Nina mpenzi mpya ila mpaka mimi nimtafute

Nina mpenzi mpya ila mpaka mimi nimtafute

Make sure the person you're choosing over everybody is choosing you too. Btw nikiona tone ya uandishi siielewi nafuta namba mapema tu.
[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Nakubali mwamba [emoji110][emoji817]
 
Kwaiyo mkuu ma Rais waliyopita wote wake zao ni walimu?
Nimesema tu wana nyota hio kiongozi😃😃😃😃
Hivyo nae wenda narudia tena wenda anahisi narudia tena anahisi akitulia anaweza kupata bahati ya mtu ambaye baadae atakuja kuwa mkubwa ktk nchi hii
Kiongozi hizi ni akili za weekend pia usisahau cheers 🍻🍻🍻🍻
 
Bora ya wewe mi ndio Tangu mwezi wa tatu amekula 290k. na Text ananinibu kifupi nashukuru nimeshindwa kabla hajala sana Hela zangu.
290 nyingi hiyo boss hiyo hasara inabidi upate mademu wanne free ambao n wastani wa 70k kila mmoja. Coz demu mpaka anakula hiyo 290k na hujamla ujue uzembe upo kwako ..Kimjini mjini 50k ukiipangilia vizur ,inatosha kumla demu wowote
 
Nimempiga mmoja chini Kama sku tatu nyuma hv nilimpa kila kitu na kumjar kila kitu yeye na mwanae na kutambua umuhimu wa familia yao

Baada ya kufika mjini akabadilika akaniona sifai ukimya mwingi ukiuliza Yuko bize na chuo Mara sio kila anapokuwa anaweza pokea simu yangu nkaona isiwe tabu wacha nibaki Kama nilivyo Mara ya mwisho anasema yeye sio lazima kuolewa na mim Wala mm sio lazima kumuoa yeye

Hawa ndio wanawake aiseee utawekeza kwake lakini mwenzio anawaza malengo yake TU Wala sikutaka fadhira zake anirudishie nitaumia coz nampenda but Nisha aamua Ni move on Mana mpaka ana fikia hatua ya kukwambia nisimharibie siku
 
Najaribu kuvuta subra wenda ataelewa somo kwasababu nataka nioe kabisa
Usithubutu Kuoa huyo Mwanamke, Utakuja kulea watoto sio wako Uje kuleta uzi mwingine hapa, Yani Una nia ya Kuoa halafu mtu anazingua! Kuna asilimia Kubwa hiyo Yupo na Mpenzi wake ama Wamezinguana au wamepeana nafasi kidogo na Hiyo Kujibu meseji zako inawezekana ni sababu Unampelekea Vizawadi ndo maana, Achana nae Huyo Utapoteza muda wako bure
 
Nimempiga mmoja chini Kama sku tatu nyuma hv nilimpa kila kitu na kumjar kila kitu yeye na mwanae na kutambua umuhimu wa familia yao


Baada ya kufika mjini akabadilika akaniona sifai ukimya mwingi ukiuliza Yuko bize na chuo Mara sio kila anapokuwa anaweza pokea simu yangu nkaona isiwe tabu wacha nibaki Kama nilivyo Mara ya mwisho anasema yeye sio lazima kuolewa na mim Wala mm sio lazima kumuoa yeye

Hawa ndio wanawake aiseee utawekeza kwake lakini mwenzio anawaza malengo yake TU Wala sikutaka fadhira zake anirudishie nitaumia coz nampenda but Nisha aamua Ni move on Mana mpaka ana fikia hatua ya kukwambia nisimharibie siku
Kuna jamaa yangu ye anasemaga hawa Mi nachapa natembea sometimes wanazingua sana, Hongera kwa Kufanya Uamuzi sahihi Broo
 
Ko
Yee ana miaka 29
Ni mwalimu wa secondary
Mitandao anapenda instagram anapenda showoff nying
Ahsante kwa kujibu! Sasa kiongozi kwa jinsi ulivyomuelezea uzuri wake ina maana anatongozwa na watu wengi sana, hivyo anapata kiburi kwamba anapendwa na wengi! Kwa kifupi amewapanga wengi! Kingine kinaweza kuwa ni ubinafsi wake unafanya anakuwa hivyo. Nakupa haya kwa uzoefu niliupata kwa msichana mmoja, yaani alikuwa na tabia kama hizo, nilichofanya sikumtafuta kabisa, mwenyewe akaanza ku-view status zangu na kuanza ku-comment. Sikuwa namjibu, alinyoosha mikono. Mkuu chukua maamuzi magumu, unaweza pata stress bure! Kila la kheri!
 
Back
Top Bottom