Teflonomicss
Senior Member
- Apr 13, 2020
- 146
- 171
huyu jamaa sio ushaur anatafuta unachokitafuta ni mtu wa ku support huu upumbavu unao fanya....Hiii formula niliiitumia sana lkn nikajikuta napoteza mademu wazuri
okay lemme support endelea kua exploited mkuu endelea kuhudumia tuu good things take time
ila ungekua karib na mimi makofi yangekuhusu maana una uhanangwa uliochangamka [emoji57]