linapoanzia!! Ilaa watoto ni baraka mamy!
 
Hongera sana unaenda kuwa mama! Usiangalie mazingira ya wewe kupata mimba badala yake mshukuru mungu anakuletea ndugu yako wa dam! Usimlaumu kabisa mwanaume huyo wala usijilaumu wewe! Hiyo ni baraka umepata!!

Rizik utapata tu na utashangaa mtoto anakua bila tabu yoyote!
 
[emoji15][emoji15][emoji15]
Tatizo ni kwamba unaebeba mimba ni mwanamke, mwanaume ni mfanya mapenzi tu ova. Kuhusu mimba na watoto kulea ni majaliwa, mana yeye anabaki na kifanyia mapenzi na mimba ipo kwa mwingine. Maamuzi ambayo ni magumu kwa asiye na pesa ni kuteseka kulea au kuingia mitini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…