Unakaa kijiji gani?Hiii formula niliiitumia sana lkn nikajikuta napoteza mademu wazuri
Niko wilaya moja huku kanda ya ziwa aiseeUnakaa kijiji gani??
Huku nilipo almost kila siku naona msichana mzuri kuliko yule niliemuona jana tena with classy. Acha kujifungia mtaani kwenu tembea uone wanawake wazuri zaidi yake..Ukiwa unawaona wazuri wengi huwezi babaishwa na mmoja.
😆😆 Ndio maana unateseka, pole. Hama huko uone wazuri duniani. Ukiona mrembo anakusumbua wewe tembea tembea mikoa ujionee.Niko wilaya moja huku kanda ya ziwa aisee
Dah mzee umenifanya nicheke kabsaaa na I'd yako nimeipenda moja ya investment yangu kwenye maisha yangu hapa dunianimpe hela 30k bado ndogo sana
em kesho mpe laki weka yakutolea na ya serikali
Ivyoo kheee aiseeeAchana na mpenzi wa mtu wewe.
Hakupendi na hakutaki ndio maana anakufanyia visanga vyote hivyo.
Ni ngumu sana kulazimisha hisia kwa mtu usiyempenda. Zaidi zaidi anaona kama unamsumbua....
Huenda huko aliko nasumbuka na mpenzi wake
Ukikua utapata la kusemaMie sina Hata lakusema mie