Nina mke ila nimetokea kumpenda mfanyakazi mwenzangu kazini, na-handle vipi hii hali?

Nina mke ila nimetokea kumpenda mfanyakazi mwenzangu kazini, na-handle vipi hii hali?

Yaan ww haupo kwenye uanaume,ww ni mvulana yaan sisi wanaume wenzio tukitamani tu tunatongoza na tunachapaa,,,ww una nyege mkuu fasta umtie tu huyo mdada kisha utamuona wakawaida sanaaa
Tatizo nataka kutunza heshima yangu, huyu msichana nimemzidi miaka kadhaa alafu naheshimika sana hapo kazini hivyo nataka kwenda taratibu
 
Mkuu wewe sio wa kwanza kwenye hizo ishu....cha msingi angalia nadhiri yako inakuambiaje....upige au uulinde moyo wako!
Dah mkuu nashkuru.
Japo yeye haoneshi interest yoyote kwangu japokuwa nikihitaji msaada wake yuko tayari kunisaidia anytime
 
Mkuuuliweiweka ek naomba ukapokekee ka uuliweiwekashauri kangu kadogo....
Siku uliyofunga ndoa uliweka ahadi ya kuwana umoja na mama watoto wako jitahidi kuitafakari hiyo na uendelee kuishi usafi wenu....
Usiteme gomba kwa karanga za kuonjeshwa....
Najua n vigumu ila jitahidi kumfikiria mkeo kuliko hicho kikaragosi ukishinda mtihani huo kuna zawadi...
Usipende sana zinaa mkuu mwangalie sana mwanao kuliko huyo kikaragosi.....

Najua n vigumu ila omba Mungu uyashinde...
 
Wakuu samahani kwa mada hii, sijui kama napitia pekeyangu au laa, mimi nimeoa na mke wangu hana tabu mstaarabu tunaishi vizuri tu tunataniana sana na ucheshi wote, tuna mtoto mmoja.

Shida ni kwamba kibaruani kwangu kuna mwanamke nimetokea kumpenda sana kiasi kwamba najikuta kama sina amani nisipoongea nae siku hiyo, lazima nitafute sababu yoyote ya kunifanya niongee nae.

Alafu kinachoniuma zaidi ni kuwa yeye ni msichana mzuri sana anaongea na watu wengi, mimi naumia ila najikaza.

Nimefanikiwa kupata namba zake alinipa mwenyewe tu kwa sababu nilikuwa na shida naye kikazi, nimefurahi jana kasave namba zangu nimeanza kuona status zake, sina hakika kama yeye anajua nampenda, pengine yeye ananichukulia mimi kawaida.

Wakuu nafanyaje kuhendo hii hali, yule dada nampenda yani hata kama nikiongea nae tu naridhika, siwazi kabisa kufanya nae mapenzi, yani nina feelings za kwamba nataka niwe nae karibu tu.

Nafanyaje wakuu?
Acha kujiendekeza kijana.
 
Hilo ni jaribu/mtego yakupasa ulishinde ili kuilinda ndoa yako....kama ukianguka kwenye zinaa itakuwa ndio mwanzo wa kuivuruga ndoa yako na ukifika huko utapata wakati mgumu sana na hutaweza kurekebisha ulipokosea.

Linda ndoa yako mkuu usiruhusu hisia/matamanio ya muda mchache yakuvunjie familia maana utajuta na hutakuwa na wakumlaumu.
Uzi konki namna hii haujapata like hata moja? Yaani mimi ndiye wa kwanza kutoa like. Hata wewe mwanzilishi wa huu uzi hujapitia hapa? Jamani toeni likes za kutosha hapa.
 
Achana na huyo wa kazini. Ukimwambia ukweli halafu akakuchomolea, kazini utapaona pachungu( As per experience).
Hii nayo ndio nahofia,that's why nakuwa nahofia,niheri niende nae taratibu tuu ihope nitamzowea alafu maisha yataendelea
 
Achana na huyo wa kazini. Ukimwambia ukweli halafu akakuchomolea, kazini utapaona pachungu( As per experience).
Hii nayo ndio nahofia,that's why nakuwa nahofia,niheri niende nae taratibu tuu ihope nitamzowea alafu maisha yataendelea
 
we utaoaje afu ndio kwanza mna mtoto mmoja unasema umempenda mwanamke mwngine? kuoa si lazima wazee msioe kuifurahisha jamii ww km unapendapenda kirahisi hvyo unaoa ili iweje?
 
Wakuu samahani kwa mada hii, sijui kama napitia pekeyangu au laa, mimi nimeoa na mke wangu hana tabu mstaarabu tunaishi vizuri tu tunataniana sana na ucheshi wote, tuna mtoto mmoja.

Shida ni kwamba kibaruani kwangu kuna mwanamke nimetokea kumpenda sana kiasi kwamba najikuta kama sina amani nisipoongea nae siku hiyo, lazima nitafute sababu yoyote ya kunifanya niongee nae.

Alafu kinachoniuma zaidi ni kuwa yeye ni msichana mzuri sana anaongea na watu wengi, mimi naumia ila najikaza.

Nimefanikiwa kupata namba zake alinipa mwenyewe tu kwa sababu nilikuwa na shida naye kikazi, nimefurahi jana kasave namba zangu nimeanza kuona status zake, sina hakika kama yeye anajua nampenda, pengine yeye ananichukulia mimi kawaida.

Wakuu nafanyaje kuhendo hii hali, yule dada nampenda yani hata kama nikiongea nae tu naridhika, siwazi kabisa kufanya nae mapenzi, yani nina feelings za kwamba nataka niwe nae karibu tu.

Nafanyaje wakuu?
Unataka uwe naye karibu kiaje? Kemea hilo pepo la tamaa mkuu.ukijaribu kuvuka mipaka ya kikazi una haribu ndoa yako sasa hivi na itakuwa ndiyo chanzo cha taabu zako nyingi.
 
Back
Top Bottom