Nina mpenzi mpya ila mpaka mimi nimtafute

Nina mpenzi mpya ila mpaka mimi nimtafute

Ha ha ha...mkubwa umri ila una mambo ya kitoto sana[emoji848][emoji848][emoji16]

Mpaka hapo hujui hupendwi?

Ukiona mwanamke hana shobo na weee ktk chatting ujue hupendwi

Wewe hupendwi hata kidogooo
Taratibu jamani mtakuja kuua watu na presha😅
 
Nimempiga mmoja chini Kama sku tatu nyuma hv nilimpa kila kitu na kumjar kila kitu yeye na mwanae na kutambua umuhimu wa familia yao

Baada ya kufika mjini akabadilika akaniona sifai ukimya mwingi ukiuliza Yuko bize na chuo Mara sio kila anapokuwa anaweza pokea simu yangu nkaona isiwe tabu wacha nibaki Kama nilivyo Mara ya mwisho anasema yeye sio lazima kuolewa na mim Wala mm sio lazima kumuoa yeye

Hawa ndio wanawake aiseee utawekeza kwake lakini mwenzio anawaza malengo yake TU Wala sikutaka fadhira zake anirudishie nitaumia coz nampenda but Nisha aamua Ni move on Mana mpaka ana fikia hatua ya kukwambia nisimharibie siku
Ushaambiwa single madhaz muachane nao hamsikiii😅
 
Unalia umepoteza elfu 30 .

Mimi niliooteza si chini ya milioni 10 na makaburi ya wazazi wake nilijenga, ila naamini Mungu atanifuta machozi kwa furaha siku yangu ikifika
Hahahahahahahahah
 
Back
Top Bottom