BITCOIN
Member
- Jun 13, 2021
- 42
- 126
Mgodi unatema sio [emoji23]Dah mzee umenifanya nicheke kabsaaa na I'd yako nimeipenda moja ya investment yangu kwenye maisha yangu hapa duniani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mgodi unatema sio [emoji23]Dah mzee umenifanya nicheke kabsaaa na I'd yako nimeipenda moja ya investment yangu kwenye maisha yangu hapa duniani
Endelea kuusubiri ushirikianoo utakujaHahaha, inakatisha tamaa angekuwa anaonesha ushirikiano baas angepata zaid ya laki
Polen na tozo za miamala
Mie nina mpenz mpya kabsa ila tatzo
Nisipo mtafuta mie baas ujue ndo siku imepita hvyoo...
Nikimwambia ' Nakupenda' anajibu ahsante
Nikimpigia simu anasema anakazi atanitafuta badae baas hyoo baadae mpk mie nimtafute
Nikimtumia msg anajibu inshort sana yaaan naandika maelezo maelefu yeee anajibu sawa au asante
Ila nikimpelekea zawad anapokea sana nimeisha poteza kama elf 30 hivi.
Kwamba nawe babe wako yuko hivo?Very familiar…
Mie nadhani tatizo limeanzia hapa mieNiko wilaya moja huku kanda ya ziwa aisee
Huyo ana stress na tozo za miamala, huenda madanga wake wanakataa kumtumia pesa kwa sababu wanakatwa mnoPolen na tozo za miamala
Mie nina mpenz mpya kabsa ila tatzo
Nisipo mtafuta mie baas ujue ndo siku imepita hvyoo...
Nikimwambia ' Nakupenda' anajibu ahsante
Nikimpigia simu anasema anakazi atanitafuta badae baas hyoo baadae mpk mie nimtafute
Nikimtumia msg anajibu inshort sana yaaan naandika maelezo maelefu yeee anajibu sawa au asante
Ila nikimpelekea zawad anapokea sana nimeisha poteza kama elf 30 hivi.
Hakuna mapenz hapo chapa mwendo utaumia sana moyo wako kwa mtu asie jali hisia zako sikushauri uwekeze kwa lolote lilePolen na tozo za miamala
Mie nina mpenz mpya kabsa ila tatzo
Nisipo mtafuta mie baas ujue ndo siku imepita hvyoo...
Nikimwambia ' Nakupenda' anajibu ahsante
Nikimpigia simu anasema anakazi atanitafuta badae baas hyoo baadae mpk mie nimtafute
Nikimtumia msg anajibu inshort sana yaaan naandika maelezo maelefu yeee anajibu sawa au asante
Ila nikimpelekea zawad anapokea sana nimeisha poteza kama elf 30 hivi.
Polen na tozo za miamala
Mie nina mpenz mpya kabsa ila tatzo
Nisipo mtafuta mie baas ujue ndo siku imepita hvyoo...
Nikimwambia ' Nakupenda' anajibu ahsante
Nikimpigia simu anasema anakazi atanitafuta badae baas hyoo baadae mpk mie nimtafute
Nikimtumia msg anajibu inshort sana yaaan naandika maelezo maelefu yeee anajibu sawa au asante
Ila nikimpelekea zawad anapokea sana nimeisha poteza kama elf 30 hivi.
Polen na tozo za miamala
Mie nina mpenz mpya kabsa ila tatzo
Nisipo mtafuta mie baas ujue ndo siku imepita hvyoo...
Nikimwambia ' Nakupenda' anajibu ahsante
Nikimpigia simu anasema anakazi atanitafuta badae baas hyoo baadae mpk mie nimtafute
Nikimtumia msg anajibu inshort sana yaaan naandika maelezo maelefu yeee anajibu sawa au asante
Ila nikimpelekea zawad anapokea sana nimeisha poteza kama elf 30 hivi.
Uoe mtu asiyekupenda ni hatareNajaribu kuvuta subra wenda ataelewa somo kwasb nataka nioe kabsa
Yani huko si ndio kuna warembo wenye chura zaoNiko wilaya moja huku kanda ya ziwa aisee
Unatafuta ugonjwa wa moyoNajaribu kuvuta subra wenda ataelewa somo kwasb nataka nioe kabsa
Kwahiyo?Ujue ni pisi kali balaaa
Bidhaa bora lazima iwe na ushindani sokoni.Hiii formula niliiitumia sana lkn nikajikuta napoteza mademu wazuri
Nitumie namba yake DM. Ahsante!Ujue ni pisi kali balaaa