Nina mpango wa kukopa benki milioni 17, biashara gani inanifaa?

Nina mpango wa kukopa benki milioni 17, biashara gani inanifaa?

Mimi sio mgeni WA mkopo Ila nataka nitumie mkopo kusimama.
Katika Maisha hicho kitu ni very rare kutokea. Biashara yoyote mpya hupaswi kuchukulia mikopo Bali unachukua mikopo kuongeza Capital kwenye biashara ambayo tayari circulation yake imeshakomaa sasa mfano ukiingia miguu yote ukapata shoti si utaanza kuuza magari na nyumba ili kurudisha marejesho Bank?!.Before All Else Be Armed Man
 
Mimi sio mgeni WA mkopo Ila nataka nitumie mkopo kusimama.
Ushauri wangu NI mmoja Tu kabla hujachukua mkopo , angalia Eneo nzuri lililochangamka napendekeza mjin tafuta uwanja WA kuweza kujenga lodge , kaa na fundi WA ujenz akupe makadirio Hadi lodge inaanza kutumika itacost milion ngapi pamoja na furniture , Then kiasi mtakachopata ingia bank omba mkopo wa kiasi hicho kama itawezekana, ila utazidisha kidogo hiyo amount ya mkopo kwa akiba , namainisha kama fund atasema NI milion40 itatoboa Hadi lodge kuanza kutumika ,bas bank kopa milion55

Kwa utafiti wangu nimegundua biashara ambayo haiumizi kichwa kwa mtumish aliyeajiriwa serikalin au private NI biashara ya majengo ( nyumba za kupangisha, gest and logde)

Lodge NI uhakika wa kupata laki moja per day , kikubwa angalia location, mandhari ya lodge na bei , tafuta muhudumu mpe mkataba mwambie per week nahitaji lak4 kwenye Hii lodge itakayobaki ni yakwake
 
nichek whatapp 0786426284 tupige biashara ninauziefu wa biashara ya urembo miaka 5 sasa hivi nipo kwenye game
 
Back
Top Bottom