Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes mkuu nipeleke zawad zipi labda ataelewa somo
- Kwanza acha kuamini unae mpenzi, chukulia kwamba bado unamsomesha binti na yeye bado hajakuelewa.
- Achana na mambo ya kumuadikia maelezo marefu. Yaelekea huyo binti anapenda chat fupi fupi, hivyo maelezo marefu yanamchosha tu.
- Elfu 30 hujaipoteza bali umewekeza. Usisite kuwekeza zaidi😀 Ukianza kuwaza hiyo pesa umepoteza ujue na binti utampoteza kweli.
- Hizo zawadi za kama elfu 30 ni za makopo ya juisi ya ukwaju? Hebu badili aina ya zawadi jombaa.
Ndo niwekeze mwaka mzima kwel ujue inakatisha tamaa sana yaaantabia za wanawake wazuri hizo, kifupi anakupa wakati wa kukupima, je una fit vizuri kama mwanaume, kikubwa acha papara, kama unapenda kuchat sana tafuta marafiki zako wa kike wengine chat nao hivyo, yeye mpe nafasi, kaa nae kwa mwaka mzima halafu mwambie unataka muishi kama mme na mke, akikubali sawa akisema bado, piga chini!! tafuta mwingine!!
Endelea kukaza hivyo hivyoMpk nakuja hapa na siku 4 sijamtafuta ... Nae ajanitafuta hata kwa msg
Temana nae au punguza kumtafuta hapo utaliwa hela tu ndo walivyo hao anafanya hivyo kwasababu labda hana Cha kupoteza ana wanaume kibao tuInakatisha tamaa sana anajib sawa au asante
Jichanganye tu narudia tena we jichanganye tu unaweza kuja jutia hayo maamuzNajaribu kuvuta subra wenda ataelewa somo kwasababu nataka nioe kabsa
Ukikua utapata la kusema
Ndo wote tusioendeshwa na mapenzi tunaishi hivyoNilikicho amua sasa hv asipo nitafuta na mie napiga kmy nakomaa na mishe zang
Kama anatumia kigezo cha kumuona mashine kukufanyia hvyo jua atatumia kigezo hcho hcho kukuachs siku mkioana.Sema siwez tuma picha ila ni machine sana
Huyo hana mapenzi na wewe, anakupa matukio ili ujiongeze mwenyewe uachane naye. Soma alama za nyakati mkuu, usipo angalia ipo siku atakutolea uvivu tu na kukuambia ana matatizo, anataka pango la nyumba la milioni 6 ili tu akukimbize.Polen na tozo za miamala
Mie nina mpenzi mpya kabisa ila tatizo nisipomtafuta mie baas ujue ndo siku imepita hvyoo...
Nikimwambia ' Nakupenda' anajibu ahsante
Nikimpigia simu anasema ana kazi atanitafuta badae baas hiyoo baadae mpaka mie nimtafute
Nikimtumia msg anajibu inshort sana yaaani naandika maelezo maelefu yeee anajibu sawa au asante
Ila nikimpelekea zawadi anapokea sana nimeisha poteza kama elf 30 hivi.