Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
😆😆sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo umemwekeza?yupo ila ndoa hapana
Huenda amejua kutenganisha maji katika mafuta akili kichwan mwake mambo ya kurudiana hayaitaji ushauri sanaa afuate moyo wakeDo your thing, issue zikitokea au majuto yeyote utarekebisha baadaye
mjuajimjuaji sana, ngoja nimpotezee timeKwahiyo umemwekeza?
Mbona wewe ndiyo mjuaji sana,afu hufai kuwa mume wa mtu...we tomba tu...usioe mpaka akili ikujiemjuajimjuaji sana, ngoja nimpotezee time
Umemsoma vizuri lakini? Rudia kusoma mada yakeNia tu tayari ushaslimu
Je mkiachana au mwanamke akabadili dini na kuwa mkristo je utamfuata huko huko au utabaki kwenye uislamu?ugonile,
huu mwaka nilikua na mpango wa kuoa ila nimeghairi baada ya kuchuja kati ya wachumba wangu wote nlokua nao [wote wakristo] hamna mwenye quallities ninazozitaka na ukizingatia na sheria za dini ya kikristo kwenye masuala ya matrimony kiujumla imebase sana upande wa pili endapo ndoa itaenda mrama.
binafsi napenda mwanamke mwenye heshima na ambae yuko submissive kitu ambacho kwa upande wa waislam naona mwanamke anaandaliwa jinsi ya kuishi na mwanaume from the scratch, wana heshima sana kitu ambacho ndo mwanaume yeyote anaitaji kutoka kwa mwanamke wake na endapo mambo yakaenda mrama kwenye ndoa dini imeweka bayana mifumo ya namna ya kukabiliana nayo kirahisi kabisa tofauti na ukristo ambao mwanamke anakuigizia tabia ila mkishafunga pindu za maisha madhabahuni tu anarudi kwenye default mode.
kitu kingine kizuri ni kuwa naweza kuoa wanawake wengi as much as i can tofauti na huku kwenye ukristo.
karibuni kwa mawazo kabla sijakurupuka
wale wafia dini hapa sio pahala pake
Yesu hapendi watu wapumbavu na wasiokuwa na staha na wasioweza kujibu maswali kwa staha.Kama dini ni kipaombele kwenu basi oa mtu wa dini yako.... Tangu lini mtu mwenye majini ndani yake akaendana na mtu mwenye yesu ndani yake?
Ndege wafananao waruke pamoja
Ataoa mwingine kwakuwa dini inaruhusuJe mkiachana au mwanamke akabadili dini na kuwa mkristo je utamfuata huko huko au utabaki kwenye uislamu?
Ukishafanikiwa kwenye hilo kajifunze kujitoa muhanga piaugonile,
huu mwaka nilikua na mpango wa kuoa ila nimeghairi baada ya kuchuja kati ya wachumba wangu wote nlokua nao [wote wakristo] hamna mwenye quallities ninazozitaka na ukizingatia na sheria za dini ya kikristo kwenye masuala ya matrimony kiujumla imebase sana upande wa pili endapo ndoa itaenda mrama.
binafsi napenda mwanamke mwenye heshima na ambae yuko submissive kitu ambacho kwa upande wa waislam naona mwanamke anaandaliwa jinsi ya kuishi na mwanaume from the scratch, wana heshima sana kitu ambacho ndo mwanaume yeyote anaitaji kutoka kwa mwanamke wake na endapo mambo yakaenda mrama kwenye ndoa dini imeweka bayana mifumo ya namna ya kukabiliana nayo kirahisi kabisa tofauti na ukristo ambao mwanamke anakuigizia tabia ila mkishafunga pindu za maisha madhabahuni tu anarudi kwenye default mode.
kitu kingine kizuri ni kuwa naweza kuoa wanawake wengi as much as i can tofauti na huku kwenye ukristo.
karibuni kwa mawazo kabla sijakurupuka
wale wafia dini hapa sio pahala pake
Kwani nimekosea wapi ndugu?Yesu hapendi watu wapumbavu na wasiokuwa na staha na wasioweza kujibu maswali kwa staha.
Ha! Mapepo yapo kila sehemu ndiyo maaana mwamposa anaendelea kupiga pesa kwa kuuza mafuta na kila siku mnakemea mapepo ya kukosa mume, mapepo ya kukosa mke , mapepo ya kukosa kazi, mapepo ya ulevi, mapepo ya uzinzi ongeza mengine mkuu ......
Sasa sijui huyo yesu anakaaje na hayo mapepo yote tajwa hapo juu
njoo tuto/mbane uniambukize izo akili😅Mbona wewe ndiyo mjuaji sana,afu hufai kuwa mume wa mtu...we tomba tu...usioe mpaka akili ikujie
Haujakosea nduguKwani nimekosea wapi ndugu?
Hapa sasa unataka kuleta roho mbaya mwache mwenzako nae apate wepesi wa maisha au hukumuelewa?Ukitaka kusilimu kwa ajili ya mwanamke tu hio sio sawa. Silimu kwa sababu ya kuaminj uislam ndio dini ya haki. Mke baadae