[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii ni akili ya mtu aliyechanganyikiwa
Hahaaa hujui hata makungwi wafundaji, hawajaolewa au wameachika. Achana na mimi😂😂Bibi ushauri wakati yakwako yanakupiga roba mbao..🤣
Ha ha! Ndo unavyojipa moyo na hilo likifurushi lako la mwaka..🤣Hahaaa hujui hata makungwi wafundaji, hawajaolewa au wameachika. Achana na mimi😂😂
Mzeya acha kutufanya sie watoto ..ati siwazi kabisa kufanya nae mapenzi 🤣🤣🤣🤣Wakuu samahani kwa mada hii, sijui kama napitia pekeyangu au laa, mimi nimeoa na mke wangu hana tabu mstaarabu tunaishi vizuri tu tunataniana sana na ucheshi wote, tuna mtoto mmoja.
Ukute na mkeo nae kashampenda mtu ila hajui afanyaje,jaribu kufanya kama unamshauri mkeo!na ushauri huohuo jipe na wewe
Sasa mzee sii u just stating the obvious...mwanamke yoyote yule awe mzuri kiasi gani ukishamkojolea mara mbili tatu anaishia kuwa wa kawaida tuu. Mwanamke ni mzuri kabla ya kumla mbususu...ukishamla mbususu anakuwa ng'ong'ozo ....thats how it is for most men...and by most i mean 98%Kwa kweli Nyege ni mbaya sana. Zinaweza kukuongoza vibaya ukahisi kweli.
Naomba nitumie experience yangu kidogo kwenye ishu kama yako.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]wee jamaa mkorofi Sana aiseeToa taarifa polisi haraka sana
Kaa mbali naye, Anza kwa kufuta hiyo namba yake. Kama Una dawati kazini, weka picha ya familia yako, uitazame kila unapopatwa na mawazo machafu.Siwazi kabisa kwamba labda nataka nifanye nae mapenzi.
Najikuta nahitaji kunijali kwake
Unanitafuta Kenzy, sikuogopi kama vipi nipe mkono tushindane😂😂Ha ha! Ndo unavyojipa moyo na hilo likifurushi lako la mwaka..🤣
Takudunda financial...Unanitafuta Kenzy, sikuogopi kama vipi nipe mkono tushindane😂😂
Nipe mkono tuone😂😂Takudunda financial...
"All the gods, all the heavens and all the hells are within you"Maisha yamenifunza kitu kimoja, anayeweza kukuletea baraka ni wewe, na anayeweza kukuletea mabalaa ni wewe mwenyewe. Ukiisikiliza mind yako umekwenda na maji. Matamanio huja na kuondoka lakini hakikisha hayakupelekeshi kufanya vitu ambavyo vitakuharibia pakubwa. Mahusiano hayajifichi kwa hiyo kama utaanza naye tegemea kuharibu uaminifu na upendo kutoka kwa mke wako. Hata kazi itaharibika in some way.
Wataka kuniroga au..?Nipe mkono tuone😂😂
Indeed, sir."All the gods, all the heavens and all the hells are within you"