Nina mpenzi mpya ila mpaka mimi nimtafute

Nina mpenzi mpya ila mpaka mimi nimtafute

Hiii formula niliiitumia sana lkn nikajikuta napoteza mademu wazuri
huyu jamaa sio ushaur anatafuta unachokitafuta ni mtu wa ku support huu upumbavu unao fanya....
okay lemme support endelea kua exploited mkuu endelea kuhudumia tuu good things take time
ila ungekua karib na mimi makofi yangekuhusu maana una uhanangwa uliochangamka [emoji57]
 
huyu jamaa sio ushaur anatafuta unachokitafuta ni mtu wa ku support huu upumbavu unao fanya....
okay lemme support endelea kua exploited mkuu endelea kuhudumia tuu good things take time
ila ungekua karib na mimi makofi yangekuhusu maana una uhanangwa uliochangamka [emoji57]
Nikumchoma moto tuuu
 
Poleni na tozo za miamala

Mie nina mpenzi mpya kabisa ila tatizo nisipomtafuta mie baasi ujue ndio siku imepita hivyo... Nikimwambia ' Nakupenda' anajibu ahsante.

Nikimpigia simu anasema ana kazi atanitafuta baadae baasi hiyo baadae mpaka mie nimtafute. Nikimtumia msg anajibu inshort sana yaaani naandika maelezo marefu yeye anajibu sawa au asante.

Ila nikimpelekea zawadi anapokea sana nimeisha poteza kama elfu 30 hivi.

Vipi hali hii ni mpaka kwenye huduma za viungo vya uzazi au viungo vyenyewe vinashirikiana kwa dhati?
 
  • Kwanza acha kuamini unae mpenzi, chukulia kwamba bado unamsomesha binti na yeye bado hajakuelewa.
  • Achana na mambo ya kumuadikia maelezo marefu. Yaelekea huyo binti anapenda chat fupi fupi, hivyo maelezo marefu yanamchosha tu.
  • Elfu 30 hujaipoteza bali umewekeza. Usisite kuwekeza zaidi😀 Ukianza kuwaza hiyo pesa umepoteza ujue na binti utampoteza kweli.
  • Hizo zawadi za kama elfu 30 ni za makopo ya juisi ya ukwaju? Hebu badili aina ya zawadi jombaa.

Ampeleke pizza hut au kfc akale kuku aone kama atachomoa
 
Nani alimfuata mwenzake..

Kuepuka tabu kama hizi, sitongozi mtoto wa mtu, anaenitaka anifate

Kama wewe ndio ulimfata, sii una shida nae, tulia akuoneshe zing zong[emoji23]
 
kisa chako kinafanan kiasi na changu baada ya kuona mmi ndo nae mtafta nilibadli gia angani now yapata mwaka na nusu te tet te te naskia anadai mi ndo bwana ake inafurahisha sana apo tiyari nishatia mimba girl ingne nalea kid
 
Poleni na tozo za miamala

Mimi nina mpenzi mpya kabisa ila tatizo nisipomtafuta mie baasi ujue ndio siku imepita hivyo. Nikimwambia 'Nakupenda' anajibu ahsante.

Nikimpigia simu anasema ana kazi atanitafuta baadae baasi hiyo baadae mpaka mie nimtafute. Nikimtumia msg anajibu inshort sana yaaani naandika maelezo marefu yeye anajibu sawa au asante.

Ila nikimpelekea zawadi anapokea sana nimeisha poteza kama elfu 30 hivi.

Sisi tukusaidieje labda??
 
hivi watu mnawezaje kujipendekeza kwa kiwango hicho? yani huyo siku mbili nyingi ningeshakata kamba.
 
Tabia za wanawake wazuri hizo, kifupi anakupa wakati wa kukupima, je una fit vizuri kama mwanaume, kikubwa acha papara, kama unapenda kuchat sana tafuta marafiki zako wa kike wengine chat nao hivyo, yeye mpe nafasi, kaa nae kwa mwaka mzima halafu mwambie unataka muishi kama mme na mke, akikubali sawa akisema bado, piga chini!! tafuta mwingine!!
Mwaka mzima we unatumaga meseji tu..., hata hayati JPM alisema ukiona anazingua unapiga chini unatafuta mwengine sio kujikalisha unatuma tuma vimeseji tu!
 
Bora ya wewe mi ndio Tangu mwezi wa tatu amekula 290k. na Text ananinibu kifupi nashukuru nimeshindwa kabla hajala sana Hela zangu.
Yani karibia 300K unasema hajala sana hela mzee baba unajua hio ni kodi ya miezi 6 kwa chumba chenye umeme na maji uswahilini?

Bora ungebetia hio pesa mdogo mdogo huenda ungekuwa ushakula faida😅
 
Back
Top Bottom